hakuna kuumbuka,at this level we learn from each other mkuuMwache inaonekana wakati watu wanasoma Riwaya na tamsilia alikuwa anakacha vipindi vya kiswahili akidhani akiongea kiswahili cha kikwere na kizaramo anajiona anajua,... Leo kaumbuka jamvini!
Duuh! Pumba zimejaa humu. Mi naona bora jina la forum libadilishwe kidogo to 'jamii forum/home of negative thinkers' Ni mtazamo tu...