Wakuu, nipo kwenye mahusiano na binti fulani ambaye nilikutana naye katika harakati za kutafuta maisha hapa hapa mjini yeye akadai ananipenda na wala hakuonyesha dalili tofauti ila siku za karibuni baada ya kuyumba kidogo kiuchumi basi nikaanza kuona mabadiliko fulani nikaamua kutumia uzoefu wangu mdogo kufuatilia bila yeye kujua.
Aisee niliyo shuhudia ni mazito, dada analala mpaka na watu ambao nawaita babu. Yaani mpaka sasa nimebaki na butwaa nasubiri miezi mitatu ipite nikapime afya halafu nijue nifanyeje.
NB: Wachunguzeni watu wenu kwa usalama wenu. Mwanaume usije muamini mwanamke kirahisi hata iwaje
Aisee niliyo shuhudia ni mazito, dada analala mpaka na watu ambao nawaita babu. Yaani mpaka sasa nimebaki na butwaa nasubiri miezi mitatu ipite nikapime afya halafu nijue nifanyeje.
NB: Wachunguzeni watu wenu kwa usalama wenu. Mwanaume usije muamini mwanamke kirahisi hata iwaje