Naweza kubadili course kutoka telecom engineering kwenda electrical engineering?

AMAN32

Senior Member
Feb 6, 2013
110
55
Habarini wanajamiiforums,Mimi ni kijana ninayesoma kozi ya bachelor ya engineering in telecommunications engineering katika chuo cha DIT

Nilimaliza kidato cha sita 2015, nikapata nafasi ya kusoma telecommunications engineering japo Mimi kozi ambayo nilikuwa naipenda na ambayo ninaona ina future nzuri ni Electrical engineering.

Sasa naombeni ushauri je inawezekana kubadili kozi nikaingia electrical hata kama nikirudia mwaka mmoja nyuma?na je nikirudi mwaka mmoja nyuma athari ni ipi hasa katika mkopo, NAOMBENI MAWAZO YENU TAFADHALI
 
Bodi ya mkopo umelipa Mara mbili ada yako na hela ya malazi na books maana ake uebakisha mwaka mmoja tu mkataba wenu uishe so wao ukisoma ukaisha ndio basi tena, inabidi miaka inayobaki ujilipie mwenyewe.
maybe uache chuo then ulipe 25% ya pesa ya bodi, uombe tena mkopo na chuo.
 
Bodi ya mkopo umelipa Mara mbili ada yako na hela ya malazi na books maana ake uebakisha mwaka mmoja tu mkataba wenu uishe so wao ukisoma ukaisha ndio basi tena, inabidi miaka inayobaki ujilipie mwenyewe.
maybe uache chuo then ulipe 25% ya pesa ya bodi, uombe tena mkopo na chuo.
Okey so kwa mwaka wa mwisho ndo ntajilipia,vipi kuhuc uwezekano wa kuhama kweli upo?
 
Duh kuwa na msimamamo ndugu yangu
Also be care with your decision
Ushauri wangu nibora ungemaliza hiyoo mwaka mmoja afu then ukafanya kaz kama mwaka mmoja ama miwili then ukachukua bacherol hiyo ingne sabu hapo unaweza ukashangaaa ukakosa vyote namaaanisha kuwa unaweza ukabadiri mkopo ukiisha mkataba na heslb unaweza ukashindwa kujilipia labda ada pamoja na boom ukashindwa kuendelea na masomo lakn kama hali ya home iko poa badiri its up to u
Kwa mawazo yangu lakn ndugu zangu samahan kama ntakuwa nmeenda chaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom