Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Wakuu
Sijaonekana jf kwa siku kama 7 hivi.
Niko Kigoma.
Shida hapa ni umeme na cafe inanilazimu nilipe bei tofauti tofauti.
Kama kuna umeme wa Tanesco 1,500/= kama ni Generator 2,000/=.
Umeme ni mgao wakuu.
Zaidi baadaye.
Sijaonekana jf kwa siku kama 7 hivi.
Niko Kigoma.
Shida hapa ni umeme na cafe inanilazimu nilipe bei tofauti tofauti.
Kama kuna umeme wa Tanesco 1,500/= kama ni Generator 2,000/=.
Umeme ni mgao wakuu.
Zaidi baadaye.