nodetz
Senior Member
- May 4, 2024
- 173
- 156
- Thread starter
- #101
Sijataka nikuulize kwanjia ya message ili kila mtu ajifunze jambo hapa.karibu
Nimekua mkristo tangu nakua huwa najitaidi kuelewa kuwa yesu ni mungu ila nikili mbele za kila mtu sijawai elewa hilo na kiukweli sijawai amini eti yesu ndiye mungu nisidanganye na hali hii inawakuta wakristo weng ila ni wachache wanaweza kusema.
Najua utaleta habari za utatu mtakatifu ila hata ilo pia sijawai lielewa ndo maana huwa najihisi mimi sio mkristo.