Nilibisha ila nimeamini mia mia

Nilibisha ila nimeamini mia mia

umefanya uwazi endelevu....endelea kutumia Sabuni....
 
Nimeamua kuwa single kwa mwezi 2 sasa bila ya demu yeyeto nimejikuta nmefanya makubwa kama kununua subufa 2 tv flat inch 21,na laptop japo c dukani na cmu aina ya lumia 600 na kujiwekea sh laki 5 bank nkaamini mademu wanarudisha maendeleo nyuma

Sio msbinti wote,na ina maana ulikuwa unawaonga sh.ngapi?
 
yamkini muda haujafika bado,, wewe jipange kuwa na demu ambae ni wife material mtashauriana,, sio demu wa starehe na anasa kila siku pamba mpya.. hilo la kuwakimbia mademu sio tija coz hitaji liko palepale,, bado utataka kuwa nae mwili ukihitaji
 
Unataka papuchi for free umemuoaa
 

Attachments

  • 1400425717517.jpg
    1400425717517.jpg
    3.1 KB · Views: 335
  • 1400425730831.jpg
    1400425730831.jpg
    47.1 KB · Views: 136
Kuanza ni rahis kumaliza ss ndo mtihani cjui utadumu kwa muda gani bila mademu vzr kwa uamuz wako
 
Kwahyo wanawake ndo walikuwa wanakulia hela za speaker??
 
Back
Top Bottom