Niko Sinza nachunwa

Niko Sinza nachunwa

Nimemwambia nimtoe out kakubari, sasa nimemleta nimemwambia tutafute chumba kakataa anasema hajisikii vzur yuko period, jaman mda mwingine mkiwa period muwe mnasema sasa apa naliwa tu..sijui nifanyaje najuta kuchepuka! Ukija light now hapa sinza mori unaniona nilivo Nuna, nimevaa shati la njano hapa Katalunya! Jamani....
Asante kwa kuniongezea siku zangu za kuishi maana nimecheka....!!!!!!!
 
Mkuu nimecheka sana hasa ukitegemeaulihitaji kugonga mzigo leo.....haha haha inauma aiseee
akili ya mwanadamu ni dhaifu sana,just simen discharges inampa tabu kiasi hiki??
 
Mkuu pole mwenyewe yaliwah nitokea Meridian Kino,daah anamimina Henken alaf hata kiuno hataki kuguswa nlimtoroka mpaka leo hatujawah onana,ukizubaa tuu badala ya kukuchuna kwa kisu atatumia maji ya moto kama kukchuna kama kitimoto, sepa mwachie manyoya maana kama nakuona ulivojaa Upepo
 
Mkuu pole mwenyewe yaliwah nitokea Meridian Kino,daah anamimina Henken alaf hata kiuno hataki kuguswa nlimtoroka mpaka leo hatujawah onana,ukizubaa tuu badala ya kukuchuna kwa kisu atatumia maji ya moto kama kukchuna kama kitimoto, sepa mwachie manyoya maana kama nakuona ulivojaa Upepo
Hatari sana
 
Kaka asee we ungeemlazimisha ivoivo mda mwingine wanakua waongo asee
 
Nimemwambia nimtoe out kakubari, sasa nimemleta nimemwambia tutafute chumba kakataa anasema hajisikii vzur yuko period, jaman mda mwingine mkiwa period muwe mnasema sasa apa naliwa tu..sijui nifanyaje najuta kuchepuka! Ukija light now hapa sinza mori unaniona nilivo Nuna, nimevaa shati la njano hapa Katalunya! Jamani....
 
Nimemwambia nimtoe out kakubari, sasa nimemleta nimemwambia tutafute chumba kakataa anasema hajisikii vzur yuko period, jaman mda mwingine mkiwa period muwe mnasema sasa apa naliwa tu..sijui nifanyaje najuta kuchepuka! Ukija light now hapa sinza mori unaniona nilivo Nuna, nimevaa shati la njano hapa Katalunya! Jamani....
Pole sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom