Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,834
- 18,837
Imesemwa na wachezaji wa Ureno na wachambuzi wengi kuhusu Argentina kupendelewa, nikabisha.
Yaani hadi sasa Messi ana magoli 5, na 4 kati yake ni penalti!
Argentina wamepewa penati nyingine yenye utata tena leo, tena baada ya Croatia kunyimwa kona ya wazi.
Hii sio mara ya kwanza Agentina kupewa penalti ya utata, Vs Poland walipewa penalti nyingine tena yenye utata.
Yaani hadi sasa Messi ana magoli 5, na 4 kati yake ni penalti!
Argentina wamepewa penati nyingine yenye utata tena leo, tena baada ya Croatia kunyimwa kona ya wazi.
Hii sio mara ya kwanza Agentina kupewa penalti ya utata, Vs Poland walipewa penalti nyingine tena yenye utata.