wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,048
- 2,442
Klm hiyo babaMkoa gani huo kaka?
Klm hiyo babaMkoa gani huo kaka?
Uzi gani huoMkuu kuchepuka sio udhaifu, ni uamuzi.
Lack of self control decline of moral values. Sikuhukumu ila wanadamu tumekuwa wakengeufu sana kila kitu tunachukulia poa. Siku hizi kama huchepuki unaonekana wa ajabu na mshamba. Kuna uzi mwingine huko jamaa anajisifia kuwa kwenye mahusiano na mke wa mtu for 15 years. Anyways, ndo namna tulivyochagua kuishi kama vile hakuna Mungu. Tunafanya tunachojisikia, tunaharibu familia kwa kujenga misingi na mifano mibaya kwenye jamii yetu.
Uko wapi mkuu huo uziNami nimeona uzi huo hakika nimebaki kusikitika, maamrisho ya aliyetuumba yanageuzwa kabisa. Usizini imekua kama ndio watu wamefunguliwa. Maofisini ukikaa ukisikiza mazungumzo ya vijana na ya wazee wetu unabaki unatoa macho. Mtu anakuambia kwenye uzinifu anamsafishie mke rungu akimpelekea inakua safi. Hakika mola wetu atusamehe
Na tumwombe atuongoze