Niko Sinza nachunwa

Niko Sinza nachunwa

Nimemwambia nimtoe out kakubari, sasa nimemleta nimemwambia tutafute chumba kakataa anasema hajisikii vzur yuko period, jaman mda mwingine mkiwa period muwe mnasema sasa apa naliwa tu..sijui nifanyaje najuta kuchepuka! Ukija light now hapa sinza mori unaniona nilivo Nuna, nimevaa shati la njano hapa Katalunya! Jamani....
Kaka mpaka sasa hujaja kumbe umetulia na kamchepu...
Shem hapa kanuna imebidi ahamie chumbani kwangu...
Nazima data tukimaliza nawasha....
 
Sina hakika kama mleta uzi atakua amekuelewa hapo kwenye umaliziaji kwa lugha ya bepari..
Mkuu siku hizi watoto wa Dar wamesahau kiswahili wanaongea Kiswanglish. Unasikia "jamaa amazing flan hivi".
 
Jomba kwa mara ya kwanza unakula period yk la muhimu uvae ndomu tu
 
Nimemwambia nimtoe out kakubari, sasa nimemleta nimemwambia tutafute chumba kakataa anasema hajisikii vzur yuko period, jaman mda mwingine mkiwa period muwe mnasema sasa apa naliwa tu..sijui nifanyaje najuta kuchepuka! Ukija light now hapa sinza mori unaniona nilivo Nuna, nimevaa shati la njano hapa Katalunya! Jamani....
Kumbe ndo wewe nliyekuona umekaa meza moja na yule mdada aliyesuka rasta hivi..!
Mi nlikaa meza ya za huku kulia kwenu niko na mke wa askari polisi mmoja hivi mmewe yuko nite shift tunakula castle lite na kitimoto baada ya hapo tunaenda "Matombo"
 
Mwambie mshikaji wako akupigie sim feki usepe
 
Inaonekana hajakupenda maana mwanamke akipenda period siyo inshu hiyo ni kusuuzwa tu bafuni faster mchezo unafanyika bila shida pengine mwenzetu nawe ni domo zege hujui kujenga hoja.
 
Akimaliza kukuchuna anaanza kukukatakata vipande vipande sepaaa mwachie bill
 
Umevaa shati la njano, mwenzio kakuonyesha rangi nyekundu bado hujui ni utani wa jadi hapo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom