Nile nini ili kuongeza wingi wa damu

Nile nini ili kuongeza wingi wa damu

Me nakushauri kitu ambacho bibi yangu alitumia baada ya kupungukiwa damu mara kwa mara.kama unafamu majani flani huwa yanaota sehemu mbalimbali yanapatikana kwa wingi yana miba na katika ile miba kuna viua vyekundu huwa ukivinyonya vina utamu.sasa chukua yale majani chemsha kunywa maji yake damu itajaa hata wiki haiishi afu ulete mrrjesho hapa
 
Tengeneza juice ya matembele changanya na carrot, rossela na tango. Badala ya sukari tumia asali
 
Back
Top Bottom