Mnyuke Jr
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 4,471
- 6,371
YaaahNinachoona hapa ni kwamba umeshajengeka mtazamo kuwa Simba anatakiwa afanye vizuri, akifanya vibaya kuna jambo la kuchunguzwa, lakini Yanga huwa hakuna kipya, maana tayari huwa anatazamiwa kufanya vibaya