Nilichoona na kujifunza Mjini MOSHI

Nilichoona na kujifunza Mjini MOSHI

Jamani wale wanaoishi moshi naomba mni-pm then tuwasiliane japo tukale nyama choma sehemu tulivu
 
Good newz!
Hao ndo chagaz afu bdae mtu akikaa vyema hakawii kuitw mwizi wkt hyo anayempa hlo jina wkt wa kutafuta yeye alikuw anapika maji ya kukoga na kukoweka nguo kupaka hina na kujifunza namn ya kutega zaid.
Msojua namna ya kupik maji ya kukoga samahanin bt yanaujuzi km kilivyo chakula.wenye miji yao watakuja mbio hp!
Chaga are fighters n thy always deserve da best.hongera zetu sieeeee.....
 
hongera kwa kutembea na watoto zenu hasa huko marangu mtoni
 
Back
Top Bottom