Niko sawa au ni mawazo yangu ya kishetwain??

Niko sawa au ni mawazo yangu ya kishetwain??

Toria

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
1,177
Reaction score
700
Habarini zenu binafsi wanduguu!!!

Jaman hili jambo limenitatiza kama namuwazia ubaya huyu mtumishi wa Mungu basi niambieni...

Nimekulia kwa familia yenye misingi ya dini hivii kutokana na hilo wazazi wapo krb sana na huyu mchungaji to the extent hata sisi watoto tuna ukaribu na hii familia ya Mchungaji.Wakati nipo chuo mch.na mkewe walikua na kawaida ya kunipigia simu mara mojamoja kunijulia hali na kunipa ushauri wa hapa na pale which was ok for me kwa kua ilinisaidia kurudi kwenye mstari pale nlipojichanganya sana I gec maisha ya vyuoni mnayajua

After kumaliza chuo na kupata kakibarua changu hua mwisho wa mwezi siachi kuwatoa japo vocha both mr. N mrs coz nawachukulia kama wazazi vile.Kilichokua kinanishangaza kdg ni juhudi za huyu pastor za kunical sana kila mara tofauti na mkewe lkn nlijilazimisha kutofikiria lolote baya nkiamini ni ule ukaribu wa familia zetu n the fact since nkiwa kadogo kbs ananiona n he was just proud of me mpk hapa nlipofika

Lately akawa anazidisha sana kunipigia hata 3times per day na hamna maongezi ya msingi sana so mi nkishapokea cal moja nyngne sipokei coz kuna maongezi flan nlikuwa nayaona un-usual hapo msg nazo zikawa mingi japokua sio za kimapnz ni za incouragement bt hua naeza kumjibu tu 'asnt baba'..sasa juzikat akawa anataka nimwambie nkiwa kwenye mazingira ya utulivu anipigie tuongee nkamwelezaa mom the issue kutokana na imani yake kwa pastor akanambia do as he said umskie anasemaje but wala sikufanya hivo

Jana ndo kaniacha hoi baada ya kunipigia na kuniambia haya maneno ktkt ya maongezi, niwe karibu nae,niwe huru kumweleza jambo lolote,anatamani anikumbatie, niwe huru kuwasiliana nae mda wowote,nisimweleze mtu yeyote maongez yetu,nidelete msg anazonitumia,nitakua faraja na nitamfuta machozi nikiwa na ukaribu nae akamalizia na kunibusu mmmwaaaah!!...nimemtafakariii hata simmalizi hapa ananitwangia masimu ka mvua hadi simu yangu inakaribia kuisha charger sipokei

Nafkiria nimwambie my mom hizi fix za mchungaj si ndo atahama kanisa na ugomvi juu?angekua mtu wa kawaida na sio mch.ningekua nshamchana but nakosa a right way ya kumwambia anipotezee ikiwezekana hata hizo simu asinipigie tena na hali ibaki tu kua shwari btn us nsije nkapata laana bure....
 
angalia ukicheka na nyani mara nyingi utavuna mabua!!mchane live huyo mchungaji mkware asirudie kukuambia mambo yake ya kipuuzi!!
 
Kama anatabia hiyo na yeye ni kiongozi wa dini, hii ni Hatari kabisa, La muhimu usimjibu vibaya, usipokee simu yake tenaaaaa na wala usijubu sms zake pindi atakapokuwa anakuandikia, atafahamu kuwa umechukia kutokana na maneno yake pamoja na sms, alizokuwa anakuandikia. ila kikutana naye pritent kama hakuna kitu, msalimu, na mchangamkie kama kawaida, akikuuliza kwa nn hupokei simu yake wala hujibu sms zake mwambie zijaziona. yeye mwenyewe ataelewa ni nn unamwambia. Usiwaambie wazazi maana unaweza leta mtafaruku katika jamii. wewe umeshakuwa unatakiwa kusolve matatizo kama hayo mwenyewe. Na ndipo atashika adabu yake na atakuheshimu mwanzo mwisho.

MUUNGWANA NI VITENDO, UKIPIGA KELELE WATU WATAKUDHARAU
 
Tafadhali sana dada,
Unaweza kumwambia mama, but uamuzi bado unao wewe kumwambia ukweli kuwa wewe ni mtumishi wa Mungu na unaelekea kuangua, shetani kashakuchukua, then usiwe na maongezi mengi naye sana.

Ni imetokea kwa watu wengi, unamuheshimu lakini yeye anatekwa huko ni kuanguka kwa watumshi wa Mungu.
Mkumbushe kabla na wewe hujatekwa na Shetani mkawa watu wa ajabu, na we pia utaonekana kama wanawake wengine ambao huwajaribu wachungaji
 
angalia ukicheka na nyani mara nyingi utavuna mabua!!mchane live huyo mchungaji mkware asirudie kukuambia mambo yake ya kipuuzi!!

Zama sio rahisi kivile kumchana mtu mzima tena unaemuheshim sana besids haniambii direct ili iwe rahis kumjibu direct bt anafungafunga lkn mtu mzima una uwezo wa kusoma intention ya mtu
 
Kama anatabia hiyo na yeye ni kiongozi wa dini, hii ni Hatari kabisa, La muhimu usimjibu vibaya, usipokee simu yake tenaaaaa na wala usijubu sms zake pindi atakapokuwa anakuandikia, atafahamu kuwa umechukia kutokana na maneno yake pamoja na sms, alizokuwa anakuandikia. ila kikutana naye pritent kama hakuna kitu, msalimu, na mchangamkie kama kawaida, akikuuliza kwa nn hupokei simu yake wala hujibu sms zake mwambie zijaziona. yeye mwenyewe ataelewa ni nn unamwambia. Usiwaambie wazazi maana unaweza leta mtafaruku katika jamii. wewe umeshakuwa unatakiwa kusolve matatizo kama hayo mwenyewe. Na ndipo atashika adabu yake na atakuheshimu mwanzo mwisho.

MUUNGWANA NI VITENDO, UKIPIGA KELELE WATU WATAKUDHARAU

Umenena vyema dada Lisa.
 
angalia ukicheka na nyani mara nyingi utavuna mabua!!mchane live huyo mchungaji mkware asirudie kukuambia mambo yake ya kipuuzi!!
Usemalo ni kweli kabisa.
Wengi washacheka sana na nyani wa Mtindo huu, anatakiwa awe mkali sana katika hilli kama kweli lipo ivo!

Mchungaji yupo njiani kulia, maana inaonesha kuna kajiugomvi kadogo tu ka kawaida na yeye anataka kujifariji kwake huyu dada,
Akikubali basi kashatumika na atajutia maisha yake yoote!
 
unasema ingekuwa ni mtu wa kawaida ungesha mchana..

Mi naona tena huyo mchungaji ndo wa kumchana mpaka aone rangi zote za rainbow.
yeye ni mtumishi wa Mungu, Ana mke kama ulivyosema , familia yako wanamwamini sana
na we unamwita baba..

Ingepeza zaidi kama ungemfumulia hayo yote ,
Na umwambie aheshimu na kutimiza amri za MUngu kama anavyofundisha waumini wake .

Amen.
 
Kama anatabia hiyo na yeye ni kiongozi wa dini, hii ni Hatari kabisa, La muhimu usimjibu vibaya, usipokee simu yake tenaaaaa na wala usijubu sms zake pindi atakapokuwa anakuandikia, atafahamu kuwa umechukia kutokana na maneno yake pamoja na sms, alizokuwa anakuandikia. ila kikutana naye pritent kama hakuna kitu, msalimu, na mchangamkie kama kawaida, akikuuliza kwa nn hupokei simu yake wala hujibu sms zake mwambie zijaziona. yeye mwenyewe ataelewa ni nn unamwambia. Usiwaambie wazazi maana unaweza leta mtafaruku katika jamii. wewe umeshakuwa unatakiwa kusolve matatizo kama hayo mwenyewe. Na ndipo atashika adabu yake na atakuheshimu mwanzo mwisho.

MUUNGWANA NI VITENDO, UKIPIGA KELELE WATU WATAKUDHARAU

Ushauri wako nimeupenda ila nakua so irritated na simu nyingi anazopiga kila baada ya dak5 na kwa njia ya kukaa kimya atajua kweli sijafurahishwa na the whole thing alivyonambia??halaf amenifanya imani yangu kwake fall to zero
 
Wewe hujui kuwa mtoto wa mwenzio ni mkubwa mwenzio? Anyway anataka umsaidie kutafuna sadaka.
 
Ni watumishi wachache sana ambao hufanya kazi ya bwana kwa uaminifu ila wengi wao hufanya kwa ajili ya kitu fulani.
Hivyo inatupasa tukae nao chonjo kwani muda mwingine twaweza jikuta tumeingia katika mtego usio na ufumbuzi.

Mimi naona ni vizuri kumweleza ukweli kwamba humwihitaji, mweleze kwamba huna mpango nae tena unamheshimu yeye pamoja na familia yake, hivyo inampasa atulie na mkewe kwani wewe ni kama mwanae.
Ukiona anakusumbua sana badilisha line.
 
Tafadhali sana dada,
Unaweza kumwambia mama, but uamuzi bado unao wewe kumwambia ukweli kuwa wewe ni mtumishi wa Mungu na unaelekea kuangua, shetani kashakuchukua, then usiwe na maongezi mengi naye sana.

Ni imetokea kwa watu wengi, unamuheshimu lakini yeye anatekwa huko ni kuanguka kwa watumshi wa Mungu.
Mkumbushe kabla na wewe hujatekwa na Shetani mkawa watu wa ajabu, na we pia utaonekana kama wanawake wengine ambao huwajaribu wachungaji

Mi siwez hata kwa kuwaza tuu kuwa na mchungaji over my dead body sema style ya kutumia ya kumfikishia ujumbe ndo inanistres
 
Jaribu kulitatua hili tatizo mwenyewe bila kumshirikisha madhee, kama ataendelea kuwa nunda mh, shirikisha watu!
 
Ushauri wako nimeupenda ila nakua so irritated na simu nyingi anazopiga kila baada ya dak5 na kwa njia ya kukaa kimya atajua kweli sijafurahishwa na the whole thing alivyonambia??halaf amenifanya imani yangu kwake fall to zero

Hizi ndo hasara za kumpeleka mtoto akasomee kitu ambacho hakiko katika moyo wake yaani kitu ambacho hajakipenda.
Naamini kabisa kwamba huyo pastor hakupendelea kusomea upastor ila kutokana na uwezo wa wazazi wake ilimbidi aende huko kwa njia za panya.

Ushauri kwa wazazi: Tujitahidi kuangalia watoto wetu wanapenda kitu gani nasi tuwapeleke huko
ili mradi wasije wakawa wanapenda vitu vya ajabu.

 
Siku nyingine akikupigia mpe BF wako apokee,kama mbwai mbwai bana,au namna gani vipi pokea alafu lia kama vile mko na jamaa yako sehem sehemu mna DUU, kama atakupigia tena huyo si pastor ni SHETWANI MKUBWA
 
Kama anatabia hiyo na yeye ni kiongozi wa dini, hii ni Hatari kabisa, La muhimu usimjibu vibaya, usipokee simu yake tenaaaaa na wala usijubu sms zake pindi atakapokuwa anakuandikia, atafahamu kuwa umechukia kutokana na maneno yake pamoja na sms, alizokuwa anakuandikia. ila kikutana naye pritent kama hakuna kitu, msalimu, na mchangamkie kama kawaida, akikuuliza kwa nn hupokei simu yake wala hujibu sms zake mwambie zijaziona. yeye mwenyewe ataelewa ni nn unamwambia. Usiwaambie wazazi maana unaweza leta mtafaruku katika jamii. wewe umeshakuwa unatakiwa kusolve matatizo kama hayo mwenyewe. Na ndipo atashika adabu yake na atakuheshimu mwanzo mwisho.

MUUNGWANA NI VITENDO, UKIPIGA KELELE WATU WATAKUDHARAU

i like this! Umemaliza .
 
Ni watumishi wachache sana ambao hufanya kazi ya bwana kwa uaminifu ila wengi wao hufanya kwa ajili ya kitu fulani.
Hivyo inatupasa tukae nao chonjo kwani muda mwingine twaweza jikuta tumeingia katika mtego usio na ufumbuzi.

Mimi naona ni vizuri kumweleza ukweli kwamba humwihitaji, mweleze kwamba huna mpango nae tena unamheshimu yeye pamoja na familia yake, hivyo inampasa atulie na mkewe kwani wewe ni kama mwanae.
Ukiona anakusumbua sana badilisha line.

Ndugu yang huyu mtu hajanambia direct ananitaka ila chombezoring ndo zinanambia na hata hiyo jana nlimweleza ukaribu wangu na yy utakua wa baba na mtoto ye akasema ameshukuru sana kwa hilo so naogopa kumention issue za mpnz mara anambie nani kakwambia issue za mpnz??si nnaeza kuonekana mi ndo mwny tatizo
 
Siku nyingine akikupigia mpe BF wako apokee,kama mbwai mbwai bana,au namna gani vipi pokea alafu lia kama vile mko na jamaa yako sehem sehemu mna DUU, kama atakupigia tena huyo si pastor ni SHETWANI MKUBWA

Khaaaa kiukweli I respect the man na nkifanya hivi I gec atamwambia bimkubwa wangu halaf naweza kulazimika kumwambia reason ya kufanya vile which might lead the problem am trying to avoid
 
Hizi ndo hasara za kumpeleka mtoto akasomee kitu ambacho hakiko katika moyo wake yaani kitu ambacho hajakipenda.
Naamini kabisa kwamba huyo pastor hakupendelea kusomea upastor ila kutokana na uwezo wa wazazi wake ilimbidi aende huko kwa njia za panya.

Ushauri kwa wazazi: Tujitahidi kuangalia watoto wetu wanapenda kitu gani nasi tuwapeleke huko
ili mradi wasije wakawa wanapenda vitu vya ajabu.


Umesema kweli,
Kunammoja alipost kuodolewa uschana wake humu kisa mzazi alimpeleka kwa jamaa kuchukua pombe.
Leo huyu amemwambia mzazi, yeye anasema anamwamini mchungaji, Hajui kuwa mtoto hadi anaripoti kafika mbali.

Nadhani wazazi/walezi tushirikiane sana na watoto hasa akikushirikisha hata neno moja au kwa vitendo kwa yule aliyekuwa anasita kwenda kwa mwanaume..
Mi narudia akimwendekeza anatafuta majuto ya maisha
 
Back
Top Bottom