jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,323
Hii riwaya ya mjengwa naona inahitaji unazi kuielewa, mimi binafsi nilitarajia kusikia ushuhuda wa wanakijiji wa nyololo jinsi walivyoshuhudia tukio zima, maoni yao kiukweli nani kafanya fujo, ni wao wanakijiji ama ni polisi.
Nilitarajia kusikia kutoka kwa hao wanakijiji kuwa nini kiliwasababisha wafanye fujo hadi kusababisha polisi watumie mabomu kuwaua.
Nyololo walikuwa na wageni wa aina mbili, CHADEMA na POLISI, kama si wao wanakijiji ni nani alianzisha fujo bin vurugu
Mjengwa unauliza vimaswali kama mwalimu wa watoto wenye mtindio wa ubongo!!!!
Nakupa DISLIKE
Nilitarajia kusikia kutoka kwa hao wanakijiji kuwa nini kiliwasababisha wafanye fujo hadi kusababisha polisi watumie mabomu kuwaua.
Nyololo walikuwa na wageni wa aina mbili, CHADEMA na POLISI, kama si wao wanakijiji ni nani alianzisha fujo bin vurugu
Mjengwa unauliza vimaswali kama mwalimu wa watoto wenye mtindio wa ubongo!!!!
Nakupa DISLIKE