Nenda UDSM. Siku hizi DIT hakuna practical yoyote zaidi ya "kumeza" na kuingia na "juche" kwenye mtihani.
Cha Serikalikwani dit ni cha binafsi... pia ni cha serikali mkuu
Acha porojo wewe, vifaa vipo vya kutosha na kubakiKwa mtazamo hasi na kma unapoint nzuri chagua udsm mana pale kunaushindani mkubwa hivyo itakujenga kuwa bora. Usidanganywe na dit ukazani kuna elimu kwa vitendo hilo sikuhizi halipo kutokana na kuwa na idadi kubwa ya watu. Hivyo nenda udsm ili utanue wigo wako
Hizo maksi, huwezi chaguliwa UDsm, labda uende saut mwanza ukasome BBA big brother Albert mangwea, au DIT fundi mchundo.Mkuu vipiii na mwenye division one ya 9yanii Math..C physic.C na chemistry C..na o lvl alkwa na one ya kumi na NNE anawza chagulwa udsm kusoma electrical
Chuo cha kifala sana, kama vile upo secondary. Nyeto sana vijana wa pale.NENDA DIT, LAKINI JIANDAE KWA MSULI, MAANA PALE MWENDO MCHAKAMCHAKA.
Sawaaa nasbliiiaaa nionee.. Nitardii kukpaa marejeshoooHizo maksi, huwezi chaguliwa UDsm, labda uende saut mwanza ukasome BBA big brother Albert mangwea, au DIT fundi mchundo.
Nenda hombolo dodoma, utaiva kiutendajiKama unataka kuiva vizuri kiutendaji nenda dit
Acha kupotosha mwenzio ni chuo kipi kinachomruhusu mwanafunzi kuingia na Juche?Nenda UDSM. Siku hizi DIT hakuna practical yoyote zaidi ya "kumeza" na kuingia na "juche" kwenye mtihani.
Acha kupotosha uma, DIT wanatoa mafunzo kwa vitendo hadi kunamitihani mingine ni full practical, kama unabisha nenda ukaulizeKwa mtazamo hasi na kma unapoint nzuri chagua udsm mana pale kunaushindani mkubwa hivyo itakujenga kuwa bora. Usidanganywe na dit ukazani kuna elimu kwa vitendo hilo sikuhizi halipo kutokana na kuwa na idadi kubwa ya watu. Hivyo nenda udsm ili utanue wigo wako
Yupo ubungo mataa.. hajui aende UDSM au DIT. Muelekeze mkuuDar kuna njia panda nyingi, upo njia panda ipi ili nikuelekeze vizuri?
Dit ukiwa mzembe utaishia kukariri vitin na unatoka emptyNenda UDSM. Siku hizi DIT hakuna practical yoyote zaidi ya "kumeza" na kuingia na "juche" kwenye mtihani.
Wew ni graduate wa chuo gani?Nimekutana na graduates zaidi ya 10 wa UDSM na DIT, wote ni wabovu tu, ila angalau UDSM wana uafadhali.
Nenda tu chuo kikuu cha taifa kitakufungulia opportunities nyingi hapo mbeleni, unaweza kuja kuhitaji kupiga Masters au PhD uko baadaye nchi hata za nje, tokea UDSM itakurahisishia mchomoko, kuangalia unachogain kutoka sehemu hizi mbili wote wako more or less the same. Hii choice ni no brainer kabisa, sioni hata kwa nini unachukua muda kufikiria twice.
Inategemea na MTU, kama in mzembe utafanya hivyo, lakini kama unajielewa utatoka DIT vzuri.Nenda UDSM. Siku hizi DIT hakuna practical yoyote zaidi ya "kumeza" na kuingia na "juche" kwenye mtihani.
Amekuwa msosiNenda DIT ukaive