Habari wana jf leo ninaswala gumu linanitatiza naitaji maoni yenu.
Kama binadamu wengine namuamini mungu.
Ila napata wakati mugumu kuchagua dini ya kuabudia. Nikisema hivyo namaanisha mini ni mtu ambaye napenda kujifunza sana.
Na kijifunza kwanga kumefanya nibadili jinsi ninavyo itizama dini yangu iliyonelea (ukristo)
Nimekulia katika familia inayo abudua kupitia roman Catholic ila miaka mitano nyuma baada ya kujifunza na kuelewa vitu fulani mimi kama binadamu ninahaki ya kuchagua wapi nikaabudu ivyo nikaamua kubadili na kuwa katika makanisa ya kilokole.
Now nimwaka wa pili sasa huwa najiuliza kama uamuzi niliofanya ni sahihi make najikuta naitaji kubadili tena na safari hii naonelea zaidi kuwa mwisilam (dini ninayoipenda zaidi).
Kinacho nisukuma kufanya hivi sio nafata mkumbo hapana ila kunavitu vingi uwa vinanipa mwaswali na hayo maswali yakikosa majibu basi huwa naitaji kubadilisha msimamo wangu.
Nitaepuka kuweka maswali hayo hapa ili nisianzishe mjadala wa kinidi.
Kiukweli kabisa niko njia panda na ukizingatia naelewa pia sio rahisi kumwamini mungu kwa kuto shiriki katika dini yoyote maana utakosa malezi ya kidini japo wengine ufikili kuingia kwenye dini ni kama kujiingiza kwenye jela yako mwenyewe.
Ntashukulu kwa maoni yako mwana jf.
Shauku yako ni sahihi kabisa mkuu.Naomba nikupongeze kwa mawazo haya sahihi kabisa,ambayo kwa ujasiri naweza kusema it is the Holy Spirit working in you.You can never realize Christ in religion.Naomba niseme hivi,mwana wa Mungu wa kweli ,hawezi kukaa kwenye dini au madhehebu kwa kuwa ni mpango wa wanadamu.So God works like this,He works out His plan and then we as His people invites us into the plan not the other way round.
Katika Ufunuo 18:3-5 we read,
Ufunuo 18:3-5
Ufunuo wa Yohana 18:3-5
3 kwa kuwa mataifa yote wamekunywa mvinyo ya ghadhabu ya uasherati wake, na wafalme wa nchi wamezini naye, na wafanya biashara wa nchi wamepata mali kwa nguvu za kiburi chake.
4 Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni, ikisema, Tokeni kwake, enyi watu wangu, msishiriki dhambi zake, wala msipokee mapigo yake.
5 Kwa maana dhambi zake zimefika hata mbinguni, na Mungu amekumbuka maovu yake.
Who is this that the Word of God is talking about in Revelation 18:4-5,it is the Roman Catholic Religion.
And in 1 Wakorintho 1:11-13 we read,
1 Wakorintho 1:11-13
11 Kwa maana, ndugu zangu, nimearifiwa habari zenu na wale walio wa nyumbani mwa Kloe, ya kwamba iko fitina kwenu.
12 Basi, maana yangu ni hii, ya kwamba kila mtu wa kwenu kusema, Mimi ni wa Paulo, na, Mimi ni wa Apolo, na, Mimi ni wa Kefa, na, Mimi ni wa Kristo.
13 Je! Kristo amegawanyika? Je! Paulo alisulibiwa kwa ajili yenu? Au je! Mlibatizwa kwa jina la Paulo?
Again in 2 Corithians 6:14-18 we read,
2 Wakorintho 6:14-18
14 Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza?
15 Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini?
16 Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.
17 Kwa hiyo,Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana, Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha.
18 Nitakuwa Baba kwenu, Nanyi mtakuwa kwangu wanangu wa kiume na wa kike.
So you see the Word of God is instructing us to get out of these evil entities called Religion,which are human creations, because once you align yourself with them,you are out of God's plan and God cannot work with you.
You know what religion is all about?See Mark 7:6-9.
Mark 7:6-9.
6 Akawaambia, Isaya alitabiri vema juu yenu ninyi wanafiki, kama ilivyoandikwa, Watu hawa huniheshimu kwa midomo Ila mioyo yao iko mbali nami;
7 Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu,
8 Ninyi mwaiacha amri ya Mungu, na kuyashika mapokeo ya wanadamu.
9 Akawaambia, Vema! Mwaikataa amri ya Mungu mpate kuyashika mapokeo yenu.
12 wala hammruhusu baada ya hayo kumtendea neno babaye au mamaye;
Of course you will ask,sasa niende wapi.Stand on your own initially with your family,au kama huna a family stand on your own,God sees in you the desire to serve and obey him,He will make a way for you.Huhitaji watu elfu au nyumba iliyojengwa kwa mikono ya wanadamu ili liwe kanisa,hilo sio Kanisa ni nyumba ya ibada.Kanisa ni mkusanyiko wa watu wanaomuamini Kristo.
Mathayo 18:20
20 Kwa kuwa walipo wawili watatu wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo papo hapo katikati yao.
Mwisho niseme hivi,religion is satanic and pagan,avoid it at any cost.Mimi nimeshatoka huko, I am on my own,my family and a few people who truly believe in Jesus Christ.We do not have much time left,Jesus is coming very soon,so let's focus on Him, not things of this World like religion.
Huko unakokwenda is even worse,Allah is the Devil.so avoid Islam also.Afterall Islam is the brainchild of the Catholic Religion.Please feel free to contact me Incase of any questions