Chilli
JF-Expert Member
- Jul 17, 2011
- 1,655
- 743
Mie, siku izi nimekua hit and runThanx manoah
Hawa wanawake kwa wanayotufanya ilotakiwa tuwaepuke kabisa lakini ndio hivyo wako kama magari, japo yanaua watu kila kukicha lakini bado tunayapanda tena kwa kulipia nauli/wese.
Ww ndio unapepo la uzinzi, mie sina... Ndio maana una mtamani mke wangu madam....Pepo la uzinzi toka!
Umesemaaaa?
mi nshasemaga we ndo mwanga wangu
Umesemaaaa?
Karibu kwangu.
Huoni analeta ukameroni. chill ara