Ennie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 7,137
- 4,122
Da Asia, mimi nakupa lawama wewe moja kwa moja!
Umekuwa na uhusiano na mwanaume kwa miezi mitano;
...Huwajui watoto wake?
...Hujui hata anapokaa?
Mko katika uhusiano wa aina gani;
...Anakuja kwako tu siku zote na wewe huulizi wapi anaishi, ama anaishi na nani?
...Kwa nini asikutambulishe angalau kwa ndugu yake mmoja?
Je, akifia kwako usiku(siombi/sisemi hivo) utampeleka kwa nani?
Au jamaa Yahaya?