Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,652
@Da Asia
kwanza nikupe hongera kwa hatua uliyofikia katika malezi ya wano ukiwa peke yako.
Ishu yako ya mahusiano.. sidhani kama huyo mwanaume anakupenda kama unavyoeleza. Na m_dought sana; bado anaficha mambo mengi sana kwako kitu kinachotia mashaka. Nahisi ana malengo fulani (''''''), just be very carefull, kama unajisikia unampenda sana, weka mipaka na jipe muda wa kutosha kumsoma na kumwelewa. Hili ni pamoja na kuweka misingi/makubaliano thabiti ya jinsi gani mahusiano yenu yatakavyokuwa, nani atahamia kwa mwenzie, watoto itakuwaje n.k
"Kutwa anajitetea kua mimi namnyanyasa kwa vile hana kipato kizuri kama mimi. Ni mtu wa kulalamika kutwa hana pesa!" hii kitu hii ni hatari sana.
Mwanaume akijisikia dhaifu ni dhaifu kweli kweli ..magomvi na matatizo yasioisha huibuka kutokana na inferiority.
He can ruin ya life totally na ukajuta. Mie ndukiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Uko sahihi,
Dume hata kama halina kitu haliwezi kukaa likalia lia....atajipiga kifua na kuonesha kuwa ni mwanamume wa kweli...
Huyo wa kunyanyua pua siyo mume kabisa....
Babu DC!!