Nilijiunga CHADEMA nikiwa chuo kikuu ningali nimejitambua, siyo akili ya under 18!

Makala Jr

JF-Expert Member
Aug 25, 2011
3,395
1,110
Awali nawatakieni happy boxing day. Bila shaka jukwaa hili ni kitovu cha hoja mbalimbali za kisiasa hivyo nami naweka rekodi yangu katika historia yangu, kwa upande wa pili nawasilisha mtazamo wangu juu ya umuhimu wa kuheshimu taasisi (chama) badala ya watu binafsi nikiwemo mimi. Mpaka sasa nimeamini na ndivyo ilivyo kwamba mimi si zaidi ya chama na katika harakati zangu nimethibitisha kwamba image ya CHADEMA ni kubwa na ni zaidi ya yeyote ndani/nje ya chama na ndiyo maana kauli ya Wassira kwamba chama kitasambaratika mwaka 2013 imekuwa kinyume.Tofauti na wengine, nimejiunga CHADEMA nikiwa nimejitambua ningali chuo kikuu na siyo kama vijana wengine waliolazimishwa na peer groups, wazazi au just foolish age motivations ambapo vijana hujitumbukiza kwenye makundi fulani bila kujitambua na wengine huwa hivyo hadi ukubwani kwani wanakuwepo katika makundi kimazoea badala ya kuangalia malengo.Maudhui yangu ni kwamba tuheshimu katiba na malengo ya CHADEMA bila kujali umri. Happy New Year to all PRO-CHADEMA.
 
Zitto yeye alichukuliwa kadi na mama yake maana ni muasisi wa chama, ndio maana hajui kwanini yuko Chadema kwa vile alikuwa under age wakati anapewa hiyo kadi, sishangai hata akisema ada inalipwa na mzazi wake, maana Zitto ni mzigo hata kwa watu wa kawaida walio na mwelekeo wa kulikomboa hili Taifa toka kwa Magamba Ccm
 
kidole007; Soma tena ili uelewe maudhui ya mada, wazungu wanasema too much is harmful.Ulitaka niandike thread ndefu kama Waraka Wa Mabadiliko-2013 bila kujali dhima ya mada husika?
 
Last edited by a moderator:
Mie nimeipenda imetulia Mkuu na inaeleweka tena vizuri sana.

kidole007; Soma tena ili uelewe maudhui ya mada, wazungu wanasema too much is harmful.Ulitaka niandike thread ndefu kama Waraka Wa Mabadiliko-2013 bila kujali dhima ya mada husika?
 
Chama cha siasa si dini kwamba mtu ajinadi kwa kusema kwamba aliingia na umri mdogo inayompa kujua misingi ya dini hiyo.Vyama vya siasa ubadirika kulingana na mazingira, A strong political party should constantly keep on changing in terms of strategies to fulfil its aim. Yawezeka kadri chama kinavyojijengwa na kujikita kimkakati ili kushika dola basi walioingia na umri mdogo wanabaki nyuma kimkakati na kudhani wako salama. Wasaliti inabidi kujichunguza ili kuone kama mpo Boti moja na wenzanu vinginevyo mwisho wa siku mtaregret na CCM watawatumia na mwisho wa siku hata toilet paper inakuwa na thamani.Mifano ni mingi...
 
BAK; Tuko pamoja mkuu, bila shaka wenye macho wataona ukweli kwamba yawezekena mtu kupata uzoefu kwa kukaa katika taasisi moja miaka mingi lakini pia inawezekena mtu kupata uzoefu mara nyingi katika miaka michache kulingana na namna anavyozingatia maadili na nia ya kutaka kujifunza zaidi hivyo si haki ndani ya CHADEMA awe Mhe.Zitto, Dr.Slaa, Prof.Baregu au Mzee Mtei kujiona wana haki zaidi ndani ya chama kwa kuangalia michango yao au umri waliokaa chamani. We need perfect democracy without any sort of individualism apart from institutionism.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
wengine walijiunga chadema kutoka ccm baada ya majina yao kutopitishwa kugombea ubunge 1995------ Dr Slaha
 
Awali nawatakieni happy boxing day. Bila shaka jukwaa hili ni kitovu cha hoja mbalimbali za kisiasa hivyo nami naweka rekodi yangu katika historia yangu, kwa upande wa pili nawasilisha mtazamo wangu juu ya umuhimu wa kuheshimu taasisi (chama) badala ya watu binafsi nikiwemo mimi. Mpaka sasa nimeamini na ndivyo ilivyo kwamba mimi si zaidi ya chama na katika harakati zangu nimethibitisha kwamba image ya CHADEMA ni kubwa na ni zaidi ya yeyote ndani/nje ya chama na ndiyo maana kauli ya Wassira kwamba chama kitasambaratika mwaka 2013 imekuwa kinyume.Tofauti na wengine, nimejiunga CHADEMA nikiwa nimejitambua ningali chuo kikuu na siyo kama vijana wengine waliolazimishwa na peer groups, wazazi au just foolish age motivations ambapo vijana hujitumbukiza kwenye makundi fulani bila kujitambua na wengine huwa hivyo hadi ukubwani kwani wanakuwepo katika makundi kimazoea badala ya kuangalia malengo.Maudhui yangu ni kwamba tuheshimu katiba na malengo ya CHADEMA bila kujali umri. Happy New Year to all PRO-CHADEMA.

haijalishi hata kama.zitto haufai
 
Ha ha ha,

Nimeipenda hii "Remix ",
Yaani hata "Original Version " haibambi kihivi.
 
tamuchungu; Nenda ukamuulize Steven Wassira kama CHADEMA imekufa? Dua la kuku halimpati mwewe!
 
Last edited by a moderator:
Haya ndio madhara ya kutaka kuhalalisha gongo, hali hii bado haijahalalishwa tunaanza kuona na kusikia vioja sipati picha hapo itakapohalalishwa, eee Mungu Tusaidieeeee
 
Hii ndio akili ya university graduate!!!!!!????
I think your political brain is very dry!
But tell us what is your contribution to the party compared to those who pioneered the party at "foolish age"?
 
Kazitunayo; Hata darasani kunakuwa na makundi ya wanafunzi wenye sifa tofauti kulingana na vipaji,majaliwa au mazingira wanayokulia.Kama hujaelewa mpaka sasa, bila shaka utakuwa slow learner hivyo ongeza juhudi pengine mpaka 2014 utakuwa umepata idea.
 
Last edited by a moderator:
Hii ndio akili ya university graduate!!!!!!????
I think your political brain is very dry!
But tell us what is your contribution to the party compared to those who pioneered the party at "foolish age"?

Kabla ya Slaa na Mbowe uliona CDM ikifurukuta? Unategemea mtu wa miaka 16 angeleta contribution gani zaidi ya kufuata upepo? Well, tulitegemea akikua basi awe na busara hata kwa wakubwa zake, badala yake anawatusi eti "wana midomo mikubwa!" Hata kama Mbowe na Slaa wamekosea, si kuwadharau na kuwatusi kiasi hicho! Huyu dogo ana laana, si bure!
 
Back
Top Bottom