Nilichokikuta kwa Mchepuko wangu jana, wanaume tuwe makini

Nnawasalim sana wakuu, nnaomba niende kwenye mada moja kwa moja.

Ni hivi mimi ni mwajiriwa na niko mkoa fulani, familia yangu iko Mkoa Mwingine. Sasa baada ya kuja hapa ktk pitapita zangu nikakutana na binti mmoja mzuri tu na mwenye sura ya upole na mtulivu, yeye anafanya kazi sector binafsi.

Basi Wakuu kama kawaida nikaona nisiendelee kuteseka nikajiweka lkn kwa sharti kwamba lazma kupima afya na yeye akakubali. Nlimfahamisha nna familia so akawa anajua na akanambia alikua na mtu sema wameachana.

Basi maisha yakasonga, nikajikuta nnampenda kwa maana aliniwezea sana lkn pia ni mtulivu huwez mdhania.
Basi bwana Weekend ile kabla ya hii ya juzi siku ya jumamosi akawa Hapatikan kabisa ktk sim zake, kutwa nzima isipokua kuna saa ikaita mpaka ikakatika na baada ya hapo hakupatikana tena.

Jion sana akapatikana na nlipomhoji kulikoni akanambia alikua shamba nje ya mji na hakuna mawasiliano. Nikamuuliza toka msimu wa kilimo unaanza mpaka sasa wanavuna sikuwahi kusikia una shamba kulikoni?

Akajibu simple tu kwamba analo na hakunambia, ila kiuwanaume nikaona tayar hapa kuna issue ila nikatulia kukusanya ushahidi na hakika mipango yangu ilikua nimpakie garini nimtake anipeleek huko shamba.

Sasa baada ya huo mkasa nikasafiri na nikamuaga. Siku ya jumatatu nikarejea bila kumwambia na nlipofika nikampigia akanambia yuko saluni, ila baada kama ya saa moja na hivi nikaanza kumpigia hapatikani kabisa, nikaona hapa tayaar.

Basi nikaenda kwake, gonga sana mlango na dirisha lkn hapakua na dalili ya uwepo wa tu zaidi ya viumbe kama panya.
Siku ile nikapanga kuhakikisha nnapata ukweli so nikarejea kwangu then nikatulia (sikulala kabisa) mpaka saa 11 alfajri nikaenda kutega njia anayopitaga kwenda kazini lkn mpaka panapambazuka hakutokea. Muda kidogo simu zake zikawa hewani akanza ngonjjera kua alisahau charger ofisin ndio maana hakupatikana kwakua simu ilizima.

Basi nikajifanya boya, jion nikamuibukia home nikambana akagoma kua hachepuki, basi mwanaume nikalegezwa na nikapewa na mbususu.

Nlipoanza zoez tu nikakuta kitu sio kabisa bas nikakomaa ila nlipomaliza nikamuuliza mbona leo baridi sana akaanza blahblah. Hapo sasa nikasema mimi na yeye na yeye na mimi, nikachukua sim nikataka kusepa nayo aisee akaanza kuweweseka na hilo likanipa sababu ya kukomaa zaidi. Bas bwana baada ya kumbana akakubali kua kweli hakua home alilala kwa jamaake na akakiri aliliwa.

Kwanza nikapata hasira mnoo baada ya kujua alipokojoa muuni bila kinga na mimi nimerejea hapo ktk muda usiozidi masaa 12. Nlichofanya nikamzoa muda kama wa saa saba mpaka dispensary kupima afya tukawa poa then nikampeleka mahala nikamtaka afungue simu hapo ndio balaa lilipoibuka maana aligoma kabisa.

Bas wakati malumbano yanaendelea kama muda wa saa nane usiku akapiga jamaa nikapokea ebwana nikamchana mwana kua jopange hapa huna mtu maana tuko foleni kama ya mbagala na namba yake nikachukua huku dem kaganda kama sanamu.

Baada ya simu ile nikamkaba kwa mbinu za medani akafungua simu, ebwanaeee niakkuta Chart za jamaa aliemla ule usiku( Huyu sio aliepiga simu) wanaelezana mchezo ulivyokua.

Nilakuta na Chart za mwana aliepiga simu nae ni jamaa yake na ndio waliokua wote ile weekend nliokua simpati, nikakuta na mawasiliano ya muuni mwingine tena anakula lkn na namba kibaoo, yaani nyingi zenye majina na ambazo hazipo ktk phone book zote mapenz matupu.

Ila kwa uhakika kabisa nikajikuta ndani ya Mkoa huu niliopo kuna wana watatu na mimi wa nne tunamkula huyu mtu mmoja na bahati mbaya hakuna kinga hapo.

Kiukweli nilijaa upepo, nlichofanya nikachukua namba za wana na wote nimewapa taarifa juu ya hii chain maana ni hatari mnoo. Bahati mbaya sana nikagundua wote ni vijana na tuna familia, hapa nikajiuliza manaake mmoja kati yetu angekwaa lolote hapa manaake chain yote hii na wake zetu wangekua hatarini.

Pamoja na kwamba nimefupisha hii story, somo kuu nlilopata na ambalo nnawapa ninyi vijana wenzangu ni ACHA MICHEPUKO, KUA MAKINI SANA NA USITHUBUTU KUMWAMINI MTU, nnarudia haswa kwa wanaume tuepuke kua na imani na hawa watu, hata kama umepima aisee usijidanganye ukaenda kihuni utaja lia.

Lingine la Muhimu sana ni kuweka akilini ule msemo kua 'Wanawake malaya wako salama kiafya' kuliko hawa wa mtaani,ofisini naavyuoni, yaan hao ambao bila kinga humgusi ni safe kuliko hawa wa mazoea ambao anawapanga na anaweza maliza Ukoo.

Mwisho japo sio kwa Umuhimu, nimejionea hatari ya kuchepuka kupitia hili tukio, vijana tuache zinaa na tuwe mkini, usipime mtu kwa macho ama hospital na ukamwamini, itakugharimu.

Niwieni radhi kwa hili Bandiko, ukisoma kwa utulivu utapata kitu, utajifunza.
Wassalaam na Nnawatakia kila la kheir
jombaaa ndo umejua leo??? Mbona umechelewa sana......
Halafu umefanya kazi sana.... sasa dada mrembo unadganu asifanywe kwa nini??

Tena wengine wimawima.
 
Mambo mengne ni ushamba..

Ww una mke wako na unajua kabisa huna future na huyo binti wa watu halafu unambana utafikiri ni mkeo.. Huo ni upunguani. Nenda kambane mkeo asigongwe na bodaboda huko ulikomuacha acha kumbania nafasi mtoto wa watu..

Huo umakini unaouweka kwa mchepuko uweke kwa mkeo. Ww jifanye kujitoa ufahamu utalea watoto wa majirani zako ulikomuacha mkeo shauri yako.
siyo vizuri kumpa makavu nwenzio unaona sasa kalegea......
 
Lkn Kweli Mungu yupo jamani khaa!

yaani humu Duniani me na ke tuko karibia sawa kwa idadi.

mkitugawa kila mtu me yaani atapata wa kwake ke umri na lika lilelile.

Watu Billion 7- ke biliion 3.900. Na me billion 3.0002
Mnaona tuko karibia sawa.hapa ni Kila mtu na wake.
 
Hii ni hatari sana, una wivu mpaka kwa mchepuko. Utaitelekeza familia sasa hivi punguza wivu mkuu.

Kama umeamua kuchepuka chepuka tu , kuanza kumfuatilia mchepuko kama mke wako ni kutafuta msongamano wa mawazo.
 
Back in time 2019 niliwahi pata tukio kama lako chief ila pia yule mwanamke hawezi nisahau katika maisha yake, sikumgusa wala ila moto aliopitia ilifika wakati nikawa ninamhurumia tu ila ndo ivo huwa sirudi nyuma tena
 
Nnawasalim sana wakuu, nnaomba niende kwenye mada moja kwa moja.

Ni hivi mimi ni mwajiriwa na niko mkoa fulani, familia yangu iko Mkoa Mwingine. Sasa baada ya kuja hapa ktk pitapita zangu nikakutana na binti mmoja mzuri tu na mwenye sura ya upole na mtulivu, yeye anafanya kazi sector binafsi.

Basi Wakuu kama kawaida nikaona nisiendelee kuteseka nikajiweka lkn kwa sharti kwamba lazma kupima afya na yeye akakubali. Nlimfahamisha nna familia so akawa anajua na akanambia alikua na mtu sema wameachana.

Basi maisha yakasonga, nikajikuta nnampenda kwa maana aliniwezea sana lkn pia ni mtulivu huwez mdhania.
Basi bwana Weekend ile kabla ya hii ya juzi siku ya jumamosi akawa Hapatikan kabisa ktk sim zake, kutwa nzima isipokua kuna saa ikaita mpaka ikakatika na baada ya hapo hakupatikana tena.

Jion sana akapatikana na nlipomhoji kulikoni akanambia alikua shamba nje ya mji na hakuna mawasiliano. Nikamuuliza toka msimu wa kilimo unaanza mpaka sasa wanavuna sikuwahi kusikia una shamba kulikoni?

Akajibu simple tu kwamba analo na hakunambia, ila kiuwanaume nikaona tayar hapa kuna issue ila nikatulia kukusanya ushahidi na hakika mipango yangu ilikua nimpakie garini nimtake anipeleek huko shamba.

Sasa baada ya huo mkasa nikasafiri na nikamuaga. Siku ya jumatatu nikarejea bila kumwambia na nlipofika nikampigia akanambia yuko saluni, ila baada kama ya saa moja na hivi nikaanza kumpigia hapatikani kabisa, nikaona hapa tayaar.

Basi nikaenda kwake, gonga sana mlango na dirisha lkn hapakua na dalili ya uwepo wa tu zaidi ya viumbe kama panya.
Siku ile nikapanga kuhakikisha nnapata ukweli so nikarejea kwangu then nikatulia (sikulala kabisa) mpaka saa 11 alfajri nikaenda kutega njia anayopitaga kwenda kazini lkn mpaka panapambazuka hakutokea. Muda kidogo simu zake zikawa hewani akanza ngonjjera kua alisahau charger ofisin ndio maana hakupatikana kwakua simu ilizima.

Basi nikajifanya boya, jion nikamuibukia home nikambana akagoma kua hachepuki, basi mwanaume nikalegezwa na nikapewa na mbususu.

Nlipoanza zoez tu nikakuta kitu sio kabisa bas nikakomaa ila nlipomaliza nikamuuliza mbona leo baridi sana akaanza blahblah. Hapo sasa nikasema mimi na yeye na yeye na mimi, nikachukua sim nikataka kusepa nayo aisee akaanza kuweweseka na hilo likanipa sababu ya kukomaa zaidi. Bas bwana baada ya kumbana akakubali kua kweli hakua home alilala kwa jamaake na akakiri aliliwa.

Kwanza nikapata hasira mnoo baada ya kujua alipokojoa muuni bila kinga na mimi nimerejea hapo ktk muda usiozidi masaa 12. Nlichofanya nikamzoa muda kama wa saa saba mpaka dispensary kupima afya tukawa poa then nikampeleka mahala nikamtaka afungue simu hapo ndio balaa lilipoibuka maana aligoma kabisa.

Bas wakati malumbano yanaendelea kama muda wa saa nane usiku akapiga jamaa nikapokea ebwana nikamchana mwana kua jopange hapa huna mtu maana tuko foleni kama ya mbagala na namba yake nikachukua huku dem kaganda kama sanamu.

Baada ya simu ile nikamkaba kwa mbinu za medani akafungua simu, ebwanaeee niakkuta Chart za jamaa aliemla ule usiku( Huyu sio aliepiga simu) wanaelezana mchezo ulivyokua.

Nilakuta na Chart za mwana aliepiga simu nae ni jamaa yake na ndio waliokua wote ile weekend nliokua simpati, nikakuta na mawasiliano ya muuni mwingine tena anakula lkn na namba kibaoo, yaani nyingi zenye majina na ambazo hazipo ktk phone book zote mapenz matupu.

Ila kwa uhakika kabisa nikajikuta ndani ya Mkoa huu niliopo kuna wana watatu na mimi wa nne tunamkula huyu mtu mmoja na bahati mbaya hakuna kinga hapo.

Kiukweli nilijaa upepo, nlichofanya nikachukua namba za wana na wote nimewapa taarifa juu ya hii chain maana ni hatari mnoo. Bahati mbaya sana nikagundua wote ni vijana na tuna familia, hapa nikajiuliza manaake mmoja kati yetu angekwaa lolote hapa manaake chain yote hii na wake zetu wangekua hatarini.

Pamoja na kwamba nimefupisha hii story, somo kuu nlilopata na ambalo nnawapa ninyi vijana wenzangu ni ACHA MICHEPUKO, KUA MAKINI SANA NA USITHUBUTU KUMWAMINI MTU, nnarudia haswa kwa wanaume tuepuke kua na imani na hawa watu, hata kama umepima aisee usijidanganye ukaenda kihuni utaja lia.

Lingine la Muhimu sana ni kuweka akilini ule msemo kua 'Wanawake malaya wako salama kiafya' kuliko hawa wa mtaani,ofisini naavyuoni, yaan hao ambao bila kinga humgusi ni safe kuliko hawa wa mazoea ambao anawapanga na anaweza maliza Ukoo.

Mwisho japo sio kwa Umuhimu, nimejionea hatari ya kuchepuka kupitia hili tukio, vijana tuache zinaa na tuwe mkini, usipime mtu kwa macho ama hospital na ukamwamini, itakugharimu.

Niwieni radhi kwa hili Bandiko, ukisoma kwa utulivu utapata kitu, utajifunza.
Wassalaam na Nnawatakia kila la kheir
Acha uwoga wewe
 
Michango yenu inazidi nipa elimu bila kujali imekuja kwa lugha gani, yes nnakubaliana na nyie na haswa aliekemea uzinzi hapo juu, kwakweli tumuombe Mungu atuepushe na hii mitihani
Leo una akili, ila utashangaa mwenyewe unachepuka tena..

Usicheze na utamu wa nje... Maana unakutana na pisi Kali kuliko mke wako, pisi imefungasha huko nyuma, mwenyewee unaingia mtegoni.
 
usijifariji, una miezi mingine mitatu ya kujisubirisha ili ukapime tena. usimguse wife wako kabla ya miezi hiyo kama unampenda yeye na watoto, utawaua.
 
Nnawasalim sana wakuu, nnaomba niende kwenye mada moja kwa moja.

Ni hivi mimi ni mwajiriwa na niko mkoa fulani, familia yangu iko Mkoa Mwingine. Sasa baada ya kuja hapa ktk pitapita zangu nikakutana na binti mmoja mzuri tu na mwenye sura ya upole na mtulivu, yeye anafanya kazi sector binafsi.

Basi Wakuu kama kawaida nikaona nisiendelee kuteseka nikajiweka lkn kwa sharti kwamba lazma kupima afya na yeye akakubali. Nlimfahamisha nna familia so akawa anajua na akanambia alikua na mtu sema wameachana.

Basi maisha yakasonga, nikajikuta nnampenda kwa maana aliniwezea sana lkn pia ni mtulivu huwez mdhania.
Basi bwana Weekend ile kabla ya hii ya juzi siku ya jumamosi akawa Hapatikan kabisa ktk sim zake, kutwa nzima isipokua kuna saa ikaita mpaka ikakatika na baada ya hapo hakupatikana tena.

Jion sana akapatikana na nlipomhoji kulikoni akanambia alikua shamba nje ya mji na hakuna mawasiliano. Nikamuuliza toka msimu wa kilimo unaanza mpaka sasa wanavuna sikuwahi kusikia una shamba kulikoni?

Akajibu simple tu kwamba analo na hakunambia, ila kiuwanaume nikaona tayar hapa kuna issue ila nikatulia kukusanya ushahidi na hakika mipango yangu ilikua nimpakie garini nimtake anipeleek huko shamba.

Sasa baada ya huo mkasa nikasafiri na nikamuaga. Siku ya jumatatu nikarejea bila kumwambia na nlipofika nikampigia akanambia yuko saluni, ila baada kama ya saa moja na hivi nikaanza kumpigia hapatikani kabisa, nikaona hapa tayaar.

Basi nikaenda kwake, gonga sana mlango na dirisha lkn hapakua na dalili ya uwepo wa tu zaidi ya viumbe kama panya.
Siku ile nikapanga kuhakikisha nnapata ukweli so nikarejea kwangu then nikatulia (sikulala kabisa) mpaka saa 11 alfajri nikaenda kutega njia anayopitaga kwenda kazini lkn mpaka panapambazuka hakutokea. Muda kidogo simu zake zikawa hewani akanza ngonjjera kua alisahau charger ofisin ndio maana hakupatikana kwakua simu ilizima.

Basi nikajifanya boya, jion nikamuibukia home nikambana akagoma kua hachepuki, basi mwanaume nikalegezwa na nikapewa na mbususu.

Nlipoanza zoez tu nikakuta kitu sio kabisa bas nikakomaa ila nlipomaliza nikamuuliza mbona leo baridi sana akaanza blahblah. Hapo sasa nikasema mimi na yeye na yeye na mimi, nikachukua sim nikataka kusepa nayo aisee akaanza kuweweseka na hilo likanipa sababu ya kukomaa zaidi. Bas bwana baada ya kumbana akakubali kua kweli hakua home alilala kwa jamaake na akakiri aliliwa.

Kwanza nikapata hasira mnoo baada ya kujua alipokojoa muuni bila kinga na mimi nimerejea hapo ktk muda usiozidi masaa 12. Nlichofanya nikamzoa muda kama wa saa saba mpaka dispensary kupima afya tukawa poa then nikampeleka mahala nikamtaka afungue simu hapo ndio balaa lilipoibuka maana aligoma kabisa.

Bas wakati malumbano yanaendelea kama muda wa saa nane usiku akapiga jamaa nikapokea ebwana nikamchana mwana kua jopange hapa huna mtu maana tuko foleni kama ya mbagala na namba yake nikachukua huku dem kaganda kama sanamu.

Baada ya simu ile nikamkaba kwa mbinu za medani akafungua simu, ebwanaeee niakkuta Chart za jamaa aliemla ule usiku( Huyu sio aliepiga simu) wanaelezana mchezo ulivyokua.

Nilakuta na Chart za mwana aliepiga simu nae ni jamaa yake na ndio waliokua wote ile weekend nliokua simpati, nikakuta na mawasiliano ya muuni mwingine tena anakula lkn na namba kibaoo, yaani nyingi zenye majina na ambazo hazipo ktk phone book zote mapenz matupu.

Ila kwa uhakika kabisa nikajikuta ndani ya Mkoa huu niliopo kuna wana watatu na mimi wa nne tunamkula huyu mtu mmoja na bahati mbaya hakuna kinga hapo.

Kiukweli nilijaa upepo, nlichofanya nikachukua namba za wana na wote nimewapa taarifa juu ya hii chain maana ni hatari mnoo. Bahati mbaya sana nikagundua wote ni vijana na tuna familia, hapa nikajiuliza manaake mmoja kati yetu angekwaa lolote hapa manaake chain yote hii na wake zetu wangekua hatarini.

Pamoja na kwamba nimefupisha hii story, somo kuu nlilopata na ambalo nnawapa ninyi vijana wenzangu ni ACHA MICHEPUKO, KUA MAKINI SANA NA USITHUBUTU KUMWAMINI MTU, nnarudia haswa kwa wanaume tuepuke kua na imani na hawa watu, hata kama umepima aisee usijidanganye ukaenda kihuni utaja lia.

Lingine la Muhimu sana ni kuweka akilini ule msemo kua 'Wanawake malaya wako salama kiafya' kuliko hawa wa mtaani,ofisini naavyuoni, yaan hao ambao bila kinga humgusi ni safe kuliko hawa wa mazoea ambao anawapanga na anaweza maliza Ukoo.

Mwisho japo sio kwa Umuhimu, nimejionea hatari ya kuchepuka kupitia hili tukio, vijana tuache zinaa na tuwe mkini, usipime mtu kwa macho ama hospital na ukamwamini, itakugharimu.

Niwieni radhi kwa hili Bandiko, ukisoma kwa utulivu utapata kitu, utajifunza.
Wassalaam na Nnawatakia kila la kheir

Mwanamke yeyote ninayekutana naye nje ya ndoa yangu huwa nimeshajiwekea sheria. Kama amenikubali huku akijua nina familia basi atamkubalia mwanaume mwingine kama alivyonikubali. kwa hiyo ni ujinga kudhani kuwa uko peke yake.
 
Mapenzi yanakuwa magumu kwa sabab moja tu; WIVU WA WANAUME! siku wanaume tukikubali ukweli na hali kuwa hata wanawake wanahitaji kubadili ladha yan wanataman pia, tutachukulia hicho kiungo kawaida sana kama wahusika wacho na kuishi kwa usawazisho. tuache ubinafs na kuwekeza akili nyingi kwenye kiungo cha mtu mwingine! kwa maana mwanamke hata atembee na kijiji habadiliki kiungo mana utam uko kichwan mwa mwenzie sio kiungo. ila kiukweli waliooana wanakatisha tamaa kwa walioko nje kutaman kuoa/kuolewa. wamekuwa mifano hasi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom