Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,502
wadau naomba mnisaidie nile nini ili niweze kuongeza wingi wa damu mwilini?
chukua fungu moja la matembele, tango moja, carrot 2 bila kumenya tango wala carrot saga kwa kutumia blender au juicer then ongeza ladha na asali kunywa juice yote; fanya hivi kwa week moja halafu baaday waweza punguza na ikawa sehemu ya utaratibu wako.