Ndom ya nini? Tumekuja kulinda dunia? Kifo kipo tu! Ni kumshukuru Mungu kwa jila jambo!pole sana!!
Ila wakaka mjifunze hit an run halafu hautumii condom....?!!
ngoja akue uchukue mwanao ulee
Mkuu vitu vingine ni kama pilipili kichaa,...vina shape na rangi nzuri lakini ndani ni balaa tupu....Kama huyo KE angekuwa vizuri, jamaa asingebanduka hapo.....Na ndio faida za ''shake well before use''.we oa tu mbona kitanda uliinjoi nae. na matatizo hayo muyainjoi tu yana mwisho wake.
Mkuu vitu vingine ni kama pilipili kichaa,...vina shape na rangi nzuri lakini ndani ni balaa tupu....Kama huyo KE angekuwa vizuri,
shake well b 4 use nje si unakuta chupa hiyo ina maamdishi mbalimbali na na matumizi yake? we utachukuaje hydrochrolic per oxide ya vidonda usukutulie mdomoni na wakati ipo ya mouth wash? hilo ni funzo mambo ya hit - run AOE TU KWAKWELI mambo ya kuongeza masingo maza c poa.Mkuu vitu vingine ni kama pilipili kichaa,...vina shape na rangi nzuri lakini ndani ni balaa tupu....Kama huyo KE angekuwa vizuri, jamaa asingebanduka hapo.....Na ndio faida za ''shake well before use''.
jamaa asingebanduka hapo.....Na ndio faida za ''shake well before use''.
Anaendeshwa na dada yake na hii ni kutokana na kwamba hawamtambui jamaa. Lakini akishamuoa heshima inakuja na huyo mwanamke hatayumbishwa tena na dada yake.Nahis umuoe, muishi pamoja, upendo utakuja tu mana inaonekana dada yake ndio wanaomdrive ila mkeo anakupenda hivyo mkiishi pamoja nahis upendo utakuja kupitia mwanao
Nitafanya nini sasa?,maana nikichangamka natukanwa,nikijipendekeza naonekana sio mzima,nikichangia naambiwa saa ingine sina akili,basi namuachia Mungu atanilipia,hewala sio utumwa.Hahahhhh si kwa upole huo
Mmh KARANJA jamaani ile siku nilikua na chat na yule kumbe kakublock aisee nisamehe usifike ukoNitafanya nini sasa?,maana nikichangamka natukanwa,nikijipendekeza naonekana sio mzima,nikichangia naambiwa saa ingine sina akili,basi namuachia Mungu atanilipia,hewala sio utumwa.
Basi mrembo,sina kinyongo na wewe na Mungu akubariki,tusahau yaliopita mamii.Mmh KARANJA jamaani ile siku nilikua na chat na yule kumbe kakublock aisee nisamehe usifike uko