Niko dilema nishaurini

Niko dilema nishaurini

Unamshauri aibe mtoto? Si u dwanzi huu kushauri anyang'anye mtoto tena mtoto mwenyewe hata miaka mi 2 bado, tena familia yenyewe hiyo ya kivisasi visasi mwambie ajaribu aone kama hatoendelea kujutia badala ya kupata ahueni

hakuna mke hapo, mwanamke gani huyo..! siwezi kumshauri aingie matatizoni, kosea vyote ila sio kuoa.
ishu sio kuiba mtoto, atumie sheria kumpata mtoto, inawezekana maana mama yake kashindwa kumtunza afya yake inazidi kuwa mbaya.
 
hakuna mke hapo, mwanamke gani huyo..! siwezi kumshauri aingie matatizoni, kosea vyote ila sio kuoa.
ishu sio kuiba mtoto, atumie sheria kumpata mtoto, inawezekana maana mama yake kashindwa kumtunza afya yake inazidi kuwa mbaya.
Nani kamshauri amuoe sasa? Acha kukurupuka wapi nimemwambia mtoa post amuoe huyo mwanamke!? Hizi akili za ki frank frank za hovyo sana
 
Nani kamshauri amuoe sasa? Acha kukurupuka wapi nimemwambia mtoa post amuoe huyo mwanamke!? Hizi akili za ki frank frank za hovyo sana

kwani nani kasema umemwambia mtoa post aoe? au na wewe umekurupuka?
 
Wala usihofu nakupa ushauri kutoka moyoni, kama huyo ni mtoto wako na yote hayo yametokea na una uwezo wa kuwahudumia nakushauri umrudishe Dar.
Anza nae maisha na kuishi pamoja kwani anakupenda, (kwa maneno uliyoandika)
Maisha ni mafupi anza nae kama familia you will never regret
Ushauri wa giza huo mkuu. Huyo mwanamke ni mjinga na mkatili. Jamaa akiishi nae atajuta maisha yake yote. Kwanza jamaa ashasema hampendi huyo mwanamke kwa hivyo wakiishi pamoja itakuwa vurugu kiasi kwamba mtoto ataathiriwa kisaikolojia katika makuzi yake. Hapo apigane kisheria na atumie hizo sms za kumtakkia mabaya mtoto kama alivyoshauri mdau mmoja huko ktk post za mwanzo.
 
Mkuu ungemshauri tu hata kumchukua asimchukue angeenda tu kuzaa na uyo mama yake, unafanya kuzaa kitu mchezo eeh mimi nawaonaga wa ajabu sana mwanaume anayemnyang'anya mtoto mwanamke na kumkabidhi mama yake mzazi amlelee!
nimeuona uchungu mkubwa uliokujaa ndani ya moyo wako naamini kwa 97% kuwa moyo unakuuma sana ukitufiria sisi wavulana/wanaume pole kwa kilichowahi kukuta ila...kumbuka ili ukamilike lazima upate furaha na muda mwingine uhuzunike sana kisha maisha yaendelee na mbaya zaidi siku hizi vidonda vingi na maradhi mengi ya moyo chanzo ni mapenzi....kwakuwa tuliyakuta na tutayaacha hatuna budi kuyapa mgongo na kufanya kazi kwa juhudi.
 
nimeuona uchungu mkubwa uliokujaa ndani ya moyo wako naamini kwa 97% kuwa moyo unakuuma sana ukitufiria sisi wavulana/wanaume pole kwa kilichowahi kukuta ila...kumbuka ili ukamilike lazima upate furaha na muda mwingine uhuzunike sana kisha maisha yaendelee na mbaya zaidi siku hizi vidonda vingi na maradhi mengi ya moyo chanzo ni mapenzi....kwakuwa tuliyakuta na tutayaacha hatuna budi kuyapa mgongo na kufanya kazi kwa juhudi.
We ni mtabiri au shankupe? Maana kama unayashuhudia maisha yangu basi we m- mbea sana
 
Damu nzito kuliko maji. Wewe mchukue mtoto ako umlee kwan mtoto ni malaika hanahaja ya kusumbuka au kuteseka. Mlee mtoto na mama watoto kwan sio kila mapenz yanaanza mkiwa mnapenda sana bali mengine yanaanza hampo vizur lakin mkipeana mda mtajikuta mnapendana
 
1;USIKUBALI KUOA WALA KUMRUDISHA DAR,KWANZA OMBA CHETI CHA CLINIC UJUE JINA LA BABA NI KWELI LA KWAKO?

2;HAPO UNAUDUMIA FAMILIA 2 NA INAWEZEKANA WANA MIPANGO MINGINE JUU YA KUKUNYANYASA KWA KUKUCHUNA .
3;NENDA POLISI TAFUTA BENCHI LA JINSIA WAKUPE UTARATIBU WANAMNA YA KUMUHUDUMIA MTOTO.
4;USITUME PESA YOYOTE ACHA MTOTO AKUE AKIFIKIA KWENDA SHULE WEWE UTAKUWA UNAMLIPIA ADA DIRECT SHULENI NA KUPITIA KWA MTOTO MWENYEWE.KAMA WAKWAKO WAKWAKO TU KATA MAWASILIANO NAO MTOTO ATATUNZWA .
5;USIOE HAPO UTAKUJA KUJUTA HIYO NI DALILI MBAYA
Umeandika vzr sana hongera,
ila kasoro iyo namba 4, mtoto atakua na nini asipotunzwa vyema? Sote tunafahamu mtoto anahitaji matunzo mazuri ili aweze kukua kimwili na kiakili why umwambie asimtunze?
 
From a hit and run mission, to a heat and can't run, one.

Inaonyesha mzazi mwenzio ana akili za kushikiwa. Since umejaribu kuwatunza na imeshindikana, then anza utaratibu wa kumchukua mtoto kisheria. Hizo msgs za kusema mtoto bora afe sijui nini, plus kuacha kumnyonyesha ni vithibiti tosha huyo bibie hastahili kuwa mlezi.
Mkuu kindly I want to make a clarity on this 4 what I under stand the issue here is not about how & in which modality the litle one should be taken a good care but both parents have childish altitude in this what I think elders should make a arrangement on how this can be setled
 
Sasa tuangalie na upande wa pili wa shilingi, sasa nawewe ulijua mwanamke haumpendi na hautakuja kumuoa kwanini ulikuwa unakula tunda kavu kavu? Inajulikana ukipanda mbegu za chungwa utamea mti wa chungwa utazaa machungwa. Kwa vile ishatokea hakuna jinsi hatuwezi kubaki tunakulaumu kwa uzembe wako bali tukusaidie ushauri tu kama ulivyotoa rai yako. Huyo mwanamke anaonekana akili ndogo japo mwanzo alikupenda sana, tatizo lake kubwa anaishi kwa kuendeshwa na kitu kama remote control (ndugu zake) hivyo hafai kabisa kuwa mke tena usithubutu utaishi maisha ya shida sana, nyumbani kwako mweyewe utapachukia. Mtoto ni zawadi toka kwa muumba usimtelekeze bali fanya mchakato wa kisheria wa kudai uishi nae wewe. Mtoto hana hatia vyovyote itakavyokuwa jitahidi umhudumie kadiri ya uwezo wako.
 
Uliposema hakuna mke ulimaanisha nn

miongoni mwa majibu ambayo wengi wanatoa ni:
*kumchukua mtoto, *kumuoa huyo mwanamke, hayo ndio majibu makubwa, ndio maana nami niliposhauri akamchukue mtoto na wewe ukaonesha kutoafiki, moja kwamoja nikaitolea nje point ya kuoa na kusisitizia ya kumchukua point ili unapokuja na point nyingine iwe out of hizo nilizoziongelea
 
miongoni mwa majibu ambayo wengi wanatoa ni:
*kumchukua mtoto, *kumuoa huyo mwanamke, hayo ndio majibu makubwa, ndio maana nami niliposhauri akamchukue mtoto na wewe ukaonesha kutoafiki, moja kwamoja nikaitolea nje point ya kuoa na kusisitizia ya kumchukua point ili unapokuja na point nyingine iwe out of hizo nilizoziongelea
Usiangalie watu wanasema nn humu, toa ushauri wako personnaly usifate mikumbo
Unajua iyo kisheria mtoto anatakiwa kuchukuliwa na baba yake akiwa umri gani!! Hatuwez muhukumu uyo dada kwa kumnyang'anya mtoto kwa kosa La kusema mtoto afe,
 
Usiangalie watu wanasema nn humu, toa ushauri wako personnaly usifate mikumbo
Unajua iyo kisheria mtoto anatakiwa kuchukuliwa na baba yake akiwa umri gani!! Hatuwez muhukumu uyo dada kwa kumnyang'anya mtoto kwa kosa La kusema mtoto afe,
Mkuu huo umri unaotajwa kisheria ni kama itathibitika mama anaweza kumtunza mtoto (sio kifedha tu). Sheria inaweza kuruhusu au kulazimisha baba amchukue na kumlea mtoto hata wa chini ya miezi miwili ikiwa imethibitika mama atashindwa kumpatia mtoto malezi bora/salama mtoto husika. Mfano kama akili au tabia ya mama inaweza kumdhuru au kumuathiri mtoto au kuweka hatarini maisha ya mtoto.
 
Mkuu huo umri unaotajwa kisheria ni kama itathibitika mama anaweza kumtunza mtoto (sio kifedha tu). Sheria inaweza kuruhusu au kulazimisha baba amchukue na kumlea mtoto hata wa chini ya miezi miwili ikiwa imethibitika mama atashindwa kumpatia mtoto malezi bora/salama mtoto husika. Mfano kama akili au tabia ya mama inaweza kumdhuru au kumuathiri mtoto au kuweka hatarini maisha ya mtoto.
Kwaiyo mkuu uyo dada ahukumiwe kunyang'anywa mtoto kwa lipi sasa hapo?
Kwa kumuachisha ziwa (hii ni fashion Sikh hz,wanyonyeshaji twaogopa maziwa yasiwe Malapa)
Au kwa kusema mtoto hana Afya, hivi Huyo dada hana akili ya kumtunza mwanae lakini hata bibi wa mtoto nae? Hii si kawaida cha muhimu Huyu kaka afwate taratibu amuite mwenzie kama ni kukosoana wakosoane huko huko ustawi wa jamii au dawati la jinsia wawekeane maazimio ya kumtunza mtoto, malez ya mama ni muhimu pia
 
Kwaiyo mkuu uyo dada ahukumiwe kunyang'anywa mtoto kwa lipi sasa hapo?
Kwa kumuachisha ziwa (hii ni fashion Sikh hz,wanyonyeshaji twaogopa maziwa yasiwe Malapa)
Au kwa kusema mtoto hana Afya, hivi Huyo dada hana akili ya kumtunza mwanae lakini hata bibi wa mtoto nae? Hii si kawaida cha muhimu Huyu kaka afwate taratibu amuite mwenzie kama ni kukosoana wakosoane huko huko ustawi wa jamii au dawati la jinsia wawekeane maazimio ya kumtunza mtoto, malez ya mama ni muhimu pia
Ni kweli mnasema fashion lakini sheria mahakamani hazitafsiriwi kwa misingi ya fashion ambazo zinatishia maslahi na haki za msingi za watoto. Mambo ya malezi ya mama hayo ngoja nisijadili niwaachieni wadau mnaojua zaidi kuhusu haki hizo.
 
Women with higher IQ's have a harder time finding a mate. Intelligent women would rather remain single than be with the wrong person."
 
Back
Top Bottom