Niko njiapanda ya kuchagua dini sahihi

Niko njiapanda ya kuchagua dini sahihi

Nenda Sehemu utakayo Kuwa Vizuri Kiroho
Ukirud kwenye Uislam
Unajirudisha nyuma zaidi baadala ya Kusonga Mbele na Ukristo

Ni kweli. Ila angesema hata Logic moja ambayo Viongozi wake wa Dini walishindwa kumfafanulia ingekuwa vizur.

Ukitumia Logic ya science bas hakuna Mungu wala Dini.
 
Umesema wewe ni mtu unae penda kusoma kujifunza then unatoka kwenye ukatoliki unaeenda kwa walokole we jamaa hahah sasa unasomaga nini?
 
Habari wana jf leo ninaswala gumu linanitatiza naitaji maoni yenu.

Kama binadamu wengine namuamini mungu.

Ila napata wakati mugumu kuchagua dini ya kuabudia. Nikisema hivyo namaanisha mini ni mtu ambaye napenda kujifunza sana.

Na kijifunza kwanga kumefanya nibadili jinsi ninavyo itizama dini yangu iliyonelea (ukristo)

Nimekulia katika familia inayo abudua kupitia roman Catholic ila miaka mitano nyuma baada ya kujifunza na kuelewa vitu fulani mimi kama binadamu ninahaki ya kuchagua wapi nikaabudu ivyo nikaamua kubadili na kuwa katika makanisa ya kilokole.

Now nimwaka wa pili sasa huwa najiuliza kama uamuzi niliofanya ni sahihi make najikuta naitaji kubadili tena na safari hii naonelea zaidi kuwa mwisilam (dini ninayoipenda zaidi).

Kinacho nisukuma kufanya hivi sio nafata mkumbo hapana ila kunavitu vingi uwa vinanipa mwaswali na hayo maswali yakikosa majibu basi huwa naitaji kubadilisha msimamo wangu.

Nitaepuka kuweka maswali hayo hapa ili nisianzishe mjadala wa kinidi.

Kiukweli kabisa niko njia panda na ukizingatia naelewa pia sio rahisi kumwamini mungu kwa kuto shiriki katika dini yoyote maana utakosa malezi ya kidini japo wengine ufikili kuingia kwenye dini ni kama kujiingiza kwenye jela yako mwenyewe.

Ntashukulu kwa maoni yako mwana jf.
Wazazi wako walikulea kwenye imani ipi ?
 
Habari wana jf leo ninaswala gumu linanitatiza naitaji maoni yenu.

Kama binadamu wengine namuamini mungu.

Ila napata wakati mugumu kuchagua dini ya kuabudia. Nikisema hivyo namaanisha mini ni mtu ambaye napenda kujifunza sana.

Na kijifunza kwanga kumefanya nibadili jinsi ninavyo itizama dini yangu iliyonelea (ukristo)

Nimekulia katika familia inayo abudua kupitia roman Catholic ila miaka mitano nyuma baada ya kujifunza na kuelewa vitu fulani mimi kama binadamu ninahaki ya kuchagua wapi nikaabudu ivyo nikaamua kubadili na kuwa katika makanisa ya kilokole.

Now nimwaka wa pili sasa huwa najiuliza kama uamuzi niliofanya ni sahihi make najikuta naitaji kubadili tena na safari hii naonelea zaidi kuwa mwisilam (dini ninayoipenda zaidi).

Kinacho nisukuma kufanya hivi sio nafata mkumbo hapana ila kunavitu vingi uwa vinanipa mwaswali na hayo maswali yakikosa majibu basi huwa naitaji kubadilisha msimamo wangu.

Nitaepuka kuweka maswali hayo hapa ili nisianzishe mjadala wa kinidi.

Kiukweli kabisa niko njia panda na ukizingatia naelewa pia sio rahisi kumwamini mungu kwa kuto shiriki katika dini yoyote maana utakosa malezi ya kidini japo wengine ufikili kuingia kwenye dini ni kama kujiingiza kwenye jela yako mwenyewe.

Ntashukulu kwa maoni yako mwana jf.
Chaguo ulilofanya ni sahihi na wakati sahihi.
 
Dini skuizi ni kama kununua maembe sokoni.
Bonyeza bonyeza upime liloiva vizuri nunua.

Kama unatafuta ukweli, ujue kuwa hakuna dini ya ukweli zote ni manmade.

Kama unatafuta matumizi (usability)/faida.
Angalia na mazingira unayoishi Kuna waumini wengi wa dini Gani? Fuata hiyo hiyo.

Maana hao watakusaidia Kwenye misiba, michango ya harusi nk.

Kama eneo unaloishi ni 50/50 basi nakushauri nenda Kwenye uislam maana ukiwa muislam utapendwa na waislam na wakristo ila ukiwa mkristo utachukiwa na waislam.
 
Umesema wewe ni mtu unae penda kusoma kujifunza then unatoka kwenye ukatoliki unaeenda kwa walokole we jamaa hahah sasa unasomaga nini?
Kusoma sio kuelewa unaweza soma na husielewe so kwa uelewa nilio upata uko ndomaana nikaamua ivo
 
Dini skuizi ni kama kununua maembe sokoni.
Bonyeza bonyeza upime liloiva vizuri nunua.

Kama unatafuta ukweli, ujue kuwa hakuna dini ya ukweli zote ni manmade.

Kama unatafuta matumizi (usability)/faida.
Angalia na mazingira unayoishi Kuna waumini wengi wa dini Gani? Fuata hiyo hiyo.

Maana hao watakusaidia Kwenye misiba, michango ya harusi nk.

Kama eneo unaloishi ni 50/50 basi nakushauri nenda Kwenye uislam maana ukiwa muislam utapendwa na waislam na wakristo ila ukiwa mkristo utachukiwa na waislam.
Asante mkuu
 
Hivi unakua na akili timamu kabisa leo uko katoliki, kesho TAG, mara uislamu? Yan huko kote ulikotoka hujifunzi tu au ndio nini naomba kueleweshwa
Labda tuseme niko na tatizo kwa maamuzi yangu ila nimakosa pia kutaka kumjua mungu ? Maana kila dini inamwelezea mungu kitofauti
 
Habari wana jf leo ninaswala gumu linanitatiza naitaji maoni yenu.

Kama binadamu wengine namuamini mungu.

Ila napata wakati mugumu kuchagua dini ya kuabudia. Nikisema hivyo namaanisha mini ni mtu ambaye napenda kujifunza sana.

Na kijifunza kwanga kumefanya nibadili jinsi ninavyo itizama dini yangu iliyonelea (ukristo)

Nimekulia katika familia inayo abudua kupitia roman Catholic ila miaka mitano nyuma baada ya kujifunza na kuelewa vitu fulani mimi kama binadamu ninahaki ya kuchagua wapi nikaabudu ivyo nikaamua kubadili na kuwa katika makanisa ya kilokole.

Now nimwaka wa pili sasa huwa najiuliza kama uamuzi niliofanya ni sahihi make najikuta naitaji kubadili tena na safari hii naonelea zaidi kuwa mwisilam (dini ninayoipenda zaidi).

Kinacho nisukuma kufanya hivi sio nafata mkumbo hapana ila kunavitu vingi uwa vinanipa mwaswali na hayo maswali yakikosa majibu basi huwa naitaji kubadilisha msimamo wangu.

Nitaepuka kuweka maswali hayo hapa ili nisianzishe mjadala wa kinidi.

Kiukweli kabisa niko njia panda na ukizingatia naelewa pia sio rahisi kumwamini mungu kwa kuto shiriki katika dini yoyote maana utakosa malezi ya kidini japo wengine ufikili kuingia kwenye dini ni kama kujiingiza kwenye jela yako mwenyewe.

Ntashukulu kwa maoni yako mwana jf.
Mimi nakushauri kama kweli unataka kuujua uislam na una maswali yako yanajitaji majibu kuhusu uislam weka hapa hayo maswali waislam watakujibu

Na kama maswali utakayoweka yataleta mjadala wa kidini bado pia itakuwa mzuri kwako maana katika huo mjadala ndio utajifunza zaidi
 
Habari wana jf leo ninaswala gumu linanitatiza naitaji maoni yenu.

Kama binadamu wengine namuamini mungu.

Ila napata wakati mugumu kuchagua dini ya kuabudia. Nikisema hivyo namaanisha mini ni mtu ambaye napenda kujifunza sana.

Na kijifunza kwanga kumefanya nibadili jinsi ninavyo itizama dini yangu iliyonelea (ukristo)

Nimekulia katika familia inayo abudua kupitia roman Catholic ila miaka mitano nyuma baada ya kujifunza na kuelewa vitu fulani mimi kama binadamu ninahaki ya kuchagua wapi nikaabudu ivyo nikaamua kubadili na kuwa katika makanisa ya kilokole.

Now nimwaka wa pili sasa huwa najiuliza kama uamuzi niliofanya ni sahihi make najikuta naitaji kubadili tena na safari hii naonelea zaidi kuwa mwisilam (dini ninayoipenda zaidi).

Kinacho nisukuma kufanya hivi sio nafata mkumbo hapana ila kunavitu vingi uwa vinanipa mwaswali na hayo maswali yakikosa majibu basi huwa naitaji kubadilisha msimamo wangu.

Nitaepuka kuweka maswali hayo hapa ili nisianzishe mjadala wa kinidi.

Kiukweli kabisa niko njia panda na ukizingatia naelewa pia sio rahisi kumwamini mungu kwa kuto shiriki katika dini yoyote maana utakosa malezi ya kidini japo wengine ufikili kuingia kwenye dini ni kama kujiingiza kwenye jela yako mwenyewe.

Ntashukulu kwa maoni yako mwana jf.
Ndugu yangu dini ni moja tu Uislamu, hizo zengine zote ni mipango ya shetani.
 
Habari wana jf leo ninaswala gumu linanitatiza naitaji maoni yenu.

Kama binadamu wengine namuamini mungu.

Ila napata wakati mugumu kuchagua dini ya kuabudia. Nikisema hivyo namaanisha mini ni mtu ambaye napenda kujifunza sana.

Na kijifunza kwanga kumefanya nibadili jinsi ninavyo itizama dini yangu iliyonelea (ukristo)

Nimekulia katika familia inayo abudua kupitia roman Catholic ila miaka mitano nyuma baada ya kujifunza na kuelewa vitu fulani mimi kama binadamu ninahaki ya kuchagua wapi nikaabudu ivyo nikaamua kubadili na kuwa katika makanisa ya kilokole.

Now nimwaka wa pili sasa huwa najiuliza kama uamuzi niliofanya ni sahihi make najikuta naitaji kubadili tena na safari hii naonelea zaidi kuwa mwisilam (dini ninayoipenda zaidi).

Kinacho nisukuma kufanya hivi sio nafata mkumbo hapana ila kunavitu vingi uwa vinanipa mwaswali na hayo maswali yakikosa majibu basi huwa naitaji kubadilisha msimamo wangu.

Nitaepuka kuweka maswali hayo hapa ili nisianzishe mjadala wa kinidi.

Kiukweli kabisa niko njia panda na ukizingatia naelewa pia sio rahisi kumwamini mungu kwa kuto shiriki katika dini yoyote maana utakosa malezi ya kidini japo wengine ufikili kuingia kwenye dini ni kama kujiingiza kwenye jela yako mwenyewe.

Ntashukulu kwa maoni yako mwana jf.
Kitu unachokitafuta katika uhalisia hakipo...

Kama unatafuta kuwa mfuasi wa itikadi flani basi, hata hapo ulipokua mwanzo panatosha sana na pana nguvu kuliko huko kungine unakokufikiria.

Kuifupi wote ni wale wale tu, tofauti yao ni ukubwa(kokote utakako kwande ni unabadilisha vyumba tu nyumba ni ile ile).
 
Mimi nakushauri kama kweli unataka kuujua uislam na una maswali yako yanajitaji majibu kuhusu uislam weka hapa hayo maswali waislam watakujibu

Na kama maswali utakayoweka yataleta mjadala wa kidini bado pia itakuwa mzuri kwako maana katika huo mjadala ndio utajifunza zaidi
Mi nna swali kuhusu uislam
.
Ni nani aliyeipanga Quran, Yani aya hii ianze ile ifate? Na alitumia/walitumia formula ipi au vigezo Gani?
Asante
 
Alimwita Lazaro aliyekufa toka nje Lazaro uwe mzima,

Akatoka Lazaro aliyenuka , yu mzima Lazaro kaenda zake, eeh akatoka Lazaro aliyenuka yu mzima Lazaro kaenda zake eeh


Hakuna, hakuna hakuna
 
Back
Top Bottom