Niko njiapanda ya kuchagua dini sahihi

Niko njiapanda ya kuchagua dini sahihi

Kweli ila dini zina athili iman zetu mkuu
Ni kweli lakini sidhani kama kuna dini ya kweli ukitumia logoc mkuu.

Utahama kila pahala, kila pahali utaambiwa huna imani, Mungu ndo anajua, hilo lipo nje ya uwezo wetu kujua ni Mungu pekee. Hupaswi kuuliza hilo ni kufuru na vitu kama hivyo.
 
Karibu kwenye asili ya wazee wetu hii ndio njia sahihi
8SzwQc8j2KJbSdz9UP3a3stxGTnAbuRy9afymeDEUUqJZ9jaD2VAk5eaa5Rvz39qWcWeV5yTP5CnBEcRf6ojeVBoPMebV...jpeg
 
Kitu unachokitafuta katika uhalisia hakipo...

Kama unatafuta kuwa mfuasi wa itikadi flani basi, hata hapo ulipokua mwanzo panatosha sana na pana nguvu kuliko huko kungine unakokufikiria.

Kuifupi wote ni wale wale tu, tofauti yao ni ukubwa(kokote utakako kwande ni unabadilisha vyumba tu nyumba ni ile ile).
Mwanzon nilikuwa nna mawazo kama yako.
Nkajua atheism iko nje ya hiyo nyumba, kumbe nayo ni chumba tu ndani ya hiyo nyumba.
Spirituality nacho ni chumba tu,
Scientology nacho ni chumba tu.

Kitu kilicho karibu na kutoka Kwenye hiko chumba ni Buddhism, tena particularly zen Buddhism
 
Ni kweli lakini sidhani kama kuna dini ya kweli ukitumia logoc mkuu.

Utahama kila pahala, kila pahali utaambiwa huna imani, Mungu ndo anajua, hilo lipo nje ya uwezo wetu kujua ni Mungu pekee. Hupaswi kuuliza hilo ni kufuru na vitu kama hivyo.
Kwa namna fulani uko sasa lakini unadhani bila dini tungekua tunamtazo gani kuhusu mungu
 
Habari wana jf leo ninaswala gumu linanitatiza naitaji maoni yenu.

Kama binadamu wengine namuamini mungu.

Ila napata wakati mugumu kuchagua dini ya kuabudia. Nikisema hivyo namaanisha mini ni mtu ambaye napenda kujifunza sana.

Na kijifunza kwanga kumefanya nibadili jinsi ninavyo itizama dini yangu iliyonelea (ukristo)

Nimekulia katika familia inayo abudua kupitia roman Catholic ila miaka mitano nyuma baada ya kujifunza na kuelewa vitu fulani mimi kama binadamu ninahaki ya kuchagua wapi nikaabudu ivyo nikaamua kubadili na kuwa katika makanisa ya kilokole.

Now nimwaka wa pili sasa huwa najiuliza kama uamuzi niliofanya ni sahihi make najikuta naitaji kubadili tena na safari hii naonelea zaidi kuwa mwisilam (dini ninayoipenda zaidi).

Kinacho nisukuma kufanya hivi sio nafata mkumbo hapana ila kunavitu vingi uwa vinanipa mwaswali na hayo maswali yakikosa majibu basi huwa naitaji kubadilisha msimamo wangu.

Nitaepuka kuweka maswali hayo hapa ili nisianzishe mjadala wa kinidi.

Kiukweli kabisa niko njia panda na ukizingatia naelewa pia sio rahisi kumwamini mungu kwa kuto shiriki katika dini yoyote maana utakosa malezi ya kidini japo wengine ufikili kuingia kwenye dini ni kama kujiingiza kwenye jela yako mwenyewe.

Ntashukulu kwa maoni yako mwana jf.
Wewe sema tu unataka kupata fursa na uhalali wa kuoa wake wanne ili kukidhi tamaa zako za kimwili...sambamba na fursa ya mabikra 72
 
Habari wana jf leo ninaswala gumu linanitatiza naitaji maoni yenu.

Kama binadamu wengine namuamini mungu.

Ila napata wakati mugumu kuchagua dini ya kuabudia. Nikisema hivyo namaanisha mini ni mtu ambaye napenda kujifunza sana.

Na kijifunza kwanga kumefanya nibadili jinsi ninavyo itizama dini yangu iliyonelea (ukristo)

Nimekulia katika familia inayo abudua kupitia roman Catholic ila miaka mitano nyuma baada ya kujifunza na kuelewa vitu fulani mimi kama binadamu ninahaki ya kuchagua wapi nikaabudu ivyo nikaamua kubadili na kuwa katika makanisa ya kilokole.

Now nimwaka wa pili sasa huwa najiuliza kama uamuzi niliofanya ni sahihi make najikuta naitaji kubadili tena na safari hii naonelea zaidi kuwa mwisilam (dini ninayoipenda zaidi).

Kinacho nisukuma kufanya hivi sio nafata mkumbo hapana ila kunavitu vingi uwa vinanipa mwaswali na hayo maswali yakikosa majibu basi huwa naitaji kubadilisha msimamo wangu.

Nitaepuka kuweka maswali hayo hapa ili nisianzishe mjadala wa kinidi.

Kiukweli kabisa niko njia panda na ukizingatia naelewa pia sio rahisi kumwamini mungu kwa kuto shiriki katika dini yoyote maana utakosa malezi ya kidini japo wengine ufikili kuingia kwenye dini ni kama kujiingiza kwenye jela yako mwenyewe.

Ntashukulu kwa maoni yako mwana jf.
Shida yako ni uhuru wa kupata wanawake wengi ndo unakusumbua. Hakuna dini sahihi bali kuna IMANI SAHIHI.
 
Mkuu usichukulie serious hizi hekaya…… ishi na watu vizuri
 
Kwa namna fulani uko sasa lakini unadhani bila dini tungekua tunamtazo gani kuhusu mungu
Kwani atheists wana mtazamo gani??
Achana na hao kuna mataifa mengi hayaamini hizi dini etu Uislam na Ukristo.

Ushafatilia wao wana mtazamo gani?

Sio lazima uwe mkristo au muislam ndo uwe kweny njia/dini sahihi.
China, japan, korea, India, Israel etc mataifa yote hayo yana dini kuu tofauti na uislam na ukristo, je hao mtazamo wao kuhusu Mungu ukoje?
Wako sahihi au hawako sahihi??

Ukifatilia kote huko unahubiriwa upendo, na matendo mema. Taratibu nyingi zimeanzishwq ili kurahisisha maisha na kulingana na tamaduni zilizozoeleka za wakati dini hizo zinakua kwa kasi.

Au naongea uongo DR Mambo Jambo ??
 
Habari wana jf leo ninaswala gumu linanitatiza naitaji maoni yenu.

Kama binadamu wengine namuamini mungu.

Ila napata wakati mugumu kuchagua dini ya kuabudia. Nikisema hivyo namaanisha mini ni mtu ambaye napenda kujifunza sana.

Na kijifunza kwanga kumefanya nibadili jinsi ninavyo itizama dini yangu iliyonelea (ukristo)

Nimekulia katika familia inayo abudua kupitia roman Catholic ila miaka mitano nyuma baada ya kujifunza na kuelewa vitu fulani mimi kama binadamu ninahaki ya kuchagua wapi nikaabudu ivyo nikaamua kubadili na kuwa katika makanisa ya kilokole.

Now nimwaka wa pili sasa huwa najiuliza kama uamuzi niliofanya ni sahihi make najikuta naitaji kubadili tena na safari hii naonelea zaidi kuwa mwisilam (dini ninayoipenda zaidi).

Kinacho nisukuma kufanya hivi sio nafata mkumbo hapana ila kunavitu vingi uwa vinanipa mwaswali na hayo maswali yakikosa majibu basi huwa naitaji kubadilisha msimamo wangu.

Nitaepuka kuweka maswali hayo hapa ili nisianzishe mjadala wa kinidi.

Kiukweli kabisa niko njia panda na ukizingatia naelewa pia sio rahisi kumwamini mungu kwa kuto shiriki katika dini yoyote maana utakosa malezi ya kidini japo wengine ufikili kuingia kwenye dini ni kama kujiingiza kwenye jela yako mwenyewe.

Ntashukulu kwa maoni yako mwana jf.
Kama uliama ukatoliki na kuwa mlokole au msabato basi wewe ulichokuwa unakifanya ni kubadili tu mikao ya kusex(ngono) kisha unasema ndiyo kuacha ngono ..mtu akisha kuwa na madhehebu tu huyo ni kafiri aijalishi ni dini gani ...kutoka ukatoliki na kuamia ulokole ni sawa na kukanyaga kinyesi kisha kutoka kwenda kukanyaga uharo
 
Nenda dini zote ila sio dini ya Kiyahudi ama Muslim. Hizi Imani zimejaa ukatili mkubwa sana. Angalia jinsi Mayahudi yanavyoua watu huko Gaza. Muislam nae anukuua huku anasema Allah Akbar. Angalia juzikati walivyoa wakristo huko Kongo na kule syria.Yaani anamuhusisha Mungu kwenye uovu wake.!. Ukitaka kuwa mkatili na kuchukia binadamu wengine jiunge na hizo Iman. Bora ubaki kwa Yesu maana alitutaka tuwapende watu wote. Yesu hakubagua.
Kwenye hii dunia namuogopa Sana Myahudi na Muislam.
 
Wewe sema tu unataka kupata fursa na uhalali wa kuoa wake wanne ili kukidhi tamaa zako za kimwili...sambamba na fursa ya bikra 72
Mkuu kuna watu hata sio waislam wana wake zaidi ya hao 4 na bado hawajihisi kuwa na hatia yoyote na labda nikwambie mm sijaoa na sina hata hilo wazo kwasasa.
Alaf kwanin wengi mnaangalia vitu vinavyo ahidiwa kwa wahisilamu kama ndo msukumo unaowafanya watu kuingia kwenye hiyo dini.

Kiufupi naaangalia sehemu salama ambayo naweza kuwa na malezi bora kwangu na kwa watoto na kizazi changu kijacho sababu dini nyingi zihalibiwa na huu utandawazi yaani dunia yasasa nikawaida kukuta watu wakilitumia kanisa kwa mambo ya hovyo.

Kwaiyo sina chochote ninachotegemea kupata kwenye iyo dini unayoisema zaidi ya kumjua mungu na kupata. maadili na malezi bora kwangu na kwa familia yangu ijayo
 
Nenda dini zote ila sio dini ya Kiyahudi ama Muslim. Hizi Imani zimejaa ukatili mkubwa sana. Angalia jinsi Mayahudi yanavyoua watu huko Gaza. Muislam nae anukuua huku anasema Allah Akbar. Angalia juzikati walivyoa wakristo huko Kongo na kule syria.Yaani anamuhusisha Mungu kwenye uovu wake.!. Ukitaka kuwa mkatili na kuchukia binadamu wengine jiunge na hizo Iman. Bora ubaki kwa Yesu maana alitutaka tuwapende watu wote. Yesu hakubagua.
Kwenye hii dunia namuogopa Sana Myahudi na Muislam.
Ww uwah hospital
 
Back
Top Bottom