Nilichoona na kujifunza Mjini MOSHI

Nilichoona na kujifunza Mjini MOSHI

Nyanya mbichi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2011
Posts
3,716
Reaction score
2,218
Habari zenu wadau.!!

Kwa uwezo wa mwenyezimu katikati ya wiki inayoishia leo nilitembelea mjini Moshi.Ni mara ya kwanza kwangu.

Licha ya mji kujitahidi kuwa msafi na hali nzuri ya hewa,kuna kubwa moja.

NIMEONA WAMAMA WANAJISHUGHULISHA SANA KATIKA KUFANYA BIASHARA HUSUSANI DSM NA MAENEO MENGINE ZINAONEKANA NI KWA AJILI YACWANAUME TU.
mfano;biashara ya kuuza nguo kama vile mashati na suruali za akina baba kuuza viatu vya wababa na huwa wanatembea na brush za kun'garishia.

NIKAJIULIZA SWALI MOJA KAMA MMAMA ANAFANYA BIASHARA YA UMACHINGA HADI SAA 12 jioni nani sasa anafanya maandalizi kule nyumbani ??

All in all nawapongeza sana tofauti na miji mengine ambayo wanawake wanachagua kazi.
 
Wewe nyanya, Hii ndo Moshi wachaga wanatafuta sana pesa kuliko makabila mengine yote kuanzia mtoto hadi mzee. Suala la maandalizi nyumbani wanajuana wao namna ya kufanya lakini bora pesa ipatikane kwanza. Mchaga akipata ajali cha kwanza ni kuangalia kama pesa aliyokuwanayo ipo ama hapana maumivu ama majeraha ni baadae. So all in all wanatanguliza money first than anything else. Thus, that's their habit from the beginning. Hata wale wanaojiuza usiku chukua mmoja halafu usimlipe uone cha moto
 
Wababa wengi wapo mikoani wanatafuta hela wake zao ndio wapo Moshi wakitunzwa na Wakwe.
Ndio maana uliwaona wanawake wengi wakisaka noti.
Waume zao wanakuja Krismasi kwa Krismasi na matumizi ya mwaka mzima.
 
wezi tu hao ila wizi wao wa akili wakiiba mara moja hawaibi tena wanafungua biashara!
 
Wababa wengi wapo mikoani wanatafuta hela wake zao ndio wapo Moshi wakitunzwa na Wakwe.
Ndio maana uliwaona wanawake wengi wakisaka noti.
Waume zao wanakuja Krismasi kwa Krismasi na matumizi ya mwaka mzima.

We utakuwa mkonongo....
 
haahaha najua ulitaka uwakute la liga au malindi wale wanasaka ela kokote iliko yaan hata kama darini,Nyanya mbichi ni matumaini yangu wewe sio bazazi nikutume ukutane na mdogo wangu? au ushaondoka uko
 
Bora umetembea mkuu,unashangaa nchi hii mpaka mtu anafikisha miaka 50 hana mkoa mwingine anaoufahamu zaidi ya kwao

Siku zote naamini ukitembea unapata kuona na kujifunza zaidi lakini pia kuifahamu vizuri nchi yako siyo lazima kila kitu wewe uambiwe
 
Kwa sasa hivi habari ya mujini kwa moshi ni biashara ya maparachichi hii inakuwa kwa kasi na inaweza chukua nafasi ya kahawa.
 
haahaha najua ulitaka uwakute la liga au malindi wale wanasaka ela kokote iliko yaan hata kama darini,Nyanya mbichi ni matumaini yangu wewe sio bazazi nikutume ukutane na mdogo wangu? au ushaondoka uko

Nitume mm jamani dada....
 
Duhh,, ucsahau kupitia na hapo Toroka uje mitaa ya kiboriloni
 
Kuna mabogini-matindigani-uwanja wa mandela-pasua sokoni-mshana bar-kona ya mlandege-breweries-soko la mbuyuni-double road then MOSHI TOWN.

Kuna mjohoroni-shah tours-kibandani-stop and shop-bekari-saria-kwa ndesa-themanini-lucy-shule-kiboriloni-msumbiji-kdc-majengo-ymca-maji-kncu then MOSHI TOWN.
 
Sehemu za kula noah kuna kwa lyimo msaranga,toroka uje kiboriloni,ma hot poa katibu na nmb mandela,ushirika wa neema karibu na chuo kikuu cha mwenge,kwa clara iko dar street
 
Sehemu za kula bia kuna rivernile,east africa pub,mess,la liga,makumba,malindi,kool bar,mr price,aventure,wazalendo bar,meeting point,new spring bar,lamina,kindoroko kwa nyuma kule
 
Wale wa michepuko tembeleeni malindi,la liga,alberto,makumba,glacious,pia zuga kama unapita ushirika pale
 
Back
Top Bottom