OVYO!You are right my friend rubii hata katika Biblia yenu imeandikwa kuwa mwanamke hupendwa na mwanaume hupenda. Ni hatari mwanamke kupenda. Katika maisha hasa ya ndoa lazima mwanamme apende na mwanamke apendwe. Ukiona mwanamke anapenda jua hiyo ndoa ipo mashakani. Mwenye masikio na asikie
asavali yako wewe rubii u dont careRusha roho taratibu hiyo shoga
Angalia usijekuwa story
Usijekuwa mfano
Usijekuwa tukio bidada
Penda unapopendwa utulizane....
..mpendane.. sio iwe upande mmoja haitachukua round ''PWAAAAAAA''mi huwa naona ni bora mwanaume akupende kuliko we kudondokea
Mpende akupendae ila kwa nyie wadada mnapenda anaewataka hapo sasa ndio kazi.Wapendwa
Sio mara nyingi nimekuwa nikipost hapa...nimekuwa msomaji mzuri tu wa mabandiko mbalimbali na nimejifunza mengi kupitia post na michango yenu.
Kiukweli niko njia panda ndugu zangu,Niko na historia ya kuumizwa na mzazi mwenzangu mpk ilifika mahala nikamuacha na kuendelea na maisha yangu..
Nilitamani sana kama ningelikuwa na uwezo nibaki single siku zote nisiwe na mahusiano but kama unavyojua tena ujana maji ya moto..Of coz nikisema nitaishi bila dyudyu milele najidanganya...
Niliona kuliko kuangaika ni heri kuwa na mtu mmoja ninayemuamini na kupima ambaye ataendelea kunipoza mpk pale nitakapo amua kuingia katika serious relationship...
Mwanzoni kabisa wakati tunaanza mahusiano nilimwambia msimamo wangu akaniambia ...Mungu ndie mpangaji tuendelee tu nitakufundisha kunipenda..nikaona isiwe tabu tukaendelea na mahusiano yetu ni mwaka sasa.
Kiukweli mwaka umepita...mwanaume ananipenda na kunijali japo hayuko kamili..but sio shida sababu hakuna aliyemkamilifu...shida ni kwamba bado hajaujaza moyo wangu...najitahidi sana kujifunza kumpenda lkn nahisi kuwa naidanganya nafsi yangu ili hali yeye kila siku anazidi kudata na penzi langu na anazidi kunipenda.Imefika mahala mpk na mimi nimeamua kupretend kuwa nampenda ili asiumie.
Mwishoni mwa mwaka jana aliniomba nimpeleke kwa wazazi wangu na kwamba ananipenda sana so anataka kila kitu kiwe formal...nikamjibu kuwa nahitaji muda zaidi kujiridhisha na hayo maamuzi lakini niliona ni mapema sana coz nilishaumizwa na sikutaka kukurupuka tena katika maamuzi
Kiukweli sitoficha sijui ni bahati nzuri au mbaya ila nimekuwa nikitongozwa sana na wanaume katika kipindi hicho kigumu na najua wengi walitaka kutake advantage na situation niliyokuwa nayo but maamuzi ya kuwa kwenye mahusiano yanilisaidia kuendelea kuwa na misimamo yangu....
Lakn kama mnavyojua mapenzi wakati mwingine ni upofu...nimetokea kumpenda mkaka mmoja ambaye ni rafiki yangu tu wa kawaida...na kiukweli alishanitongozaga nikwambia nina mahusiano na kwa vile ni mtu mwenye kuheshimu hisia zangu aliomba tuendelee kuwa marafiki tu kama ilivyozamani..But kila kukicha naona moyo wangu unamwelekea na and I never felt like this before....Kiukweli nimejikuta nashindwa kucontrol hisia zangu kwa huyo mkaka.
Sasa nikija katika vigezo vya husband material kiukweli da first guy anavyo sababu ana Hofu ya Mungu.. ni matured...kashafanya starehe mpk kaamua kuacha...Sio mlevi..Anajali....sio tajiri ila anapambana na maisha kufikia ndoto na malengo yake na amekuwa akinishirikisha kila jambo na pia ameonesha nia dhahiri na kutaka kufunga ndoa na mimi.
About second Guy kiukweli bado anaujana,anakunywa pombe kiasi,kwa tabia siwezi comment sana sababu bado sikumpa nafasi kama mpz ni rafiki yangu tu...so sijapata nafasi kumsoma kiundani zaidi.
Sasa Dilemma inayokuja ni kuwa niolewe na anayenipenda na kunifeel sana nikajifunze kumpenda nikiwa kwenye ndoa au au nisubiri kwanza mpk nijiridhishe na maamuzi yangu coz sitaki kamwe kuchepuka...na me sina haraka sana kusubiri wakati utakaompendeza Mungu but mwenzangu kwa kweli kwa age yake na malengo yake amekuwa akitamani sana tufunge ndoa mwaka huu
Sasa wandugu pamoja ya kuwa niko kwenye maombi nikiendelea kumwomba Mungu anioneshe mwelekeo wa maisha yangu..Natamani mnishauri kama ni sahihi kuendelea mbele na maamuzi ya kuolewa na huyo mkaka au nisubiri..najua ndoa ni kitu chema lkn sitaki kuja kumuumiza mume wangu mtarajiwa kwa kuwa na mahusiano nje ya ndoa na kwa state niliyopo now mpk naanza kufall kwa mwingine inatosha kuonesha danger zone kuwa inawezekana ikatokea kama nikiwa kwenye ndoa
Naomba nieleweke wazi kuwa sina nia ya kuwa na huyo mkaka wa pili na msimamo wangu ni kwamba aendelee kuwa rafiki au ndugu kama walivyo wengine na ameaccept ila kupitia yeye nimeona bado kuna gap katika moyo wangu juu ya huyu niliyenae na hofu yangu ni kuwa sitotaka hilo lije kujirudia katika maisha yangu ya ndoa sababu sitopenda kuisaliti ndoa yangu huko mbele.
Naombeni mnishauri..
Mbarikiwe sana
haha yani kila ushauri umelenga kujihami. watu wanaumizwa sana sasa inaonekana mapenzi ni kujilinda na kuumizwa...mpendane.. sio iwe upande mmoja haitachukua round ''PWAAAAAAA''
Siamini katika kila jambo kukubaliwa na kila mmoja. Kwako mimi ni ovyo ila wenye uzoefu nadhani watajua kuwa siyo ovyo. Kwa faida yako, zamani ndiyo maana tulitafutiwa wachumba na mwanaume uliulizwa kama unampenda. Upendo kwa upande wa mwanamke huja baadaye. Vivyo hivyo hata doa za mkeka huwa ni hivyo hivyo. Usiku mwanana kwakoOVYO!
fata maandiko, ndo maana mahusiano mengi huwa hayachukui muda mshatengana inatakiwa mwanaume akupende mwanamke atii...moyo wa mwanamke kujifunza kupenda n rahisi km mwanaume kapenda kwa dhati na si the other way round...i hope u got my point kwa kifupi..mpendane.. sio iwe upande mmoja haitachukua round ''PWAAAAAAA''
Wapendwa
Sio mara nyingi nimekuwa nikipost hapa...nimekuwa msomaji mzuri tu wa mabandiko mbalimbali na nimejifunza mengi kupitia post na michango yenu.
Kiukweli niko njia panda ndugu zangu,Niko na historia ya kuumizwa na mzazi mwenzangu mpk ilifika mahala nikamuacha na kuendelea na maisha yangu..
Nilitamani sana kama ningelikuwa na uwezo nibaki single siku zote nisiwe na mahusiano but kama unavyojua tena ujana maji ya moto..Of coz nikisema nitaishi bila dyudyu milele najidanganya...
Niliona kuliko kuangaika ni heri kuwa na mtu mmoja ninayemuamini na kupima ambaye ataendelea kunipoza mpk pale nitakapo amua kuingia katika serious relationship...
Mwanzoni kabisa wakati tunaanza mahusiano nilimwambia msimamo wangu akaniambia ...Mungu ndie mpangaji tuendelee tu nitakufundisha kunipenda..nikaona isiwe tabu tukaendelea na mahusiano yetu ni mwaka sasa.
Kiukweli mwaka umepita...mwanaume ananipenda na kunijali japo hayuko kamili..but sio shida sababu hakuna aliyemkamilifu...shida ni kwamba bado hajaujaza moyo wangu...najitahidi sana kujifunza kumpenda lkn nahisi kuwa naidanganya nafsi yangu ili hali yeye kila siku anazidi kudata na penzi langu na anazidi kunipenda.Imefika mahala mpk na mimi nimeamua kupretend kuwa nampenda ili asiumie.
Mwishoni mwa mwaka jana aliniomba nimpeleke kwa wazazi wangu na kwamba ananipenda sana so anataka kila kitu kiwe formal...nikamjibu kuwa nahitaji muda zaidi kujiridhisha na hayo maamuzi lakini niliona ni mapema sana coz nilishaumizwa na sikutaka kukurupuka tena katika maamuzi
Kiukweli sitoficha sijui ni bahati nzuri au mbaya ila nimekuwa nikitongozwa sana na wanaume katika kipindi hicho kigumu na najua wengi walitaka kutake advantage na situation niliyokuwa nayo but maamuzi ya kuwa kwenye mahusiano yanilisaidia kuendelea kuwa na misimamo yangu....
Lakn kama mnavyojua mapenzi wakati mwingine ni upofu...nimetokea kumpenda mkaka mmoja ambaye ni rafiki yangu tu wa kawaida...na kiukweli alishanitongozaga nikwambia nina mahusiano na kwa vile ni mtu mwenye kuheshimu hisia zangu aliomba tuendelee kuwa marafiki tu kama ilivyozamani..But kila kukicha naona moyo wangu unamwelekea na and I never felt like this before....Kiukweli nimejikuta nashindwa kucontrol hisia zangu kwa huyo mkaka.
Sasa nikija katika vigezo vya husband material kiukweli da first guy anavyo sababu ana Hofu ya Mungu.. ni matured...kashafanya starehe mpk kaamua kuacha...Sio mlevi..Anajali....sio tajiri ila anapambana na maisha kufikia ndoto na malengo yake na amekuwa akinishirikisha kila jambo na pia ameonesha nia dhahiri na kutaka kufunga ndoa na mimi.
About second Guy kiukweli bado anaujana,anakunywa pombe kiasi,kwa tabia siwezi comment sana sababu bado sikumpa nafasi kama mpz ni rafiki yangu tu...so sijapata nafasi kumsoma kiundani zaidi.
Sasa Dilemma inayokuja ni kuwa niolewe na anayenipenda na kunifeel sana nikajifunze kumpenda nikiwa kwenye ndoa au au nisubiri kwanza mpk nijiridhishe na maamuzi yangu coz sitaki kamwe kuchepuka...na me sina haraka sana kusubiri wakati utakaompendeza Mungu but mwenzangu kwa kweli kwa age yake na malengo yake amekuwa akitamani sana tufunge ndoa mwaka huu
Sasa wandugu pamoja ya kuwa niko kwenye maombi nikiendelea kumwomba Mungu anioneshe mwelekeo wa maisha yangu..Natamani mnishauri kama ni sahihi kuendelea mbele na maamuzi ya kuolewa na huyo mkaka au nisubiri..najua ndoa ni kitu chema lkn sitaki kuja kumuumiza mume wangu mtarajiwa kwa kuwa na mahusiano nje ya ndoa na kwa state niliyopo now mpk naanza kufall kwa mwingine inatosha kuonesha danger zone kuwa inawezekana ikatokea kama nikiwa kwenye ndoa
Naomba nieleweke wazi kuwa sina nia ya kuwa na huyo mkaka wa pili na msimamo wangu ni kwamba aendelee kuwa rafiki au ndugu kama walivyo wengine na ameaccept ila kupitia yeye nimeona bado kuna gap katika moyo wangu juu ya huyu niliyenae na hofu yangu ni kuwa sitotaka hilo lije kujirudia katika maisha yangu ya ndoa sababu sitopenda kuisaliti ndoa yangu huko mbele.
Naombeni mnishauri..
Mbarikiwe sana
Maamuzi ya Wanawake huongozwa na hisia na sio uhalisiaRosita, kosa lako unaruhusu feelings zikuongoze badala ya wewe kuziongoza