Nilichosikia kongamano la kiisilamu arusha

Kilicho andikwa ni kweli tena kuna zaidi ya hayo..mfano halmashauri ya arusha imepewa mwezi mmoja iwe imerudisha kiwanja ambapo ndipo kilipo stand ndogo lasivyo watang'oa msumari moja baada ya mwingine na hakuna atakae wafanya kitu...

hakuna atayewafanya kitu? hivi ardhi katika nchi ni mali ya nani?
 
Mhh,,tulisema matamko ya maskofu yangeleta hisia za udini watu mkabisha.HAYA SASA MNAKUBALI KUNA UDINI?
Hizo bilion 600 wamepewa za nini?maelezo yanatakiwa hapa

1] Afya - taasisi za dini zinamiliki hospitali za rufaa zaidi ya 2 (KCMC, Bugando n.k), DDH kibao, hospital za kawaida, vituo vya afya na zahanati. Kwa kuwa siyo jukumu lao moja kwa moja, serikali inaingia na kuwa-support ili huduma kwa waTZ iendelee. Hebu chukulia mfano wa huduma ya mama na mtoto, hii inatakiwa iwe free, au magonjwa kama kifua kikuu na huduma kwa watoto chini ya miaka mitano. Hii nikumaanisha serikali inazigharamia hizi huduma kwa kupitia hosp., disp., n.k. zinazotumiwa na waTZ zinazomilikiwa na 'makanisa'.

Kwa hiyo serikali ili ku-support inatoa dawa, vifaa, watumishi, n.k.

2] Elimu - pia jukumu la serikali lakini imeshindwa kwa kiasi kikubwa kulitekeleza kikamilifu, taasisi za kidini zinasaidia na hivyo zinastahili support ya serikali kupunguziwa makali, ili nao wapunguze makali kwa waTZ watakonufaika na elimu itolewayo.

Kiwango hiki kinachotajwa kinahusisha, siyo fedha taslim iliyopewa kwa taasisi hizi, bali vitu kama vile madawa, vifaa, watumishi (mishahara yao), misamaha ya kodi, n.k.

3] Miradi mbalimbali ya maendeleo k.v. maji, misaada kwa PLWH+, hapa 'makanisa' hayapati fedha za moja kwa moja ila hupaa misamaha ya kodi katika kuingiza nchini vifaa na vitu vinavyofanana na hivyo.

Unless mimi nina 'upofu' unaochangiwa na mimi kuwa Mkristo, sioni udini unaingiaje hapo endapo serikali inawa-support wale wanaoisaidia serikali hiyo hiyo katika kutimiza majukumu yake ya msingi na huduma itolewayo haibagui dini.

Nawasilisha
 
Reactions: Iza
Nilijiunga uislamu kwa kumpenda bint ambaye kwa sasa ni mama mtoto wangu.ktk miaka 6 niliyokaa kwenye dini hii najuta,kwa haya wanayofanya HAKUNA DINI HAPA!NAJUTA KUWA MWISLAMU

Sasa wategemea nini zaidi ya kujuta! :tape:
 
kama wanaita vita kwa mtindo huu nazani wakristo hatuna budi kusubiri hio siku ya vita tuone itakuwaje-hope nasi tutafanya counter attack-na as long nchi zote za EAC wakristo ni wengi-lazima tutapata covert support kutoka baadhi ya nchi-potelea mbali wakifa wachache-wataokaobaki wataendeleza mapambano-na nina imani tutashinda-KAMA WANATAKA NOMA NANA IWE NOMA-PU@#%$VU ZAO
 

Jamani wala msiwajari hao jamaa,,, huo ni ukali wa NANASi,, nje miba ndani TAMU......Tumezoea ngonjela zao! hata JK nae analalama udini jamani,,,, maana ukristo.
 
mh sio arusha tu jamani... jana jioni msikiti wa kibangu(jeshini) niliwasikia kwa masikio yangu mawili wakiyaendeleza haya maneno yao ya chuki. na kashfa kibaaaaao kwa ukristo.

swali langu ni moja tu... Ikiwa wanataka kuuhubiri uislam mbona wanatumia mihadhara yao kuutangaza ukristo? kuna kitu kimejificha hapo. maana ikiwa wangetoa mafunzo mazuri ya dini hii basi yule asie muislam angevutiwa ajiunge... ila kwao ni shari shari tu kutwa kucha.
jiulizeni
1. watoto wakipelekwa shule wanahimizwa kusoma koran....
2. wakiwa mtaani wanahimizwa KUCHINJA NA KUUA
3. watoto wa kike hakuna shule, sasa kama mama hana shule na ndie mlezi mkuu unadhani nini kinapandikizwa hapo. UDINI plus plus.
sasa wanadhani wanakandamizwa wakati chanzo ni wao.

hawataki shule wanakaa vibarazani kula kashata na halua jamani afu wanadai wanabaguliwa . mhhhhh kwa kweli kazi ni nzito.
 

na hizi shule na mahospital, vituo vya afya na huduma kibao zinazotolewa je hutolewa kwa wakristo tuuu? au ndo kwamba wamelewa harufu ya damu sasa wanatamani kuinywa zaidi jamni.

nikichunguza sana naona hizi hospitali zinatoa huduma kwa wote, iwe ajira au matibabu.
shule nazo hivo hivo.. mfano st agustine haibagui nani mkristo nani mwislam au mpagani, sekondari ndo kabsaaaa ma stz kumejaa watoto wa kiislam. sasa kama wanahudumiwa na haohao wasiowapenda mbona hawachangamki kuanzisha vyao ili no wapae.???badala ya kupanga vita wangepanga maendeleo na mkakati wakuwakwamua wenzao na kuwapeleka shule.
 
inaonekana shekhe ilunga na wenzake wanatafuta umaarufu na wananufaika na kuanzisha mijadala ya udini,hata osama wakati anapigwa walisema marekani anania ya kutokomeza uislam mpaka mwenyewe aliposema "this is not jihad,this is stricly bussiness.
 
Wana jf,
Mwenye datas kuwa wakristo wanapewa hayo mabilioni amwage hapa jamani! Elungata, una maana maaskofu ndo walisema wanapewa 600b?

Hutapata hizo data kwa kuwa hakuna pesa wanazopewa Wakristo peke yao na serikali. Ni UONGO,UONGO na UONGO!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…