Nilichokikuta kwa Mchepuko wangu jana, wanaume tuwe makini

Nnawasalim sana wakuu, nnaomba niende kwenye mada moja kwa moja.

Ni hivi mimi ni mwajiriwa na niko mkoa fulani, familia yangu iko Mkoa Mwingine. Sasa baada ya kuja hapa ktk pitapita zangu nikakutana na binti mmoja mzuri tu na mwenye sura ya upole na mtulivu, yeye anafanya kazi sector binafsi.

Basi Wakuu kama kawaida nikaona nisiendelee kuteseka nikajiweka lkn kwa sharti kwamba lazma kupima afya na yeye akakubali. Nlimfahamisha nna familia so akawa anajua na akanambia alikua na mtu sema wameachana.

Basi maisha yakasonga, nikajikuta nnampenda kwa maana aliniwezea sana lkn pia ni mtulivu huwez mdhania.
Basi bwana Weekend ile kabla ya hii ya juzi siku ya jumamosi akawa Hapatikan kabisa ktk sim zake, kutwa nzima isipokua kuna saa ikaita mpaka ikakatika na baada ya hapo hakupatikana tena.

Jion sana akapatikana na nlipomhoji kulikoni akanambia alikua shamba nje ya mji na hakuna mawasiliano. Nikamuuliza toka msimu wa kilimo unaanza mpaka sasa wanavuna sikuwahi kusikia una shamba kulikoni?

Akajibu simple tu kwamba analo na hakunambia, ila kiuwanaume nikaona tayar hapa kuna issue ila nikatulia kukusanya ushahidi na hakika mipango yangu ilikua nimpakie garini nimtake anipeleek huko shamba.

Sasa baada ya huo mkasa nikasafiri na nikamuaga. Siku ya jumatatu nikarejea bila kumwambia na nlipofika nikampigia akanambia yuko saluni, ila baada kama ya saa moja na hivi nikaanza kumpigia hapatikani kabisa, nikaona hapa tayaar.

Basi nikaenda kwake, gonga sana mlango na dirisha lkn hapakua na dalili ya uwepo wa tu zaidi ya viumbe kama panya.
Siku ile nikapanga kuhakikisha nnapata ukweli so nikarejea kwangu then nikatulia (sikulala kabisa) mpaka saa 11 alfajri nikaenda kutega njia anayopitaga kwenda kazini lkn mpaka panapambazuka hakutokea. Muda kidogo simu zake zikawa hewani akanza ngonjjera kua alisahau charger ofisin ndio maana hakupatikana kwakua simu ilizima.

Basi nikajifanya boya, jion nikamuibukia home nikambana akagoma kua hachepuki, basi mwanaume nikalegezwa na nikapewa na mbususu.

Nlipoanza zoez tu nikakuta kitu sio kabisa bas nikakomaa ila nlipomaliza nikamuuliza mbona leo baridi sana akaanza blahblah. Hapo sasa nikasema mimi na yeye na yeye na mimi, nikachukua sim nikataka kusepa nayo aisee akaanza kuweweseka na hilo likanipa sababu ya kukomaa zaidi. Bas bwana baada ya kumbana akakubali kua kweli hakua home alilala kwa jamaake na akakiri aliliwa.

Kwanza nikapata hasira mnoo baada ya kujua alipokojoa muuni bila kinga na mimi nimerejea hapo ktk muda usiozidi masaa 12. Nlichofanya nikamzoa muda kama wa saa saba mpaka dispensary kupima afya tukawa poa then nikampeleka mahala nikamtaka afungue simu hapo ndio balaa lilipoibuka maana aligoma kabisa.

Bas wakati malumbano yanaendelea kama muda wa saa nane usiku akapiga jamaa nikapokea ebwana nikamchana mwana kua jopange hapa huna mtu maana tuko foleni kama ya mbagala na namba yake nikachukua huku dem kaganda kama sanamu.

Baada ya simu ile nikamkaba kwa mbinu za medani akafungua simu, ebwanaeee niakkuta Chart za jamaa aliemla ule usiku( Huyu sio aliepiga simu) wanaelezana mchezo ulivyokua.

Nilakuta na Chart za mwana aliepiga simu nae ni jamaa yake na ndio waliokua wote ile weekend nliokua simpati, nikakuta na mawasiliano ya muuni mwingine tena anakula lkn na namba kibaoo, yaani nyingi zenye majina na ambazo hazipo ktk phone book zote mapenz matupu.

Ila kwa uhakika kabisa nikajikuta ndani ya Mkoa huu niliopo kuna wana watatu na mimi wa nne tunamkula huyu mtu mmoja na bahati mbaya hakuna kinga hapo.

Kiukweli nilijaa upepo, nlichofanya nikachukua namba za wana na wote nimewapa taarifa juu ya hii chain maana ni hatari mnoo. Bahati mbaya sana nikagundua wote ni vijana na tuna familia, hapa nikajiuliza manaake mmoja kati yetu angekwaa lolote hapa manaake chain yote hii na wake zetu wangekua hatarini.

Pamoja na kwamba nimefupisha hii story, somo kuu nlilopata na ambalo nnawapa ninyi vijana wenzangu ni ACHA MICHEPUKO, KUA MAKINI SANA NA USITHUBUTU KUMWAMINI MTU, nnarudia haswa kwa wanaume tuepuke kua na imani na hawa watu, hata kama umepima aisee usijidanganye ukaenda kihuni utaja lia.

Lingine la Muhimu sana ni kuweka akilini ule msemo kua 'Wanawake malaya wako salama kiafya' kuliko hawa wa mtaani,ofisini naavyuoni, yaan hao ambao bila kinga humgusi ni safe kuliko hawa wa mazoea ambao anawapanga na anaweza maliza Ukoo.

Mwisho japo sio kwa Umuhimu, nimejionea hatari ya kuchepuka kupitia hili tukio, vijana tuache zinaa na tuwe mkini, usipime mtu kwa macho ama hospital na ukamwamini, itakugharimu.

Niwieni radhi kwa hili Bandiko, ukisoma kwa utulivu utapata kitu, utajifunza.
Wassalaam na Nnawatakia kila la kheir
Nyie mliooa mtuachie mademu zetu huku mtaani,maana tukigusa wake zenu mnalalamika kweri kweri(kwa sauti ya yule jamaa)
 
Hatariiii hatariiii hatariiii hatariiii hatariiii

Watu wamemwacha Mungu Sasa mtavuna mlivo panda
 
Ulimpeleka dispensary kupima ukimwi kisa kagongeka siku moja kabla na last sunday huo ukimwi ulidhani atauonaje mkuu? ujiandae kubwia mbaazi
 
Malaya unamtolea roho kama sio uboya ni nini. Achana na mwanamke anayejitegemea na kapanga chumba hawafai. Rudia familia yako yaani umekula dry halafu unaenda kupima muda huo huo.
 
🤣🤣🤣🤣🤣mkuu wanasema ukiona unachoambiwa hakifanani na unachoona basi amini macho yako
Mnatandaziwa mbususu kwa ratiba
 
Wewe MPUMBAVU aisee una familia yako ila unataka kumchunga hawala ambaye ushamwambia unafamilia ninyi ndio mnatusumbua kwenye ofisi za umma
 
mkuu wewe una umri gani, na umesoma mpaka wapi? yaani mtu una mke, unamuambia binti una mke na anakukubali? huoni huyu ni malaya kaa wewe pia? wewe unacheat your wife, pls pls pls sex will kill some of you, nini hii munatafuta kwa mabinti? anyway you have learnt your lesson, but from my own understanding of you, sir you are not WISE
 
Nimeenda unavyosema TUNGEKUWA TUMEWAWEKA WAKE ZETU HATARINI"

Hii "nge" unamaanisha yani ulivoenda kupima umekuta negative basi fresh unajua jmeshapona yani?
Look veeere.
 
Nnawasalim sana wakuu, nnaomba niende kwenye mada moja kwa moja.

Ni hivi mimi ni mwajiriwa na niko mkoa fulani, familia yangu iko Mkoa Mwingine. Sasa baada ya kuja hapa ktk pitapita zangu nikakutana na binti mmoja mzuri tu na mwenye sura ya upole na mtulivu, yeye anafanya kazi sector binafsi.

Basi Wakuu kama kawaida nikaona nisiendelee kuteseka nikajiweka lkn kwa sharti kwamba lazma kupima afya na yeye akakubali. Nlimfahamisha nna familia so akawa anajua na akanambia alikua na mtu sema wameachana.

Basi maisha yakasonga, nikajikuta nnampenda kwa maana aliniwezea sana lkn pia ni mtulivu huwez mdhania.
Basi bwana Weekend ile kabla ya hii ya juzi siku ya jumamosi akawa Hapatikan kabisa ktk sim zake, kutwa nzima isipokua kuna saa ikaita mpaka ikakatika na baada ya hapo hakupatikana tena.

Jion sana akapatikana na nlipomhoji kulikoni akanambia alikua shamba nje ya mji na hakuna mawasiliano. Nikamuuliza toka msimu wa kilimo unaanza mpaka sasa wanavuna sikuwahi kusikia una shamba kulikoni?

Akajibu simple tu kwamba analo na hakunambia, ila kiuwanaume nikaona tayar hapa kuna issue ila nikatulia kukusanya ushahidi na hakika mipango yangu ilikua nimpakie garini nimtake anipeleek huko shamba.

Sasa baada ya huo mkasa nikasafiri na nikamuaga. Siku ya jumatatu nikarejea bila kumwambia na nlipofika nikampigia akanambia yuko saluni, ila baada kama ya saa moja na hivi nikaanza kumpigia hapatikani kabisa, nikaona hapa tayaar.

Basi nikaenda kwake, gonga sana mlango na dirisha lkn hapakua na dalili ya uwepo wa tu zaidi ya viumbe kama panya.
Siku ile nikapanga kuhakikisha nnapata ukweli so nikarejea kwangu then nikatulia (sikulala kabisa) mpaka saa 11 alfajri nikaenda kutega njia anayopitaga kwenda kazini lkn mpaka panapambazuka hakutokea. Muda kidogo simu zake zikawa hewani akanza ngonjjera kua alisahau charger ofisin ndio maana hakupatikana kwakua simu ilizima.

Basi nikajifanya boya, jion nikamuibukia home nikambana akagoma kua hachepuki, basi mwanaume nikalegezwa na nikapewa na mbususu.

Nlipoanza zoez tu nikakuta kitu sio kabisa bas nikakomaa ila nlipomaliza nikamuuliza mbona leo baridi sana akaanza blahblah. Hapo sasa nikasema mimi na yeye na yeye na mimi, nikachukua sim nikataka kusepa nayo aisee akaanza kuweweseka na hilo likanipa sababu ya kukomaa zaidi. Bas bwana baada ya kumbana akakubali kua kweli hakua home alilala kwa jamaake na akakiri aliliwa.

Kwanza nikapata hasira mnoo baada ya kujua alipokojoa muuni bila kinga na mimi nimerejea hapo ktk muda usiozidi masaa 12. Nlichofanya nikamzoa muda kama wa saa saba mpaka dispensary kupima afya tukawa poa then nikampeleka mahala nikamtaka afungue simu hapo ndio balaa lilipoibuka maana aligoma kabisa.

Bas wakati malumbano yanaendelea kama muda wa saa nane usiku akapiga jamaa nikapokea ebwana nikamchana mwana kua jopange hapa huna mtu maana tuko foleni kama ya mbagala na namba yake nikachukua huku dem kaganda kama sanamu.

Baada ya simu ile nikamkaba kwa mbinu za medani akafungua simu, ebwanaeee niakkuta Chart za jamaa aliemla ule usiku( Huyu sio aliepiga simu) wanaelezana mchezo ulivyokua.

Nilakuta na Chart za mwana aliepiga simu nae ni jamaa yake na ndio waliokua wote ile weekend nliokua simpati, nikakuta na mawasiliano ya muuni mwingine tena anakula lkn na namba kibaoo, yaani nyingi zenye majina na ambazo hazipo ktk phone book zote mapenz matupu.

Ila kwa uhakika kabisa nikajikuta ndani ya Mkoa huu niliopo kuna wana watatu na mimi wa nne tunamkula huyu mtu mmoja na bahati mbaya hakuna kinga hapo.

Kiukweli nilijaa upepo, nlichofanya nikachukua namba za wana na wote nimewapa taarifa juu ya hii chain maana ni hatari mnoo. Bahati mbaya sana nikagundua wote ni vijana na tuna familia, hapa nikajiuliza manaake mmoja kati yetu angekwaa lolote hapa manaake chain yote hii na wake zetu wangekua hatarini.

Pamoja na kwamba nimefupisha hii story, somo kuu nlilopata na ambalo nnawapa ninyi vijana wenzangu ni ACHA MICHEPUKO, KUA MAKINI SANA NA USITHUBUTU KUMWAMINI MTU, nnarudia haswa kwa wanaume tuepuke kua na imani na hawa watu, hata kama umepima aisee usijidanganye ukaenda kihuni utaja lia.

Lingine la Muhimu sana ni kuweka akilini ule msemo kua 'Wanawake malaya wako salama kiafya' kuliko hawa wa mtaani,ofisini naavyuoni, yaan hao ambao bila kinga humgusi ni safe kuliko hawa wa mazoea ambao anawapanga na anaweza maliza Ukoo.

Mwisho japo sio kwa Umuhimu, nimejionea hatari ya kuchepuka kupitia hili tukio, vijana tuache zinaa na tuwe mkini, usipime mtu kwa macho ama hospital na ukamwamini, itakugharimu.

Niwieni radhi kwa hili Bandiko, ukisoma kwa utulivu utapata kitu, utajifunza.
Wassalaam na Nnawatakia kila la kheir
Mwanangu jilaum mwenyewe kumtelekeza mke wako ukavamia uchafu. Utakufa kwa miwaya tokana na upumbavu na uroho wako.
 
Nnawasalim sana wakuu, nnaomba niende kwenye mada moja kwa moja.

Ni hivi mimi ni mwajiriwa na niko mkoa fulani, familia yangu iko Mkoa Mwingine. Sasa baada ya kuja hapa ktk pitapita zangu nikakutana na binti mmoja mzuri tu na mwenye sura ya upole na mtulivu, yeye anafanya kazi sector binafsi.

Basi Wakuu kama kawaida nikaona nisiendelee kuteseka nikajiweka lkn kwa sharti kwamba lazma kupima afya na yeye akakubali. Nlimfahamisha nna familia so akawa anajua na akanambia alikua na mtu sema wameachana.

Basi maisha yakasonga, nikajikuta nnampenda kwa maana aliniwezea sana lkn pia ni mtulivu huwez mdhania.
Basi bwana Weekend ile kabla ya hii ya juzi siku ya jumamosi akawa Hapatikan kabisa ktk sim zake, kutwa nzima isipokua kuna saa ikaita mpaka ikakatika na baada ya hapo hakupatikana tena.

Jion sana akapatikana na nlipomhoji kulikoni akanambia alikua shamba nje ya mji na hakuna mawasiliano. Nikamuuliza toka msimu wa kilimo unaanza mpaka sasa wanavuna sikuwahi kusikia una shamba kulikoni?

Akajibu simple tu kwamba analo na hakunambia, ila kiuwanaume nikaona tayar hapa kuna issue ila nikatulia kukusanya ushahidi na hakika mipango yangu ilikua nimpakie garini nimtake anipeleek huko shamba.

Sasa baada ya huo mkasa nikasafiri na nikamuaga. Siku ya jumatatu nikarejea bila kumwambia na nlipofika nikampigia akanambia yuko saluni, ila baada kama ya saa moja na hivi nikaanza kumpigia hapatikani kabisa, nikaona hapa tayaar.

Basi nikaenda kwake, gonga sana mlango na dirisha lkn hapakua na dalili ya uwepo wa tu zaidi ya viumbe kama panya.
Siku ile nikapanga kuhakikisha nnapata ukweli so nikarejea kwangu then nikatulia (sikulala kabisa) mpaka saa 11 alfajri nikaenda kutega njia anayopitaga kwenda kazini lkn mpaka panapambazuka hakutokea. Muda kidogo simu zake zikawa hewani akanza ngonjjera kua alisahau charger ofisin ndio maana hakupatikana kwakua simu ilizima.

Basi nikajifanya boya, jion nikamuibukia home nikambana akagoma kua hachepuki, basi mwanaume nikalegezwa na nikapewa na mbususu.

Nlipoanza zoez tu nikakuta kitu sio kabisa bas nikakomaa ila nlipomaliza nikamuuliza mbona leo baridi sana akaanza blahblah. Hapo sasa nikasema mimi na yeye na yeye na mimi, nikachukua sim nikataka kusepa nayo aisee akaanza kuweweseka na hilo likanipa sababu ya kukomaa zaidi. Bas bwana baada ya kumbana akakubali kua kweli hakua home alilala kwa jamaake na akakiri aliliwa.

Kwanza nikapata hasira mnoo baada ya kujua alipokojoa muuni bila kinga na mimi nimerejea hapo ktk muda usiozidi masaa 12. Nlichofanya nikamzoa muda kama wa saa saba mpaka dispensary kupima afya tukawa poa then nikampeleka mahala nikamtaka afungue simu hapo ndio balaa lilipoibuka maana aligoma kabisa.

Bas wakati malumbano yanaendelea kama muda wa saa nane usiku akapiga jamaa nikapokea ebwana nikamchana mwana kua jopange hapa huna mtu maana tuko foleni kama ya mbagala na namba yake nikachukua huku dem kaganda kama sanamu.

Baada ya simu ile nikamkaba kwa mbinu za medani akafungua simu, ebwanaeee niakkuta Chart za jamaa aliemla ule usiku( Huyu sio aliepiga simu) wanaelezana mchezo ulivyokua.

Nilakuta na Chart za mwana aliepiga simu nae ni jamaa yake na ndio waliokua wote ile weekend nliokua simpati, nikakuta na mawasiliano ya muuni mwingine tena anakula lkn na namba kibaoo, yaani nyingi zenye majina na ambazo hazipo ktk phone book zote mapenz matupu.

Ila kwa uhakika kabisa nikajikuta ndani ya Mkoa huu niliopo kuna wana watatu na mimi wa nne tunamkula huyu mtu mmoja na bahati mbaya hakuna kinga hapo.

Kiukweli nilijaa upepo, nlichofanya nikachukua namba za wana na wote nimewapa taarifa juu ya hii chain maana ni hatari mnoo. Bahati mbaya sana nikagundua wote ni vijana na tuna familia, hapa nikajiuliza manaake mmoja kati yetu angekwaa lolote hapa manaake chain yote hii na wake zetu wangekua hatarini.

Pamoja na kwamba nimefupisha hii story, somo kuu nlilopata na ambalo nnawapa ninyi vijana wenzangu ni ACHA MICHEPUKO, KUA MAKINI SANA NA USITHUBUTU KUMWAMINI MTU, nnarudia haswa kwa wanaume tuepuke kua na imani na hawa watu, hata kama umepima aisee usijidanganye ukaenda kihuni utaja lia.

Lingine la Muhimu sana ni kuweka akilini ule msemo kua 'Wanawake malaya wako salama kiafya' kuliko hawa wa mtaani,ofisini naavyuoni, yaan hao ambao bila kinga humgusi ni safe kuliko hawa wa mazoea ambao anawapanga na anaweza maliza Ukoo.

Mwisho japo sio kwa Umuhimu, nimejionea hatari ya kuchepuka kupitia hili tukio, vijana tuache zinaa na tuwe mkini, usipime mtu kwa macho ama hospital na ukamwamini, itakugharimu.

Niwieni radhi kwa hili Bandiko, ukisoma kwa utulivu utapata kitu, utajifunza.
Wassalaam na Nnawatakia kila la kheir
Mkuu ya kwangu hukiiona huko.inaishia na 28
 
Jasiri haachi asili. Subiri muda upite tuone kama hutachepuka. Haya mambo hayana kujifunza hasa kichwa cha chini kikiwaka moto.

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Nnawasalim sana wakuu, nnaomba niende kwenye mada moja kwa moja.

Ni hivi mimi ni mwajiriwa na niko mkoa fulani, familia yangu iko Mkoa Mwingine. Sasa baada ya kuja hapa ktk pitapita zangu nikakutana na binti mmoja mzuri tu na mwenye sura ya upole na mtulivu, yeye anafanya kazi sector binafsi.

Basi Wakuu kama kawaida nikaona nisiendelee kuteseka nikajiweka lkn kwa sharti kwamba lazma kupima afya na yeye akakubali. Nlimfahamisha nna familia so akawa anajua na akanambia alikua na mtu sema wameachana.

Basi maisha yakasonga, nikajikuta nnampenda kwa maana aliniwezea sana lkn pia ni mtulivu huwez mdhania.
Basi bwana Weekend ile kabla ya hii ya juzi siku ya jumamosi akawa Hapatikan kabisa ktk sim zake, kutwa nzima isipokua kuna saa ikaita mpaka ikakatika na baada ya hapo hakupatikana tena.

Jion sana akapatikana na nlipomhoji kulikoni akanambia alikua shamba nje ya mji na hakuna mawasiliano. Nikamuuliza toka msimu wa kilimo unaanza mpaka sasa wanavuna sikuwahi kusikia una shamba kulikoni?

Akajibu simple tu kwamba analo na hakunambia, ila kiuwanaume nikaona tayar hapa kuna issue ila nikatulia kukusanya ushahidi na hakika mipango yangu ilikua nimpakie garini nimtake anipeleek huko shamba.

Sasa baada ya huo mkasa nikasafiri na nikamuaga. Siku ya jumatatu nikarejea bila kumwambia na nlipofika nikampigia akanambia yuko saluni, ila baada kama ya saa moja na hivi nikaanza kumpigia hapatikani kabisa, nikaona hapa tayaar.

Basi nikaenda kwake, gonga sana mlango na dirisha lkn hapakua na dalili ya uwepo wa tu zaidi ya viumbe kama panya.
Siku ile nikapanga kuhakikisha nnapata ukweli so nikarejea kwangu then nikatulia (sikulala kabisa) mpaka saa 11 alfajri nikaenda kutega njia anayopitaga kwenda kazini lkn mpaka panapambazuka hakutokea. Muda kidogo simu zake zikawa hewani akanza ngonjjera kua alisahau charger ofisin ndio maana hakupatikana kwakua simu ilizima.

Basi nikajifanya boya, jion nikamuibukia home nikambana akagoma kua hachepuki, basi mwanaume nikalegezwa na nikapewa na mbususu.

Nlipoanza zoez tu nikakuta kitu sio kabisa bas nikakomaa ila nlipomaliza nikamuuliza mbona leo baridi sana akaanza blahblah. Hapo sasa nikasema mimi na yeye na yeye na mimi, nikachukua sim nikataka kusepa nayo aisee akaanza kuweweseka na hilo likanipa sababu ya kukomaa zaidi. Bas bwana baada ya kumbana akakubali kua kweli hakua home alilala kwa jamaake na akakiri aliliwa.

Kwanza nikapata hasira mnoo baada ya kujua alipokojoa muuni bila kinga na mimi nimerejea hapo ktk muda usiozidi masaa 12. Nlichofanya nikamzoa muda kama wa saa saba mpaka dispensary kupima afya tukawa poa then nikampeleka mahala nikamtaka afungue simu hapo ndio balaa lilipoibuka maana aligoma kabisa.

Bas wakati malumbano yanaendelea kama muda wa saa nane usiku akapiga jamaa nikapokea ebwana nikamchana mwana kua jopange hapa huna mtu maana tuko foleni kama ya mbagala na namba yake nikachukua huku dem kaganda kama sanamu.

Baada ya simu ile nikamkaba kwa mbinu za medani akafungua simu, ebwanaeee niakkuta Chart za jamaa aliemla ule usiku( Huyu sio aliepiga simu) wanaelezana mchezo ulivyokua.

Nilakuta na Chart za mwana aliepiga simu nae ni jamaa yake na ndio waliokua wote ile weekend nliokua simpati, nikakuta na mawasiliano ya muuni mwingine tena anakula lkn na namba kibaoo, yaani nyingi zenye majina na ambazo hazipo ktk phone book zote mapenz matupu.

Ila kwa uhakika kabisa nikajikuta ndani ya Mkoa huu niliopo kuna wana watatu na mimi wa nne tunamkula huyu mtu mmoja na bahati mbaya hakuna kinga hapo.

Kiukweli nilijaa upepo, nlichofanya nikachukua namba za wana na wote nimewapa taarifa juu ya hii chain maana ni hatari mnoo. Bahati mbaya sana nikagundua wote ni vijana na tuna familia, hapa nikajiuliza manaake mmoja kati yetu angekwaa lolote hapa manaake chain yote hii na wake zetu wangekua hatarini.

Pamoja na kwamba nimefupisha hii story, somo kuu nlilopata na ambalo nnawapa ninyi vijana wenzangu ni ACHA MICHEPUKO, KUA MAKINI SANA NA USITHUBUTU KUMWAMINI MTU, nnarudia haswa kwa wanaume tuepuke kua na imani na hawa watu, hata kama umepima aisee usijidanganye ukaenda kihuni utaja lia.

Lingine la Muhimu sana ni kuweka akilini ule msemo kua 'Wanawake malaya wako salama kiafya' kuliko hawa wa mtaani,ofisini naavyuoni, yaan hao ambao bila kinga humgusi ni safe kuliko hawa wa mazoea ambao anawapanga na anaweza maliza Ukoo.

Mwisho japo sio kwa Umuhimu, nimejionea hatari ya kuchepuka kupitia hili tukio, vijana tuache zinaa na tuwe mkini, usipime mtu kwa macho ama hospital na ukamwamini, itakugharimu.

Niwieni radhi kwa hili Bandiko, ukisoma kwa utulivu utapata kitu, utajifunza.
Wassalaam na Nnawatakia kila la kheir
......"Tuishi nao kwa akili"
 
s
Nnawasalim sana wakuu, nnaomba niende kwenye mada moja kwa moja.

Ni hivi mimi ni mwajiriwa na niko mkoa fulani, familia yangu iko Mkoa Mwingine. Sasa baada ya kuja hapa ktk pitapita zangu nikakutana na binti mmoja mzuri tu na mwenye sura ya upole na mtulivu, yeye anafanya kazi sector binafsi.

Basi Wakuu kama kawaida nikaona nisiendelee kuteseka nikajiweka lkn kwa sharti kwamba lazma kupima afya na yeye akakubali. Nlimfahamisha nna familia so akawa anajua na akanambia alikua na mtu sema wameachana.

Basi maisha yakasonga, nikajikuta nnampenda kwa maana aliniwezea sana lkn pia ni mtulivu huwez mdhania.
Basi bwana Weekend ile kabla ya hii ya juzi siku ya jumamosi akawa Hapatikan kabisa ktk sim zake, kutwa nzima isipokua kuna saa ikaita mpaka ikakatika na baada ya hapo hakupatikana tena.

Jion sana akapatikana na nlipomhoji kulikoni akanambia alikua shamba nje ya mji na hakuna mawasiliano. Nikamuuliza toka msimu wa kilimo unaanza mpaka sasa wanavuna sikuwahi kusikia una shamba kulikoni?

Akajibu simple tu kwamba analo na hakunambia, ila kiuwanaume nikaona tayar hapa kuna issue ila nikatulia kukusanya ushahidi na hakika mipango yangu ilikua nimpakie garini nimtake anipeleek huko shamba.

Sasa baada ya huo mkasa nikasafiri na nikamuaga. Siku ya jumatatu nikarejea bila kumwambia na nlipofika nikampigia akanambia yuko saluni, ila baada kama ya saa moja na hivi nikaanza kumpigia hapatikani kabisa, nikaona hapa tayaar.

Basi nikaenda kwake, gonga sana mlango na dirisha lkn hapakua na dalili ya uwepo wa tu zaidi ya viumbe kama panya.
Siku ile nikapanga kuhakikisha nnapata ukweli so nikarejea kwangu then nikatulia (sikulala kabisa) mpaka saa 11 alfajri nikaenda kutega njia anayopitaga kwenda kazini lkn mpaka panapambazuka hakutokea. Muda kidogo simu zake zikawa hewani akanza ngonjjera kua alisahau charger ofisin ndio maana hakupatikana kwakua simu ilizima.

Basi nikajifanya boya, jion nikamuibukia home nikambana akagoma kua hachepuki, basi mwanaume nikalegezwa na nikapewa na mbususu.

Nlipoanza zoez tu nikakuta kitu sio kabisa bas nikakomaa ila nlipomaliza nikamuuliza mbona leo baridi sana akaanza blahblah. Hapo sasa nikasema mimi na yeye na yeye na mimi, nikachukua sim nikataka kusepa nayo aisee akaanza kuweweseka na hilo likanipa sababu ya kukomaa zaidi. Bas bwana baada ya kumbana akakubali kua kweli hakua home alilala kwa jamaake na akakiri aliliwa.

Kwanza nikapata hasira mnoo baada ya kujua alipokojoa muuni bila kinga na mimi nimerejea hapo ktk muda usiozidi masaa 12. Nlichofanya nikamzoa muda kama wa saa saba mpaka dispensary kupima afya tukawa poa then nikampeleka mahala nikamtaka afungue simu hapo ndio balaa lilipoibuka maana aligoma kabisa.

Bas wakati malumbano yanaendelea kama muda wa saa nane usiku akapiga jamaa nikapokea ebwana nikamchana mwana kua jopange hapa huna mtu maana tuko foleni kama ya mbagala na namba yake nikachukua huku dem kaganda kama sanamu.

Baada ya simu ile nikamkaba kwa mbinu za medani akafungua simu, ebwanaeee niakkuta Chart za jamaa aliemla ule usiku( Huyu sio aliepiga simu) wanaelezana mchezo ulivyokua.

Nilakuta na Chart za mwana aliepiga simu nae ni jamaa yake na ndio waliokua wote ile weekend nliokua simpati, nikakuta na mawasiliano ya muuni mwingine tena anakula lkn na namba kibaoo, yaani nyingi zenye majina na ambazo hazipo ktk phone book zote mapenz matupu.

Ila kwa uhakika kabisa nikajikuta ndani ya Mkoa huu niliopo kuna wana watatu na mimi wa nne tunamkula huyu mtu mmoja na bahati mbaya hakuna kinga hapo.

Kiukweli nilijaa upepo, nlichofanya nikachukua namba za wana na wote nimewapa taarifa juu ya hii chain maana ni hatari mnoo. Bahati mbaya sana nikagundua wote ni vijana na tuna familia, hapa nikajiuliza manaake mmoja kati yetu angekwaa lolote hapa manaake chain yote hii na wake zetu wangekua hatarini.

Pamoja na kwamba nimefupisha hii story, somo kuu nlilopata na ambalo nnawapa ninyi vijana wenzangu ni ACHA MICHEPUKO, KUA MAKINI SANA NA USITHUBUTU KUMWAMINI MTU, nnarudia haswa kwa wanaume tuepuke kua na imani na hawa watu, hata kama umepima aisee usijidanganye ukaenda kihuni utaja lia.

Lingine la Muhimu sana ni kuweka akilini ule msemo kua 'Wanawake malaya wako salama kiafya' kuliko hawa wa mtaani,ofisini naavyuoni, yaan hao ambao bila kinga humgusi ni safe kuliko hawa wa mazoea ambao anawapanga na anaweza maliza Ukoo.

Mwisho japo sio kwa Umuhimu, nimejionea hatari ya kuchepuka kupitia hili tukio, vijana tuache zinaa na tuwe mkini, usipime mtu kwa macho ama hospital na ukamwamini, itakugharimu.

Niwieni radhi kwa hili Bandiko, ukisoma kwa utulivu utapata kitu, utajifunza.
Wassalaam na Nnawatakia kila la kheir
swalliiii langu vipi bado una kulaa au umeachana nae??
 
Nnawasalim sana wakuu, nnaomba niende kwenye mada moja kwa moja.

Ni hivi mimi ni mwajiriwa na niko mkoa fulani, familia yangu iko Mkoa Mwingine. Sasa baada ya kuja hapa ktk pitapita zangu nikakutana na binti mmoja mzuri tu na mwenye sura ya upole na mtulivu, yeye anafanya kazi sector binafsi.

Basi Wakuu kama kawaida nikaona nisiendelee kuteseka nikajiweka lkn kwa sharti kwamba lazma kupima afya na yeye akakubali. Nlimfahamisha nna familia so akawa anajua na akanambia alikua na mtu sema wameachana.

Basi maisha yakasonga, nikajikuta nnampenda kwa maana aliniwezea sana lkn pia ni mtulivu huwez mdhania.
Basi bwana Weekend ile kabla ya hii ya juzi siku ya jumamosi akawa Hapatikan kabisa ktk sim zake, kutwa nzima isipokua kuna saa ikaita mpaka ikakatika na baada ya hapo hakupatikana tena.

Jion sana akapatikana na nlipomhoji kulikoni akanambia alikua shamba nje ya mji na hakuna mawasiliano. Nikamuuliza toka msimu wa kilimo unaanza mpaka sasa wanavuna sikuwahi kusikia una shamba kulikoni?

Akajibu simple tu kwamba analo na hakunambia, ila kiuwanaume nikaona tayar hapa kuna issue ila nikatulia kukusanya ushahidi na hakika mipango yangu ilikua nimpakie garini nimtake anipeleek huko shamba.

Sasa baada ya huo mkasa nikasafiri na nikamuaga. Siku ya jumatatu nikarejea bila kumwambia na nlipofika nikampigia akanambia yuko saluni, ila baada kama ya saa moja na hivi nikaanza kumpigia hapatikani kabisa, nikaona hapa tayaar.

Basi nikaenda kwake, gonga sana mlango na dirisha lkn hapakua na dalili ya uwepo wa tu zaidi ya viumbe kama panya.
Siku ile nikapanga kuhakikisha nnapata ukweli so nikarejea kwangu then nikatulia (sikulala kabisa) mpaka saa 11 alfajri nikaenda kutega njia anayopitaga kwenda kazini lkn mpaka panapambazuka hakutokea. Muda kidogo simu zake zikawa hewani akanza ngonjjera kua alisahau charger ofisin ndio maana hakupatikana kwakua simu ilizima.

Basi nikajifanya boya, jion nikamuibukia home nikambana akagoma kua hachepuki, basi mwanaume nikalegezwa na nikapewa na mbususu.

Nlipoanza zoez tu nikakuta kitu sio kabisa bas nikakomaa ila nlipomaliza nikamuuliza mbona leo baridi sana akaanza blahblah. Hapo sasa nikasema mimi na yeye na yeye na mimi, nikachukua sim nikataka kusepa nayo aisee akaanza kuweweseka na hilo likanipa sababu ya kukomaa zaidi. Bas bwana baada ya kumbana akakubali kua kweli hakua home alilala kwa jamaake na akakiri aliliwa.

Kwanza nikapata hasira mnoo baada ya kujua alipokojoa muuni bila kinga na mimi nimerejea hapo ktk muda usiozidi masaa 12. Nlichofanya nikamzoa muda kama wa saa saba mpaka dispensary kupima afya tukawa poa then nikampeleka mahala nikamtaka afungue simu hapo ndio balaa lilipoibuka maana aligoma kabisa.

Bas wakati malumbano yanaendelea kama muda wa saa nane usiku akapiga jamaa nikapokea ebwana nikamchana mwana kua jopange hapa huna mtu maana tuko foleni kama ya mbagala na namba yake nikachukua huku dem kaganda kama sanamu.

Baada ya simu ile nikamkaba kwa mbinu za medani akafungua simu, ebwanaeee niakkuta Chart za jamaa aliemla ule usiku( Huyu sio aliepiga simu) wanaelezana mchezo ulivyokua.

Nilakuta na Chart za mwana aliepiga simu nae ni jamaa yake na ndio waliokua wote ile weekend nliokua simpati, nikakuta na mawasiliano ya muuni mwingine tena anakula lkn na namba kibaoo, yaani nyingi zenye majina na ambazo hazipo ktk phone book zote mapenz matupu.

Ila kwa uhakika kabisa nikajikuta ndani ya Mkoa huu niliopo kuna wana watatu na mimi wa nne tunamkula huyu mtu mmoja na bahati mbaya hakuna kinga hapo.

Kiukweli nilijaa upepo, nlichofanya nikachukua namba za wana na wote nimewapa taarifa juu ya hii chain maana ni hatari mnoo. Bahati mbaya sana nikagundua wote ni vijana na tuna familia, hapa nikajiuliza manaake mmoja kati yetu angekwaa lolote hapa manaake chain yote hii na wake zetu wangekua hatarini.

Pamoja na kwamba nimefupisha hii story, somo kuu nlilopata na ambalo nnawapa ninyi vijana wenzangu ni ACHA MICHEPUKO, KUA MAKINI SANA NA USITHUBUTU KUMWAMINI MTU, nnarudia haswa kwa wanaume tuepuke kua na imani na hawa watu, hata kama umepima aisee usijidanganye ukaenda kihuni utaja lia.

Lingine la Muhimu sana ni kuweka akilini ule msemo kua 'Wanawake malaya wako salama kiafya' kuliko hawa wa mtaani,ofisini naavyuoni, yaan hao ambao bila kinga humgusi ni safe kuliko hawa wa mazoea ambao anawapanga na anaweza maliza Ukoo.

Mwisho japo sio kwa Umuhimu, nimejionea hatari ya kuchepuka kupitia hili tukio, vijana tuache zinaa na tuwe mkini, usipime mtu kwa macho ama hospital na ukamwamini, itakugharimu.

Niwieni radhi kwa hili Bandiko, ukisoma kwa utulivu utapata kitu, utajifunza.
Wassalaam na Nnawatakia kila la kheir
Mbona umeishia katikati? Hatima yako na LIMCHEPUKO lako ilikuwaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom