Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,200
- 99,934
Labda Na yeye ameshakugeuza kiwanda kimojawapo kati ya vile viwanda vipya 1800
Pole sana endelea kuugulia maumivu taaratibuNimemwambia nimtoe out kakubari, sasa nimemleta nimemwambia tutafute chumba kakataa anasema hajisikii vzur yuko period, jaman mda mwingine mkiwa period muwe mnasema sasa apa naliwa tu..sijui nifanyaje najuta kuchepuka! Ukija light now hapa sinza mori unaniona nilivo Nuna, nimevaa shati la njano hapa Katalunya! Jamani....
Sometimes jamii forum ni comedy toshaNimemwambia nimtoe out kakubari, sasa nimemleta nimemwambia tutafute chumba kakataa anasema hajisikii vzur yuko period, jaman mda mwingine mkiwa period muwe mnasema sasa apa naliwa tu..sijui nifanyaje najuta kuchepuka! Ukija light now hapa sinza mori unaniona nilivo Nuna, nimevaa shati la njano hapa Katalunya! Jamani....
Nimekuona tayari aisee mbona umeanza kuwa mzee ghafla shavu limekushuka hlo mwambie muhudumu bill nitalipa mimi nipo counter hapa umeniona sijui?Nimemwambia nimtoe out kakubari, sasa nimemleta nimemwambia tutafute chumba kakataa anasema hajisikii vzur yuko period, jaman mda mwingine mkiwa period muwe mnasema sasa apa naliwa tu..sijui nifanyaje najuta kuchepuka! Ukija light now hapa sinza mori unaniona nilivo Nuna, nimevaa shati la njano hapa Katalunya! Jamani....
Unataka kuchunisha zaidi mwenzio maana anaweza akachukua chumba kumbe kweli yuko periodume prove kuwa yupo period? we unaaminije maneno ya kuambiwa?🙁🙁
Kwani na Mori kuna Catalunya pia?Nimemwambia nimtoe out kakubari, sasa nimemleta nimemwambia tutafute chumba kakataa anasema hajisikii vzur yuko period, jaman mda mwingine mkiwa period muwe mnasema sasa apa naliwa tu..sijui nifanyaje najuta kuchepuka! Ukija light now hapa sinza mori unaniona nilivo Nuna, nimevaa shati la njano hapa Katalunya! Jamani....
Chomoka usepeNimemwambia nimtoe out kakubari, sasa nimemleta nimemwambia tutafute chumba kakataa anasema hajisikii vzur yuko period, jaman mda mwingine mkiwa period muwe mnasema sasa apa naliwa tu..sijui nifanyaje najuta kuchepuka! Ukija light now hapa sinza mori unaniona nilivo Nuna, nimevaa shati la njano hapa Katalunya! Jamani....
Binafsi mwanamke akitaka anikate stimu kabla ya mechi aniambie yuko period, nitasinyaa ghafla na naweza nikanyanyuka na kumuacha kwenye mataa hapo hapo.mwambie akakupe hivyo hivyo gizani
Siku nyingine unamwambia kabisa "nataka ukanipe raha mie" aje amejiandaa kwa mziki.Nimemwambia nimtoe out kakubari, sasa nimemleta nimemwambia tutafute chumba kakataa anasema hajisikii vzur yuko period, jaman mda mwingine mkiwa period muwe mnasema sasa apa naliwa tu..sijui nifanyaje najuta kuchepuka! Ukija light now hapa sinza mori unaniona nilivo Nuna, nimevaa shati la njano hapa Katalunya! Jamani....