Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 15,096
- 8,906
Sasa unachofanya wewe hapa ni kuonyesha uthabiti wa imani yako(kitu ambacho watu wa imani zengine wanaweza kufanya) na si kuonyesha ni kwa vp hiyo imani ni sahihi.Imani thabiti sio issue ndugu yangu,unaweza kuwa na imani thabiti kwa Ngombe,lakini hiyo sio imani sahihi.Imani sahihi ndiyo issue.