Niko Sinza nachunwa

Niko Sinza nachunwa

Labda Na yeye ameshakugeuza kiwanda kimojawapo kati ya vile viwanda vipya 1800
 
Nimemwambia nimtoe out kakubari, sasa nimemleta nimemwambia tutafute chumba kakataa anasema hajisikii vzur yuko period, jaman mda mwingine mkiwa period muwe mnasema sasa apa naliwa tu..sijui nifanyaje najuta kuchepuka! Ukija light now hapa sinza mori unaniona nilivo Nuna, nimevaa shati la njano hapa Katalunya! Jamani....
Pole sana endelea kuugulia maumivu taaratibu
 
Nimemwambia nimtoe out kakubari, sasa nimemleta nimemwambia tutafute chumba kakataa anasema hajisikii vzur yuko period, jaman mda mwingine mkiwa period muwe mnasema sasa apa naliwa tu..sijui nifanyaje najuta kuchepuka! Ukija light now hapa sinza mori unaniona nilivo Nuna, nimevaa shati la njano hapa Katalunya! Jamani....
Sometimes jamii forum ni comedy tosha
 
Nimemwambia nimtoe out kakubari, sasa nimemleta nimemwambia tutafute chumba kakataa anasema hajisikii vzur yuko period, jaman mda mwingine mkiwa period muwe mnasema sasa apa naliwa tu..sijui nifanyaje najuta kuchepuka! Ukija light now hapa sinza mori unaniona nilivo Nuna, nimevaa shati la njano hapa Katalunya! Jamani....
Nimekuona tayari aisee mbona umeanza kuwa mzee ghafla shavu limekushuka hlo mwambie muhudumu bill nitalipa mimi nipo counter hapa umeniona sijui?
 
Mkuu mbona kawaida kwa watani wetu wa jadi kusema hivyo....Hapo kikubwa muwekee vikwazo vya kiuchumi gafla.
 
Nimemwambia nimtoe out kakubari, sasa nimemleta nimemwambia tutafute chumba kakataa anasema hajisikii vzur yuko period, jaman mda mwingine mkiwa period muwe mnasema sasa apa naliwa tu..sijui nifanyaje najuta kuchepuka! Ukija light now hapa sinza mori unaniona nilivo Nuna, nimevaa shati la njano hapa Katalunya! Jamani....
Kwani na Mori kuna Catalunya pia?
 
Kwani makubaliano yenu yakoje, au ulitaka ufanye kumshtukiza. Yaan kumtoa out mara moja tu ndio umetoa malalamiko kibao,khaaa ungeombwa kodi ya nyumba je?
 
Nimemwambia nimtoe out kakubari, sasa nimemleta nimemwambia tutafute chumba kakataa anasema hajisikii vzur yuko period, jaman mda mwingine mkiwa period muwe mnasema sasa apa naliwa tu..sijui nifanyaje najuta kuchepuka! Ukija light now hapa sinza mori unaniona nilivo Nuna, nimevaa shati la njano hapa Katalunya! Jamani....
Chomoka usepe
 
Weekend iko poa sana kwa upande wako mkuu. Usinune maana hujui unaepushwa na madhila gani
 
Nadhan kisu chakukuchunia hakina makali usingesema!!chunwa tu BG!
 
Nimemwambia nimtoe out kakubari, sasa nimemleta nimemwambia tutafute chumba kakataa anasema hajisikii vzur yuko period, jaman mda mwingine mkiwa period muwe mnasema sasa apa naliwa tu..sijui nifanyaje najuta kuchepuka! Ukija light now hapa sinza mori unaniona nilivo Nuna, nimevaa shati la njano hapa Katalunya! Jamani....
Siku nyingine unamwambia kabisa "nataka ukanipe raha mie" aje amejiandaa kwa mziki.
 
Tafuta mwingine wa fastet...

Hayupo period huyo... anatumia dawa za UTI...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom