Handsome boy 1
Senior Member
- Jun 2, 2021
- 105
- 142
Mmh atar ilishawahi kunikuta hii na nkapiga simu hivyohivyo kama ulivyofanya lkn mmh wanawake wamezidi bhn na mimi hakuwa mchepuko alikuwa dem wangu kabisa najitoa kwake lkn nlikuja kushtukia dili
Jamaa alipagawaukimwi utaonekana after 3 months wewe ukamzoa usiku huohuo?ulidhani ungekuta huo ukimwi?
Yeye hajaolewa wewe umeoa uoni kama unamnyima haki yake ya msingiNnawasalim sana wakuu, nnaomba niende kwenye mada moja kwa moja.
Ni hivi mimi ni mwajiriwa na niko mkoa fulani, familia yangu iko Mkoa Mwingine. Sasa baada ya kuja hapa ktk pitapita zangu nikakutana na binti mmoja mzuri tu na mwenye sura ya upole na mtulivu, yeye anafanya kazi sector binafsi.
Basi Wakuu kama kawaida nikaona nisiendelee kuteseka nikajiweka lkn kwa sharti kwamba lazma kupima afya na yeye akakubali. Nlimfahamisha nna familia so akawa anajua na akanambia alikua na mtu sema wameachana.
Asante kwa kutoa ushauri Mzuri.Sawa mkuu,rudi tena baada ya miezi mitatu ukacheck afya yako.Kabla ya kukutana na mama watoto wakoNnawasalim sana wakuu, nnaomba niende kwenye mada moja kwa moja.
Ni hivi mimi ni mwajiriwa na niko mkoa fulani, familia yangu iko Mkoa Mwingine. Sasa baada ya kuja hapa ktk pitapita zangu nikakutana na binti mmoja mzuri tu na mwenye sura ya upole na mtulivu, yeye anafanya kazi sector binafsi.
Mshahara wa dhambi ni mauti, baki njia kuu.Nnawasalim sana wakuu, nnaomba niende kwenye mada moja kwa moja.
Ni hivi mimi ni mwajiriwa na niko mkoa fulani, familia yangu iko Mkoa Mwingine. Sasa baada ya kuja hapa ktk pitapita zangu nikakutana na binti mmoja mzuri tu na mwenye sura ya upole na mtulivu, yeye anafanya kazi sector binafsi.
🤣🤣 Haya bwanaMwenzio amesema anafanya kazi mbali na familia,alikuwa anajaribu kutafuta sehemu ya kupumulia akiwa mbali na wife.
Kumbuka sex haikwepeki mkuu.
Kweli ukimwi upo aisee
Moyo umeniuma sana yaanKabisa mkuu kwa hiyo chain hapo filiria mmoja anao ndio tunaukwaa wote yaani, ni hatari sana, ila tofauti na wengine ambao huwa wanaletaga hizi nyuzi kama kujitamba, mi nimeona niulete kama Somo kwa wenye akili ili wafaidike kupitia makosa yangu, kusoma ni kusoma tu iwe kwa kupitia makosa ya mwenzio au kinyume chake
Ukute ni Njombe. kwisha habar yake. kule kuna virus had vinatoa rushwa kwenye vipimio!Mkoa gani huo kaka?
Moyo umeniuma sana yaan
ukute ni njombe. kwisha habar yake. kule kuna virus had vinatoa rushwa kwenye vipimio!
Ko una mke ila unawivu na mchepuko hatari, kweli wanaume hatupend kushindwa
Sema kweli?Mapenzi yanaumiza mno.bora niwe mtawa aise
Mume wangu yupo mbali na tunaishi ivoKwanini mkuu