matyhans
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 611
- 403
Sijajua chuoni huwa wanafanya nini aiseeMkuu... umeongea ukweli husiopingika... mi mwenyewe nshakutana nao... wanajua majina yao tuu... hamna kingine
Sijajua chuoni huwa wanafanya nini aiseeMkuu... umeongea ukweli husiopingika... mi mwenyewe nshakutana nao... wanajua majina yao tuu... hamna kingine
acha kuongea usichokijuaKama unahitaji kufaulu nenda DIT kama unataka kusoma na kuelewa nenda Udsm japo jasho litakutoka
Haaaa Mkuu , hiyo ni atterbrrg limits test, we unapga coz gan?? Naona swali liko limenifurahishahii ni lab?
mbona ndo unazidi kumfukuza zaidi?
Haaaa, dit the best at all,acha kuongea usichokijua
At least DIT lakini sio UDHaaaa, dit the best at all,
Kwa hiyo akawe engineer mchafu?Ukitaka kupata tu sifa ya cheti kuwa na Wewe umesoma UDSM nenda hapo ila ukitaka kupikwa na kupata elimu nzuri na itakayokufanya uwe marketable hasa katika engineering nakushauri nenda DIT na ukimaliza masomo yako hapo utakuja kutushukuru wote humu tuliokuambia uende DIT. Kila la kheri Mwana taaluma mtarajiwa na ukaze msuli kweli Kijana hapo DIT utafika muda hata muda wa kuoga na hata kupiga mswaki tu huna kwa msuli wake wa kutukuka.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] huyo jamaa anazingua tu eti hata kuoga unaweza usioge....hahaha hiyo ni tabia ya mtu sasaKwa hiyo akawe engineer mchafu?
Nimemaliza Irrigation engineering, SUAHaaaa Mkuu , hiyo ni atterbrrg limits test, we unapga coz gan?? Naona swali liko limenifurahisha