FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,337
- 13,656
Hahahahaha naona mnaendelea kubadilisha magoli...bwana Fisadi umekunywa Dadii..?! Nimekuja kugundua wanapotaja Mwanza City wanaongelea Nyamagana, kumbe kuna Ilemela Municipal...
Hahahahaha naona mnaendelea kubadilisha magoli...bwana Fisadi umekunywa Dadii..?! Nimekuja kugundua wanapotaja Mwanza City wanaongelea Nyamagana, kumbe kuna Ilemela Municipal...
Sikia mkuu huwez tenganisha jiji la Mwanza na manispaa ya ilemela, mwka 2013 kikwete alitishia kulifuta jiji la Mwanza baada ya kutokea Mzozo mkubwa Wa mipaka. .but akasema ameipandisha ilemela kuwa manispaa but sio kuelimimate frm mwnza city...la sivyo Mwanza haina hadh ya jiji...hvyo huwez kuitoa ilemela kwenye jiji la mwza..Hamna kitu kama hicho halmashauri ya jiji ni nyamagana na ilemela inayo halmashauri yake na wanakusanya mapato yao independently.
Manispaa yawageuzia kibao wafanyabiashara
Wewe ndio kichwa ngumu nimekwambia ilemela na nyamagana wanashiriki kila kitu lakini budget kila mmoja anajitegemea na kuna mwenzako wa Mwanza hapo juu amekuambia.Mkuu kama ni hivyo bas jiji la Mwanza lina wakazi 370000 kama sikosei...na kwa mantik hyo arusha ambayo Ina wakazi around 400000 inakuwa the second largest city in Tanzania.....cjui umenielewa? Kama sivyo kuna kitu hakiko sawa
Sikia mkuu huwez tenganisha jiji la Mwanza na manispaa ya ilemela, mwka 2013 kikwete alitishia kulifuta jiji la Mwanza baada ya kutokea Mzozo mkubwa Wa mipaka. .but akasema ameipandisha ilemela kuwa manispaa but sio kuelimimate frm mwnza city...la sivyo Mwanza haina hadh ya jiji...hvyo huwez kuitoa ilemela kwenye jiji la mwza..
Mkuu hebu pitia hii link
Mwanza washikana mashati kuhusu mipaka ya jiji hilo na manispaa ya Ilemela....Rais KIKWETE atishia kulifuta jiji la Mwanza. | MPEKUZI
Atract - AttractSifa mojawapo ya jiji lolote duniani lazima liwe na uwezo wa ku atract watu kutoka miji na mataifa mengine kuja kuwekeza, ndiomana Dar na Mwanza zinaongoza kuwa na sifa hiyo ya ku atract hao unaowaita washamba kutoka mikoani ikiwemo Arusha kuja mjini maana ndio kwenye kila kitu. We unafikili akina joe makini bila kuja mjini dar muziki wao watamuuzia nani wakati arusha hamzijui shangwe,? 😀
Hahahahahahaaa nashukuru sana mkuu.. Sasa sijui na yeye bingwa wa kukosoa atajiteteaje
Mkuu hawa jamaa wamepania tu kubisha na kupotosha. Juzi walilalama tulinganishe mapato ya Jiji la Mwanza na Arusha nimewaletea hapa eti wanasingizia Nyamagana ndogo heheheheWewe ndio kichwa ngumu nimekwambia ilemela na nyamagana wanashiriki kila kitu lakini budget kila mmoja anajitegemea na kuna mwenzako wa Mwanza hapo juu amekuambia.
Ila nyamagana ndio inachukuliwa kama jiji na ndio ipo responsible kwa budget ya jiji mbona ipo simple tu.
Mimi sijakuambia ilemela sio sehemu ya jiji la Mwanza ila nimekuambia budget ni nyamagana.
Ulishawahi kuona meya wa jiji na naibu wake wanatoka ilemela?
Kila jiji lina mfumo wake wa muundo tofauti na vyanzo vyake vya mapato mfano jiji la dar moja ya chanzo chake kikuu cha mapato ni ubungo hivyo vingine vinashikiliwa na halmashauri za kinondoni temeke na ilala.
Mwanza eneo la jiji ni nyamagana na ilemela lakini tukija kwenye muundo wa uongozi wa jiji na makusanyo ya kodi na budget nyamagana inasimama kama jiji na ilemela kama municipal council.
Ina haiwezekani zijitenge ukisema jyamagana pekee iwe jiji geographically mwaloni airport nyakato maeneo muhimu kwa jiji la Mwanza yatakua ilemela kitu kisicholeta maana.
Point ni kwamba nyamagana yote ni mjini na ilemela nusu ni mjini that's why zikaunda jiji under agreed conditions kama nilivyozitaja hapo.
Unajua mkuu hapa JF lazima ujue nani ni level yako na pia ujue yule anaekuzidi..Hahahahahahaaa nashukuru sana mkuu.. Sasa sijui na yeye bingwa wa kukosoa atajiteteaje
Sure mkuu.. Ndio maana nimeamua kumu'ignore tu..Unajua mkuu hapa JF lazima ujue nani ni level yako na pia ujue yule anaekuzidi..
Huyu bwana mdogo ukipambana nae atashusha IQ yako..
Mkuu tatizo hawajui namna gani Mwanza ipo doro na hawajui mpaka saivi Central Government Revenue Collection bado inachukulia mapato ya Geita ni ya Mwanza hata baada ya kuwa mikoa tofauti 2012Mkuu hawa jamaa wamepania tu kubisha na kupotosha. Juzi walilalama tulinganishe mapato ya Jiji la Mwanza na Arusha nimewaletea hapa eti wanasingizia Nyamagana ndogo hehehehe
Achana na mimi we mbwigila, unanijua mm wewe au unataka kuleta shobo,hiyo mipasho yenu ya insta msiihamishie humu bana.kila mtu aanze kuonyesha maisha yake humu si umama huo!😀Unaleta mboyoyo mingii halafu mfukoni hauna chapaa.
Uonyeshe mara ngapi bhana unaweka bondi vitu vya ndani unakuja kutangaza humu. Utakua tapeli tuu maana hata kitaani hawakuamni ndio maana ukakimbilia Jf.Achana na mimi we mbwigila, unanijua mm wewe au unataka kuleta shobo,hiyo mipasho yenu ya insta msiihamishie humu bana.kila mtu aanze kuonyesha maisha yake humu si umama huo!😀
Unajua mkuu hapa JF lazima ujue nani ni level yako na pia ujue yule anaekuzidi..
Huyu bwana mdogo ukipambana nae atashusha IQ yako..
I don't know you,you don't me,let's keep that way and no name calling pls.unaweza ukajifanya unamjua sana mtu humu kumbe ni shemeji au mume mwenzako😀
Tumeshindwa kukubaliana kwenye hoja,basi tupotezeane tu kwani vita hii,?
Mkuu sio tapeli atakuwa mwizi.. Hivi dunia ya leo kama mtu ni mwaminifu utakosa wa kukukopesha hiyo pesa ya bia mpaka ukimbilie mitandaoni.. Tena mbaya mtandao ambao members ni invisible..Uonyeshe mara ngapi bhana unaweka bondi vitu vya ndani unakuja kutangaza humu. Utakua tapeli tuu maana hata kitaani hawakuamni ndio maana ukakimbilia Jf.
I don't know you,you don't me.I don't know you,you don't me,let's keep that way and no name calling pls.unaweza ukajifanya unamjua sana mtu humu kumbe ni shemeji au mume mwenzako😀
Tumeshindwa kukubaliana kwenye hoja,basi tupotezeane tu kwani vita hii,?
Hahahahaha Laptop ya wiziUlifanikiwa kuweka bond ile laptop?
Ulijuaje ni ya wizi,kumbe umezoea sana issue za wizi eh😀Hahahahaha Laptop ya wizi
Una uhakika na ulichoandika???.Mkuu tatizo hawajui namna gani Mwanza ipo doro na hawajui mpaka saivi Central Government Revenue Collection bado inachukulia mapato ya Geita ni ya Mwanza hata baada ya kuwa mikoa tofauti 2012
hivyo hawajui pia hayo mapato kiuhalisia siyo ya Mwanza pekee ikipigwa ya Geita chini Mwanza hawana tofauti na Songwe.
Hahahahaha Laptop ya wizi
Mkuu sio tapeli atakuwa mwizi.. Hivi dunia ya leo kama mtu ni mwaminifu utakosa wa kukukopesha hiyo pesa ya bia mpaka ukimbilie mitandaoni.. Tena mbaya mtandao ambao members ni invisible..