Niliamini ananipenda kumbe alinifanya kichekesho

Niliamini ananipenda kumbe alinifanya kichekesho

Pamoja mkuu nitafikiria kisa kingine cha kukiandika, ili tupate kuburudika na kujifunza pia.

Halafu kuna hii👇 ulishaisoma?

Hapana mkuu, sijakisoma bado, ngoja nikipitie.
Dah, ndio hasara ya kukosa marafiki jamiiforum, wadau wanatupia vitu sijui. 😂😂😂
Uwe unanitag ndugu, Mimi mdau sana wa hizi mambo
 
Hapana mkuu, sijakisoma bado, ngoja nikipitie.
Dah, ndio hasara ya kukosa marafiki jamiiforum, wadau wanatupia vitu sijui. 😂😂😂
Uwe unanitag ndugu, Mimi mdau sana wa hizi mambo
Sawa mkuu nitakuwa nafanya hivyo, nalihifadhi jina lako sehemu maalum ili nisije kulisahau.
 
Mapenzi ya kipindi hiko kwa vijana ilikua tabu sana kwa simps kama tajiri yetu, ila wale watu kama kina Deo walichapa sana nyapu..

Ila inasemekana ninyi wacheshi wacheshi wengi wenu mnakua hamna jambo, ucheshi mwingi ila kumaliza mchezo ni kipengele, unakuta jamaa linafanya sana vituko, pisi zinamchekea chekea ila yeye anaishia kuzichekesha tu "funny guy".
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom