cabo
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 4,669
- 5,034
Hahah sasa TURDACO kuna engeneering mbna unaushaur wakiboya wwChuo cha kifala sana, kama vile upo secondary. Nyeto sana vijana wa pale.
Nenda Tumaini university
Hahah sasa TURDACO kuna engeneering mbna unaushaur wakiboya wwChuo cha kifala sana, kama vile upo secondary. Nyeto sana vijana wa pale.
Nenda Tumaini university
Kama ni ubungo bas UDSM ni karibu kuliko DIT lkn kma n practically[elim] DIT n karibu kuliko UDSMYupo ubungo mataa.. hajui aende UDSM au DIT. Muelekeze mkuu
Kuna practical gani ambayo mwanafunzi wa UDSM hafanyi na DIT anafanya.?Kama ni ubungo bas UDSM ni karibu kuliko DIT lkn kma n practically[elim] DIT n karibu kuliko UDSM
Good question na mi nasubiri jibu hapo ukute kanasoma PSPA ila kanajua engineeringKuna practical gani ambayo mwanafunzi wa UDSM hafanyi na DIT anafanya.?
Nenda Nursing tu kakaHabarini wanajamiiforum,
Mimi ni mwanafunzi niliyemaliza kidato cha sita mchepuo wa PCM 2016,nimebahatika kuupata div 2 ya point kumi,sasa katika kuchagua vyuo mimi napenda kusoma engineering UDSM ila watu wananishauri kama unataka kuwa engineer mzuri niende DIT.
Sasa wadau nisaidieni kunipanua mawazo malengo yangu ni kuja kujiajiri so nataka chuo ambacho ninaweza kupata ujuzi wa kutosha katika kozi zifuatazo electrical,computer engineering au mechanical engineering.
Hiv naweza kusoma diploma ya Accounting hata kama nilisoma HKLDit ni bora
Nenda ifm au TIA na cbe mwanzaHiv naweza kusoma diploma ya Accounting hata kama nilisoma HKL
naweza kusoma diploma ya banking and finance kwa marks za CCCDDDDEE form four? ...D za math & book keepingNenda ifm au TIA na cbe mwanza
Utahangaika tafuta course nyingine sio lazima wote msome Accounting usiige utaumiaHiv naweza kusoma diploma ya Accounting hata kama nilisoma HKL
Lakin naweza kuisoma?Utahangaika tafuta course nyingine sio lazima wote msome Accounting usiige utaumia
Hata Udaktar unaweza ila utaumia acaha nazo izo mambo nenda Chuo cha uongozi wa mahakama IJA au Mzumbe kasome diploma ya Sheria usifate mkumbo kwa kuwa baba/kaka/dada ako kasoma AccountLakin naweza kuisoma?
mzumbe kwan kuna diploma?Hata Udaktar unaweza ila utaumia acaha nazo izo mambo nenda Chuo cha uongozi wa mahakama IJA au Mzumbe kasome diploma ya Sheria usifate mkumbo kwa kuwa baba/kaka/dada ako kasoma Account
UDSM wana BSc engineering na DIT wana B.Eng!! inategemea unataka nini, ila mwisho wa siku wote ni mainjinia. Kwa ushauri tu anza na UDSMHabarini wanajamiiforum,
Mimi ni mwanafunzi niliyemaliza kidato cha sita mchepuo wa PCM 2016,nimebahatika kuupata div 2 ya point kumi,sasa katika kuchagua vyuo mimi napenda kusoma engineering UDSM ila watu wananishauri kama unataka kuwa engineer mzuri niende DIT.
Sasa wadau nisaidieni kunipanua mawazo malengo yangu ni kuja kujiajiri so nataka chuo ambacho ninaweza kupata ujuzi wa kutosha katika kozi zifuatazo electrical,computer engineering au mechanical engineering.
Kuna certificate had PHDmzumbe kwan kuna diploma?
alafu ningependa unipe details vizur kuhusu icho cha IJA
Sio kila hkl bc aende lawHata Udaktar unaweza ila utaumia acaha nazo izo mambo nenda Chuo cha uongozi wa mahakama IJA au Mzumbe kasome diploma ya Sheria usifate mkumbo kwa kuwa baba/kaka/dada ako kasoma Account