Nilikua siijui jamii Forums


Karibuu sana ingawa una-sound mwenyeji kweli kweli
 
huu ni mtambo wa kurekebisha tabia za viongozi ambao awana maadili ya uongozi na kujifunza mengi kuhusu siasa maswala ya afya, mahusiano, na kuifahamu dunia zaidi na yanayo endelea dunia kote ila kama wenzangu walivyosema ndani ya jf ni utaifa kwanza na kutetea haki pius msekwa anatutembelea sana humu ndani na mengi anayapata ana muabarisha na mwenyekiti wake kwamba ccm saizi aipendwi, kajionea mwenyewe na mimi nashukuru unabii unatimia
 
Karibu sana Surprise. Kadiri utakavyokuwepo hapa ndivyo utakavyoielewa JF. Na bahati nzuri hapa sio kama kwenye maskani za CCM ambapo wakikujua si mwenzao wanakutimua moja kwa moja. Karibu jamvini tujenge taifa.
 
haha mmh altak ujue
 
Tatizo la hao wakubwa wenu wanakuja JF bila hoja za maana za kutetea chama chenu ndo maana wapotuhumiwa wadhani wametukanwa, kumbe wanaambiwa ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…