Nilichogundua kuhusu Arusha

Nilichogundua nimeona km uliishia kilombero pale. Mi nimeenda karibu mikoa yote tz lakini miji mizuri huku mikoani ni mwanza ikifuatiwa na arusha. Ila km ukienda kisiasa hasa ukiwa ccm, arusha kamwe sio mji mzuri kila kitu chake ni mbaya.
Mkuu hakuna aliyesema Arusha ni mbaya ila orodhesha hapa changamoto serikali yako sikivu huenda itasikia
 
Nilichogundua nimeona km uliishia kilombero pale. Mi nimeenda karibu mikoa yote tz lakini miji mizuri huku mikoani ni mwanza ikifuatiwa na arusha. Ila km ukienda kisiasa hasa ukiwa ccm, arusha kamwe sio mji mzuri kila kitu chake ni mbaya.
 
good
 
Kwa tulioisakanya TZ tunajua, ukisema jiji unamaanisha DSM then Arusha, Mwanza kwa karibu, ila Mbeya, Dom (ya sasa), Tanga, Mtwara na Unguja ndo zinafuatia

Mikoa yoote iliyobaki bado sana
Rekebisha hapo usilinganishe Mwanza na hicho kijiji chenu cjui mnakiita Arusha.
 
Kwa tulioisakanya TZ tunajua, ukisema jiji unamaanisha DSM then Arusha, Mwanza kwa karibu, ila Mbeya, Dom (ya sasa), Tanga, Mtwara na Unguja ndo zinafuatia

Mikoa yoote iliyobaki bado sana
mbna nyie watu wa arushaa mwanza huwa inawanyima sana usingizi tatizo ni nn nyiee jamaaa thread inazungumzia arusha... mwanza tayari inaanza tajwa we jibu hoja kwa kuitetea arusha yako na sio kuitetea arusha yako kwa kutegemea support ya mwanza
 
Uku nilipo kazini soda sio take away ni 10 usd.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…