LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 457
- 1,746
Hizi ni hasara za kukaa kijijini
Tukianza ukiwa kijijini Kuna vitu lazima utavikosa.
Akili yako inakuwa haipanuki yaani unakuwa ni kama umefungiwa kwenye kibubu
Ukinunua kitu hasa cha kuanzia m1 kwenda juu habari zinaenda mpaka mtaa wa sita
Utafanya kazi za serikali za kujenga sijui kupeleka mawe mchanga shuleni na michango kibao ambayo mamba hayo mjini hakunaga kabisa
Upatikanaji rahisi wa vitu mfano mm hapa naweza pata simu au tv ya laki moja kwa chap kutoka kwa mtu ila kijijini Hilo sahau
Hata ukiwa na pesa kijijini Kuna vitu tu utavikosa mfano kula unachokitaka,
Kila utakacho kiona na kukisikia kwenye tv au radio utakiamini
Usipoenda msibani au kutoa mchango unawekewa kikao hii ni tofauti na mjini
Kusaidiwa ni mpaka mtu awe anakujua hii ni tofauti na mjini
Mtu kukupa teni kama ngawira hata kama awe ni msela wako kiasi gani Hilo sahau,
Huna uchaguzi ni wapi mtoto wako akasome hasa msingi zaidi ya shule ya kijijini kwako,
Hasara za mjini
Moshi wa magari barabarani hasa kwa watembea kwa miguu
makelele kila Kona hasa kwa wapangaji,
Kama wewe ni day worker omba usiumwe maana ukizidiwa tunakurudisha kijijini
mjini akiba ya chakula ni pesa mfukoni hii ni tofauti na kijijini
Mjini akili haipumzukagi kila siku ni stress kila inapoanza jumatatu hasa kwa walioajiriwa,
Maradhi yote unayoyajua wewe yapo mjini
Wachafu wote wapo mjini
shetani pia yupo mjini
Tukianza ukiwa kijijini Kuna vitu lazima utavikosa.
Akili yako inakuwa haipanuki yaani unakuwa ni kama umefungiwa kwenye kibubu
Ukinunua kitu hasa cha kuanzia m1 kwenda juu habari zinaenda mpaka mtaa wa sita
Utafanya kazi za serikali za kujenga sijui kupeleka mawe mchanga shuleni na michango kibao ambayo mamba hayo mjini hakunaga kabisa
Upatikanaji rahisi wa vitu mfano mm hapa naweza pata simu au tv ya laki moja kwa chap kutoka kwa mtu ila kijijini Hilo sahau
Hata ukiwa na pesa kijijini Kuna vitu tu utavikosa mfano kula unachokitaka,
Kila utakacho kiona na kukisikia kwenye tv au radio utakiamini
Usipoenda msibani au kutoa mchango unawekewa kikao hii ni tofauti na mjini
Kusaidiwa ni mpaka mtu awe anakujua hii ni tofauti na mjini
Mtu kukupa teni kama ngawira hata kama awe ni msela wako kiasi gani Hilo sahau,
Huna uchaguzi ni wapi mtoto wako akasome hasa msingi zaidi ya shule ya kijijini kwako,
Hasara za mjini
Moshi wa magari barabarani hasa kwa watembea kwa miguu
makelele kila Kona hasa kwa wapangaji,
Kama wewe ni day worker omba usiumwe maana ukizidiwa tunakurudisha kijijini
mjini akiba ya chakula ni pesa mfukoni hii ni tofauti na kijijini
Mjini akili haipumzukagi kila siku ni stress kila inapoanza jumatatu hasa kwa walioajiriwa,
Maradhi yote unayoyajua wewe yapo mjini
Wachafu wote wapo mjini
shetani pia yupo mjini