Da Asia
JF-Expert Member
- Sep 25, 2011
- 731
- 819
- Thread starter
- #101
life is short, "right selection" huwa hawaandikwi usoni. na mimi sio wa kwanza kupata wrong selection. hata wewe unaweza kujiona you are right but wrong selection kwa mtu mwingine. mimi sio wa kwanza kukutana na wrong selection. wako waliokutana na wrong wa ma wrong mpaka watolewa uhai sababu hiyo, laiti mtu ungeweza kumsoma mwenzie anawaza nini kichwani basi kila mtu angekwenda kwa right selection.
hata wewe kama mwanaume pia nina amini ushakutana na ma fox wakike. vile wengine hapa mnajivika ngozi ya kua watakatifu wakati hamko hivyo. wako wanaume wangapi wanatendwa na wanawake wanalia kutwa kucha na bado wanang'ang'ania. Life is never perfect under the sun.... leo ni mimi kesho utakua wewe and we learn through mistakes. Weakness kubwa niliyonayo ni kusimamia watoto wangu wakasoma vizuri kukuzidi hata wewe unayebwabwaja hapa. Umefanya nini hapa duniani kama kweli wewe mwananume. Utumbo wako huu peleka FB kama hukua na kuniambia.
hata wewe kama mwanaume pia nina amini ushakutana na ma fox wakike. vile wengine hapa mnajivika ngozi ya kua watakatifu wakati hamko hivyo. wako wanaume wangapi wanatendwa na wanawake wanalia kutwa kucha na bado wanang'ang'ania. Life is never perfect under the sun.... leo ni mimi kesho utakua wewe and we learn through mistakes. Weakness kubwa niliyonayo ni kusimamia watoto wangu wakasoma vizuri kukuzidi hata wewe unayebwabwaja hapa. Umefanya nini hapa duniani kama kweli wewe mwananume. Utumbo wako huu peleka FB kama hukua na kuniambia.
Mpendwa..Sorry kukuambia ulidandia dala dala kwa mbele "wrong selection" with respect kazi utakayoifanya sasa ni kubreak the relation...(all the means) hata kama ana familiya tumia tishio hilo kwake !!Halafu usiwe na haraka au kiherehere kwa Wanaume sisi ni maFox!! hilo liwe somo kwako... Ushajijua na utibu weakness zako, Good luck na makazi mema.