Nilibisha ila nimeamini mia mia

Nilibisha ila nimeamini mia mia

safi sana inaonyesha before ulikuwa na speed sana ya kuhonga wasichana ..!!
 
Nakupongeza sana kwa hilo.Kama uwezo wako mdogo kaa pembeni kwanza jipange. Watu watakusema kwa maneno humu but mimi nakuelewa sana.
 
Uuuuupsi inaonekana wewe unahonga sana

Kwa sasa ni mpango wa punyeto tuuuuu
 
Nimeamua kuwa single kwa mwezi 2 sasa bila ya demu yeyeto nimejikuta nmefanya makubwa kama kununua subufa 2 tv flat inch 21,na laptop japo c dukani na cmu aina ya lumia 600 na kujiwekea sh laki 5 bank nkaamini mademu wanarudisha maendeleo nyuma


endelea hivyo hivyo kijana kujipanga kimaisha.

wanawake hawa wanao kukebei ukija kuwa na maendeleo ndo hao hao watakuja kujipendekeza.
 
Hiyo timu ya upande Ke usijiapize mkuu. Utarudi wewe mwenyewe kuwatafuta wala hutashawishiwa na MTU.
 
Nimeamua kuwa single kwa mwezi 2 sasa bila ya demu yeyeto nimejikuta nmefanya makubwa kama kununua subufa 2 tv flat inch 21,na laptop japo c dukani na cmu aina ya lumia 600 na kujiwekea sh laki 5 bank nkaamini mademu wanarudisha maendeleo nyuma

Sasa unataka tufanye nini? Haya ni mambo yako binafsi. Unaandika hapa ili iweje? Umelazimishwa kuanzisha mada? Mademu wangelikuwa wanarudisha watu nyuma, wewe ungelikuwepo katika dunia hii? Acha kukebehi wanawake.
 
Back
Top Bottom