The Magnificent
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,694
- 1,250
Msaada ninaohitaji ni namna gani naweza breakup na bf wangu bila kumuumiza wala kumfanya awachukie women
huwa tukisema hapa wanawake hamna akili mnasema tunawatukana ........ona sasa,hivi wewe una akili kweli? yaani umesoma kabisa teana una degree ya miaka minne,bado unafanya ukahaba? unaponishangaza zaidi badala ya kuomba ushauri wa kuachana na mume wa mtu,unaomba ushauri wa kumuacha mpenzi wako(aliye single) kisa tu,yupo nje kwa hiyo unamiss kufumuliwa!!
Hata hivyo sio kosa lako,hii ndio nature yenu nyie jinsia ya pili,wote akili ile ile tu,
Ahsante mungu kwa kuniumba mwanaume!