Niko dilema nishaurini

Niko dilema nishaurini

Du ndugu pole kaka, ila nakupongeza sana ndugu yangu una moyo wa utu, tena utu haswa na umejiyaida mno mpaka hapa ulipofikia na una moyo aisee,kama ingekuwa ni mimi kwanza kitendo cha kuondoka nilipompangia na kubeba kila kitu pasipo kuniambia,na ukawa na moyo wa kumtafuta mpaka kwao na ukafika na kupigwa juu aisee pole ila tunatofautiana sana wanaume,kwanza kitendo cha kupigwa ukweni pasipo na makosa hilo pekee ni kosa la jinai aisee,mimi nigeleta kirikuu napakia kila kitu nilichonunua na sitaangalia nyuma mpaka waje waombe radhi kwa wazazi wangu/wanaume wa siku izi sijui ni nini shida aisee,kama hapo ikishindikana waende kwenye vyombo vya sheria ukajieleze huko usitishike aisee eeebo
Mkuu nilikuwa na uwezo wa kwenda hata polisi maana vile vitu nilinunua nikaweka kila kitu yeye nimemwamishia tu na bag lake na la mtoto kila kitu alikuta kimepangwa kiko tayari mashahidi ni mwenye nyumba na majirani.
Lakini shida haikuwa hivyo vitu maana nilijua haviwezi msaidia kumlea mtoto hata akibaki navyo na yeye analijua hilo nilikuwa najitahidi kumlea mwanangu kwa kila kitu, kitu ambacho yeye mwenyewe anajua hawawezi.
Mtoto sasa hivi yani kabadilika anaumwa daily uzuri wote umepotea yani anatia huruma sana hata nikituma ela sina hakika kama zinatumika kwake.
 
Nimekupenda unavyomjali mtoto, ila wewe ulizembea kitu kidogo tu ulijua fika humpendi halafu ukaenda bila kinga, hicho ndo kitakachokutesa mpaka mwisho
 
From a hit and run mission, to a heat and can't run, one.

Inaonyesha mzazi mwenzio ana akili za kushikiwa. Since umejaribu kuwatunza na imeshindikana, then anza utaratibu wa kumchukua mtoto kisheria. Hizo msgs za kusema mtoto bora afe sijui nini, plus kuacha kumnyonyesha ni vithibiti tosha huyo bibie hastahili kuwa mlezi.
Here Is When You Know Some Shits Arw Serious Than We Think. Vituko Vingine Ukipishana Navyo Njiani Viache Vipite Tu Hata Kama Ni FUCKABLE. Angalia Izi Stress.
 
Isingekua vitabia vya usingiziaji usio na msingi, kuendekeza ligi za kujilizaliza, Kukugeuza ng'ombe wa maziwa bila huruma, kuwapo kwa bibi asie na huruma kwa mjukuu wake, na upuuzi mwingine uliokaa kijinga, ningekushauri umchukue huyo mwanamke umuoe. Ni vyema mtoto akilelewa na wazazi wote,lakini kwa mazingira hayo, beba mtoto wako umpeleke kwa mama yako akalelewe huko.
Wanawake wengi hawajui madhara ya kauli mbovu pamoja na vitabia vya bei rahisi katika uhusiano. Mimi nimewahi kufanya maamuzi tofauti na matarajio ya wengi kutokana na kushindwa kuvumilia hayo mawili.
 
Mi nilijua kaamishia vtu kwa mcheouko kumbe kwao.Mludishe bna,makosa madogo madogo km ayo husameheka mkuu.Tena hakikisha unamtafitia na kazi au hata kumfungulia kiofis kidogo ili ajitegemee kiuchumi.
Nani wa kuendesha biashara hapo? Akimfungulia ofisi atakuwa kaufungulia ukoo mzima. Kuna wanawake wana akili za kushikiwa. Wao kufurahisha wengine ni kama kilema na wakati mwingine sio kupenda kufurahisha wengine ila ni kutafuta kuheshimika au sijui ni kutaka kutambulika niseme? Kutokana na hilo, wanaweza kufanya upuuzi mwingi sana tena bila kujitambua wanafanya nini. Unaweza kukuta mwingine yuko tayari agawe hela kwa kila anaemwomba mradi wana undugu tu. Refer kwenye matumizi ya groceries, unadhani mtu mzima anamaliza kilo nane za sukari kwa muda mfupi hivyo? Leo apewe biashara? Huyo anajulikana hata kwao kuwa akili zake zikoje, ndio maana jamaa kawekewa condition ya kuoa maana wanajua she can not carry herself kwa hiyo wanaona wakimruhusu amchukue mtoto peke yake, watapoteza fursa ya kumuoza.
Ila si kitu cha ajabu, kuna wanaume wengi wako hivyo pia.
 
siki kama unataka mtoto wako akue kwa amani mchukue mke na mtoto warudishe dar mtoto akianza kutembea tu na akiwa yuko sawa tafuta mbinu rahisi ya kumuacha huyo mwanamke maana inaonyesha kipindi vitu vilikuwa vinaisha mapema itakuwa walikuwa wana gawana.
 
siki kama unataka mtoto wako akue kwa amani mchukue mke na mtoto warudishe dar mtoto akianza kutembea tu na akiwa yuko sawa tafuta mbinu rahisi ya kumuacha huyo mwanamke maana inaonyesha kipindi vitu vilikuwa vinaisha mapema itakuwa walikuwa wana gawana.
 
Wote mnaomshauri huyu jamaa amuoe huyo dada ni v.laza.....na ndio nyie mnaotumia 1% ya bongo zenu....kwa maelezo hayo unapaswa kujua kua huyo mwanamke ana akili za kushikiwa....angekua na msimamo na maisha yake angemuheshimu mwanaume anaye mhudumia bila kupelekeshwa na ndugu zake ambao hawajui hata hiyo nyumba inalipiwa kiasi gani.....jamaa ni gentleman haswa,ni wanaume wangapi wamewapa mimba wanawake na hawana mpango na mama wala mtoto??....Pia mkumbuke ndoa ya kweli haijengwi na huruma wala sijui upendo utaletwa na mtoto
 
Duuhhh eehhh bwana eehh
Sasa hyo ndo mitihan ya maisha kjana achilia mbali ile ya kwenye karatasi darasan

Cha msingi n kusubiri mtoto akue utamlea yeye km yeye na wala sio kulea team usiyoifaham ndgu yangu
 
hakuna haja ya kukupa pole mkuu na ndio uache masuala ya hit & run bila tahadhari.

Ninakushauri tumia hata nguvu kumchukua mtoto kama kisheria haiwezekani, huo umri mwaka na miezi 8 inamtosha kabisa kutoka mikononi mwa mama yake,,,, huyo mama mtelekeze tu kaka humpendi, na kama unamwonea huruma basi uwe unawasiliana naye tu sio ishu za kumtumia tena pesa.
Kaa na mtoto, upatie mahitaji yake, maisha yaendelee..... hakuna dilemma hapo, kitu kiko staight
 
Nani wa kuendesha biashara hapo? Akimfungulia ofisi atakuwa kaufungulia ukoo mzima. Kuna wanawake wana akili za kushikiwa. Wao kufurahisha wengine ni kama kilema na wakati mwingine sio kupenda kufurahisha wengine ila ni kutafuta kuheshimika au sijui ni kutaka kutambulika niseme? Kutokana na hilo, wanaweza kufanya upuuzi mwingi sana tena bila kujitambua wanafanya nini. Unaweza kukuta mwingine yuko tayari agawe hela kwa kila anaemwomba mradi wana undugu tu. Refer kwenye matumizi ya groceries, unadhani mtu mzima anamaliza kilo nane za sukari kwa muda mfupi hivyo? Leo apewe biashara? Huyo anajulikana hata kwao kuwa akili zake zikoje, ndio maana jamaa kawekewa condition ya kuoa maana wanajua she can not carry herself kwa hiyo wanaona wakimruhusu amchukue mtoto peke yake, watapoteza fursa ya kumuoza.
Ila si kitu cha ajabu, kuna wanaume wengi wako hivyo pia.
Lakini utambue pia kuwa watu hubadilika.Unaweza muona hafai kwa ivyo visome elelements ILA bdae ndio akawa the best wife.
Huenda alifanya ayo sababu ya umri kuwa chini,elimu ndogo,uelewa mdogo WA maisha yanavyoenda nk..
Kwangu bado ananafasi,zaid akae nae tu na kumfundsha baadhi ya mambo yanavyoenda ukizngatia kwa sasa yupo bush anavuna alichopanda.Naiman kajfunza
 
From a hit and run mission, to a heat and can't run, one.

Inaonyesha mzazi mwenzio ana akili za kushikiwa. Since umejaribu kuwatunza na imeshindikana, then anza utaratibu wa kumchukua mtoto kisheria. Hizo msgs za kusema mtoto bora afe sijui nini, plus kuacha kumnyonyesha ni vithibiti tosha huyo bibie hastahili kuwa mlezi.
Unajuaje kama mama ana maradhi? Kqa sheria zetu za Tanzania bado mama ana nafasi ya kukaa na mwanae kinachohitajika ni utulivu wa kisaikolojia tu, yaonyesha mama hajawa matured enough kulea mtoto
 
hakuna haja ya kukupa pole mkuu na ndio uache masuala ya hit & run bila tahadhari.

Ninakushauri tumia hata nguvu kumchukua mtoto kama kisheria haiwezekani, huo umri mwaka na miezi 8 inamtosha kabisa kutoka mikononi mwa mama yake,,,, huyo mama mtelekeze tu kaka humpendi, na kama unamwonea huruma basi uwe unawasiliana naye tu sio ishu za kumtumia tena pesa.
Kaa na mtoto, upatie mahitaji yake, maisha yaendelee..... hakuna dilemma hapo, kitu kiko staight
Unamshauri aibe mtoto? Si u dwanzi huu kushauri anyang'anye mtoto tena mtoto mwenyewe hata miaka mi 2 bado, tena familia yenyewe hiyo ya kivisasi visasi mwambie ajaribu aone kama hatoendelea kujutia badala ya kupata ahueni
 
Ninachoweza kusema mkuu ni kwamba uyo dada hajawa matured enough kulea mtoto na kuendesha maisha kwa akili zake, nenda nae taratibu tu Lea mwanao acha kabisa kususa ukiona wewe na yeye hamuelewani basi tumia njia mbadala ya kukabidhi matunzo kwa mama yake na umueleze waziwazi kuwa unatunza mtoto wako tu mengine yamekwishiria mbali
 
Aisee sema na moyo wako ukikuambia umuhitaji achana naye haraka...chukua mwanao mpe mama akuleleee...mimi nadhani huyo mwanamke hafai na ajui maisha.
Mkuu ungemshauri tu hata kumchukua asimchukue angeenda tu kuzaa na uyo mama yake, unafanya kuzaa kitu mchezo eeh mimi nawaonaga wa ajabu sana mwanaume anayemnyang'anya mtoto mwanamke na kumkabidhi mama yake mzazi amlelee!
 
Back
Top Bottom