cabo
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 4,774
- 5,312
Usitake kucomplicate mambo iv anaesoma FEZA na anaesoma KANTARAMBA n saw????Kuna practical gani ambayo mwanafunzi wa UDSM hafanyi na DIT anafanya.?
Usitake kucomplicate mambo iv anaesoma FEZA na anaesoma KANTARAMBA n saw????Kuna practical gani ambayo mwanafunzi wa UDSM hafanyi na DIT anafanya.?
Sijaelewa mfano wako.. Kati ya hvyo vyuo nani feza na nani kantaramba??Usitake kucomplicate mambo iv anaesoma FEZA na anaesoma KANTARAMBA n saw????
Hahhahahaahha iyo kawaida tu tunalima kote kote ucshangae mwalimu wa phy akafundisha histGood question na mi nasubiri jibu hapo ukute kanasoma PSPA ila kanajua engineering😀😀😀😀😀
Jiongeze hakuna mwanafunz anaemaliza 6 alaf hawaz kwnda UDSM hata mmoja hakunaSijaelewa mfano wako.. Kati ya hvyo vyuo nani feza na nani kantaramba??
Owky hapo tuko pamojaJiongeze hakuna mwanafunz anaemaliza 6 alaf hawaz kwnda UDSM hata mmoja hakuna
Nashukuru kwa kuelewaOwky hapo tuko pamoja
Hahaa "Juche" umenikumbusha mbali sana mzee wa vijuche!Nenda UDSM. Siku hizi DIT hakuna practical yoyote zaidi ya "kumeza" na kuingia na "juche" kwenye mtihani.
Haaaaaaa coet hakuna kitu , DIt ndo kibokoTatizo kubwa humu ni kwamba watu wanakushauri bila sababu halafu pia kuna watu hawajui fani ya uhandisi ikoje wao wanabaki kushauri tu halafu kingine wengine hapa wana chuki binafsi na udsm labda huenda walikosaga nafasi za kusoma hapa.
Sasa kijana wangu nakushauri mimi kama mwanafunzi wa CoET udsm Civil Eng. Basically Engineering starts from Theory...yaani ukiwa na Theory nzuri ukazihamisha kwenye kufanya Practical unakuwa vizuri sana....kwa hilo udsm wapo poaa sanaa....Kingine DIT wale tunawaterm kama ma Technicians so kama unataka kuwa Engineer anayetambulika na mwenye soko njoo udsm ila kama unataka kuwa technician nenda huko DIT then mark my words.. Never compare udsm coet with DIt.....udsm coet is the best!
hahahaa this is civil Engineer from Coet shule ya pale ni hatareee msimdanganye dogooHaaaaaaa coet hakuna kitu , DIt ndo kiboko
Upo mwaka wa ngapi?hahahaa this is civil Engineer from Coet shule ya pale ni hatareee msimdanganye dogoo
third year kijanaUpo mwaka wa ngapi?
nitajie mtu hata mmoja wa mwaka wa tatu unayemjuathird year kijana