chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,300
- 45,091
Kama haujui ni kwamba in budget functionality and accountability ni Nyamagana IPO responsible wala sio ilemela ndiomana kwenye kila kikao cha madiwani wa Mwanza jiji wanawaita madiwani wa nyamagana ni madiwani wa jiji na wa ilemela ni madiwani wa ilemela.Mkuu labda na wewe hujaelewa, swali jiji la arusha linaindwa na manispaa ngapi? Na je unajua jiji la mwanza linaundwa na manispaa ngapi?.
kama arumeru ni sehemu ya jiji la arusha hapo uko sawa. Lakini kama siyo hivyo utakuwa haupo sahihi kubisha kwa maana jiji la mwanza limeundwa na manispaa mbili. Ingekuwa mkoa mzima si ungeona sengerema, ngudu, missungwi nukerewe na magu zikitajwa.
Sio typing error muandiashi kaandika budget ya jiji na budget ya ilemela bali ndivyo inavyotakiwa iwe nenda kaulize wausika kesho.
Hautasikia madiwani wa nyamagana kwenye kikao cha jiji Bali wao ndio jiji ilemela wapo in cooperation with some other issues but quite different from city budget.
Soma hii taarifa nayo kama wameikosea.
Madiwani Mwanza wapitisha mpango kabambe wa jiji | Magazeti ya leo| Tanzania News |Tanzania Today