acha kutuhalilisha kakaaaUDSM chenga tu... nishawahi fanya Field na wanafunzi wa UD (Civil) kila kitu wao hawajui halafu walikuwa wa 3rd year nikawa najiuliza hawa huko chuoni huwa wanafanya nini.....
privacy za watu hizo kakaa uliza suala ambalo sio privacy ya mtunitajie mtu hata mmoja wa mwaka wa tatu unayemjua
Huo ndio ukweli mkuu... jitu halijui hata Formwork halafi ni 3rd yearacha kutuhalilisha kakaaa
hakuna kama udsm waliopo vyuo vingine walitamani kuja hapaa mkaliHuo ndio ukweli mkuu... jitu halijui hata Formwork halafi ni 3rd year
hahahaaaa mbona hata mimii sijui kwahiyo mimi jituHuo ndio ukweli mkuu... jitu halijui hata Formwork halafi ni 3rd year
Haaaa inawezekanahahahaaaa mbona hata mimii sijui kwahiyo mimi jitu
Ni ukweli kabisa...watoto wa UDSM sikuhizi wanakariri sana kuliko kujua.UDSM chenga tu... nishawahi fanya Field na wanafunzi wa UD (Civil) kila kitu wao hawajui halafu walikuwa wa 3rd year nikawa najiuliza hawa huko chuoni huwa wanafanya nini.....
Ona majanga haya 3rd year Civil hujui Formwork???? are you serious????hahahaaaa mbona hata mimii sijui kwahiyo mimi jitu
am seriuos sijui hahaaaaa nambiee kipanga wanguuOna majanga haya 3rd year Civil hujui Formwork???? are you serious????
wanaotamani wanafuata mkumbo... ukiwauliza kwann wanataka kwenda UDSM am sure wengi wao hawatakuwa na strong reasons.... kwa kifupi mm binafsi sijawahi tamani soma UD hata siku moja na wala sijutii kutosoma UDhakuna kama udsm waliopo vyuo vingine walitamani kuja hapaa mkali
mimi kusoma udsm ilikua ndoto yangu afu vipi uko mwaka wa ngapi na kozi gani na chuo ganiwanaotamani wanafuata mkumbo... ukiwauliza kwann wanataka kwenda UDSM am sure wengi wao hawatakuwa na strong reasons.... kwa kifupi mm binafsi sijawahi tamani soma UD hata siku moja na wala sijutii kutosoma UD
Hahaha we jamaa una hatariam seriuos sijui hahaaaaa nambiee kipanga wanguu
Ebu acha kupotosha watu...technician ni yule mwenye diploma... mwenye bachelor huwez kumuita technician hayo ni matusi mazito... wewe kijana unayejifanya umesoma civil hapo coet na kujifanya unaajuuuuua wakat vijana wenu tunakutana nao kazin had unajiuliza, hiv kijana huyu miaka hyo 4 alikuwa anasoma nin? Had unajiuliza kama hiki na kile hajui... sasa atakuwa anajua nin mbali na jina lake??Tatizo kubwa humu ni kwamba watu wanakushauri bila sababu halafu pia kuna watu hawajui fani ya uhandisi ikoje wao wanabaki kushauri tu halafu kingine wengine hapa wana chuki binafsi na udsm labda huenda walikosaga nafasi za kusoma hapa.
Sasa kijana wangu nakushauri mimi kama mwanafunzi wa CoET udsm Civil Eng. Basically Engineering starts from Theory...yaani ukiwa na Theory nzuri ukazihamisha kwenye kufanya Practical unakuwa vizuri sana....kwa hilo udsm wapo poaa sanaa....Kingine DIT wale tunawaterm kama ma Technicians so kama unataka kuwa Engineer anayetambulika na mwenye soko njoo udsm ila kama unataka kuwa technician nenda huko DIT then mark my words.. Never compare udsm coet with DIt.....udsm coet is the best!
Mkuu... umeongea ukweli husiopingika... mi mwenyewe nshakutana nao... wanajua majina yao tuu... hamna kingineUDSM chenga tu... nishawahi fanya Field na wanafunzi wa UD (Civil) kila kitu wao hawajui halafu walikuwa wa 3rd year nikawa najiuliza hawa huko chuoni huwa wanafanya nini.....