Niko Dilemma

Niko Dilemma

Hii sera yako ya kupenda saaaaaaaaaaaaaaaaana kuolewa na mtu ambae 'unampenda perfectly' huenda ikakugarimu catastrophically!
lol I don't know what you're talking about.

vitu vingine vinaenda na personality, experiences za mtu, lifestyle unayoishi, watu waliokuzunguka, circumstances (eg you're a parent) etc.

kuna watu hawawezi kuwaza beyond ndoa. and some people have just been so unlucky with the love game. nawaelewa woote.

kwangu ni natural tu kuwa kama sikupendi hakuna uwezekano kuwa hata nitatoka na wewe.
 
Hebu utulie na huyo uliye nae, mmeshajuana vizuri na umesema anajitambua, sasa huyo kijana ulishamkataa leo unaenda kujitongozesha unafikiri atakupenda kama huyo uliye nae?? pengine ukute na yeye alikuwa mpitaji tu.
Ana mtu wake usidhani anakusubiri wewe my friend
 
lol I don't know what you're talking about.

vitu vingine vinaenda na personality, experiences za mtu, lifestyle unayoishi, watu waliokuzunguka, circumstances (eg you're a parent) etc.

kuna watu hawawezi kuwaza beyond ndoa. and some people have just been so unlucky with the love game. nawaelewa woote.

kwangu ni natural tu kuwa kama sikupendi hakuna uwezekano kuwa hata nitatoka na wewe.
Huwa wanasema kuwa mwanamke hata kama hajapenda anaweza kujifunza kupenda, but you are so unique in such a way that natamani saaaaaaaaaaaaaana kupata mirejesho kwenye love game zako ili angalao nijifunze and if possible niandike vitabu!
 
Wapendwa
Sio mara nyingi nimekuwa nikipost hapa...nimekuwa msomaji mzuri tu wa mabandiko mbalimbali na nimejifunza mengi kupitia post na michango yenu.

Kiukweli niko njia panda ndugu zangu,Niko na historia ya kuumizwa na mzazi mwenzangu mpk ilifika mahala nikamuacha na kuendelea na maisha yangu..

Nilitamani sana kama ningelikuwa na uwezo nibaki single siku zote nisiwe na mahusiano but kama unavyojua tena ujana maji ya moto..Of coz nikisema nitaishi bila dyudyu milele najidanganya...
Niliona kuliko kuangaika ni heri kuwa na mtu mmoja ninayemuamini na kupima ambaye ataendelea kunipoza mpk pale nitakapo amua kuingia katika serious relationship...

Mwanzoni kabisa wakati tunaanza mahusiano nilimwambia msimamo wangu akaniambia ...Mungu ndie mpangaji tuendelee tu nitakufundisha kunipenda..nikaona isiwe tabu tukaendelea na mahusiano yetu ni mwaka sasa.

Kiukweli mwaka umepita...mwanaume ananipenda na kunijali japo hayuko kamili..but sio shida sababu hakuna aliyemkamilifu...shida ni kwamba bado hajaujaza moyo wangu...najitahidi sana kujifunza kumpenda lkn nahisi kuwa naidanganya nafsi yangu ili hali yeye kila siku anazidi kudata na penzi langu na anazidi kunipenda.Imefika mahala mpk na mimi nimeamua kupretend kuwa nampenda ili asiumie.

Mwishoni mwa mwaka jana aliniomba nimpeleke kwa wazazi wangu na kwamba ananipenda sana so anataka kila kitu kiwe formal...nikamjibu kuwa nahitaji muda zaidi kujiridhisha na hayo maamuzi lakini niliona ni mapema sana coz nilishaumizwa na sikutaka kukurupuka tena katika maamuzi

Kiukweli sitoficha sijui ni bahati nzuri au mbaya ila nimekuwa nikitongozwa sana na wanaume katika kipindi hicho kigumu na najua wengi walitaka kutake advantage na situation niliyokuwa nayo but maamuzi ya kuwa kwenye mahusiano yanilisaidia kuendelea kuwa na misimamo yangu....

Lakn kama mnavyojua mapenzi wakati mwingine ni upofu...nimetokea kumpenda mkaka mmoja ambaye ni rafiki yangu tu wa kawaida...na kiukweli alishanitongozaga nikwambia nina mahusiano na kwa vile ni mtu mwenye kuheshimu hisia zangu aliomba tuendelee kuwa marafiki tu kama ilivyozamani..But kila kukicha naona moyo wangu unamwelekea na and I never felt like this before....Kiukweli nimejikuta nashindwa kucontrol hisia zangu kwa huyo mkaka.

Sasa nikija katika vigezo vya husband material kiukweli da first guy anavyo sababu ana Hofu ya Mungu.. ni matured...kashafanya starehe mpk kaamua kuacha...Sio mlevi..Anajali....sio tajiri ila anapambana na maisha kufikia ndoto na malengo yake na amekuwa akinishirikisha kila jambo na pia ameonesha nia dhahiri na kutaka kufunga ndoa na mimi.

About second Guy kiukweli bado anaujana,anakunywa pombe kiasi,kwa tabia siwezi comment sana sababu bado sikumpa nafasi kama mpz ni rafiki yangu tu...so sijapata nafasi kumsoma kiundani zaidi.
Sasa Dilemma inayokuja ni kuwa niolewe na anayenipenda na kunifeel sana nikajifunze kumpenda nikiwa kwenye ndoa au au nisubiri kwanza mpk nijiridhishe na maamuzi yangu coz sitaki kamwe kuchepuka...na me sina haraka sana kusubiri wakati utakaompendeza Mungu but mwenzangu kwa kweli kwa age yake na malengo yake amekuwa akitamani sana tufunge ndoa mwaka huu

Sasa wandugu pamoja ya kuwa niko kwenye maombi nikiendelea kumwomba Mungu anioneshe mwelekeo wa maisha yangu..Natamani mnishauri kama ni sahihi kuendelea mbele na maamuzi ya kuolewa na huyo mkaka au nisubiri..najua ndoa ni kitu chema lkn sitaki kuja kumuumiza mume wangu mtarajiwa kwa kuwa na mahusiano nje ya ndoa na kwa state niliyopo now mpk naanza kufall kwa mwingine inatosha kuonesha danger zone kuwa inawezekana ikatokea kama nikiwa kwenye ndoa

Naomba nieleweke wazi kuwa sina nia ya kuwa na huyo mkaka wa pili na msimamo wangu ni kwamba aendelee kuwa rafiki au ndugu kama walivyo wengine na ameaccept ila kupitia yeye nimeona bado kuna gap katika moyo wangu juu ya huyu niliyenae na hofu yangu ni kuwa sitotaka hilo lije kujirudia katika maisha yangu ya ndoa sababu sitopenda kuisaliti ndoa yangu huko mbele.

Naombeni mnishauri..
Mbarikiwe sana
Kuna theory moja ya kiroho, kuna uwezekano kuna wanaume aina fulani wanakuvutia lkn ni kwasababu ya mapepo au madhabahu wanazotumikia. Mapepo hasa waume wa kiroho huwa wanakuletea wanaume ambao wanaweza kuwa-oparate mfano wenye tamaa, walevi, wenye mapepo, au kutoka koo zenye madhabahu za miungu fulani n.k ili kukuweka katika mateso kama mwanzo au zaid. sasa huyo mcha Mungu wako mapepo hayawezi kumpenda, hivyo yanakupa mawazo ya kumuona hatoshei au hana hadhi na kuhisi huwezi kumpenda lkn uwezekano ni kwamba ndiyo Mume sahihi kwako.
Hata hivyo maandiko yanasema, "waume wapendeni wake zenu" na kwa "wake waheshimu waume zenu"... jaribu kupata deliverence kwanza, ingia katika toba kwa ajili ya mahusiano yaliyopita
 
Ningependa kumuona huyo anayekupenda na wewe unasema hajakuingia moyoni siku moja anapata demu halafu aanze kupunguza mapenzi kwako ndo utaona effect yake ,from 48 principles of power wanasema use your absence to increase respect and honour
Exactly kila siku lazma nisome 48 laws of power, ataja jutaa Huyo jamaa aki move on
 
Ila we Dada unajitafutia maswahibu ya maisha ,kaah we si ushaumizwa ww? Ss hv ndo muda wako wa kula bata kwa kupendwa sio kila Siku uhangaike ww tu na wanaume, trust me utakae mpenda hakupendi usie mpenda anakupenda hyo ndo principle ya maisha .ss ukifata hisia zko utaja lia hapaa
 
Ila we Dada unajitafutia maswahibu ya maisha ,kaah we si ushaumizwa ww? Ss hv ndo muda wako wa kula bata kwa kupendwa sio kila Siku uhangaike ww tu na wanaume, trust me utakae mpenda hakupendi usie mpenda anakupenda hyo ndo principle ya maisha .ss ukifata hisia zko utaja lia hapaa
Anahangaika kukimbiza deile utafikiri yeye ndo jogoo!!...... Acha jogoo akukimbize wewe buana!
 
dear sio rahic kuishi na mtu unayempenda. Nilipita katika wakati kama wako, lkn ckufanya kosa nilimchagua anayenipenda sasa ni mwaka wa 9 ndoa yangu inaamani na furaha, nimejifunza kumpenda mume wangu na sasa nampenda sana. life is not a rehearsal.
Asante,mwambie.
Pia tamthilia zinadanganya sana wanawake
 
mimi mwenyewe siwezi kuishi na mtu sijampenda. unless umeolewa naye hata hajawahi kukugusa manake ni Kero sana kushikwa na mtu humpendi. i hope sitofikia hiyo level of desperation ya kujitoa muhanga. hapo ni uoga tu kuwa hutopewa attention na mwingine.
Sijajua umri wako,na hujajua maisha ni nini.
 
lol I don't know what you're talking about.

vitu vingine vinaenda na personality, experiences za mtu, lifestyle unayoishi, watu waliokuzunguka, circumstances (eg you're a parent) etc.

kuna watu hawawezi kuwaza beyond ndoa. and some people have just been so unlucky with the love game. nawaelewa woote.

kwangu ni natural tu kuwa kama sikupendi hakuna uwezekano kuwa hata nitatoka na wewe.
Basi umba Wa kwako mama,then muoane
 
Sijajua umri wako,na hujajua maisha ni nini.
na huo uzee wako hujajua tu kuwa maisha sio black and white? ?

ushwahi kutembelea vijiji vingine zaidi ya hicho unachoishi?

sasa ona mwanaume mwenye akili kama zako naanzaje tu kutoka naye!!!
 
Unawezaje kuolewa na mtu usiyempenda?Huoni utamharibia maisha na kumfanya akuchukie.Achana naye mapema.Ataumia lakini baadae ataelewa.

Tafuta unayempenda maana hata akikuudhi utavumilia kwa kuwa unampenda.
Maisha mafupi haya furahi na uwapendao.
 
Back
Top Bottom