Niko dilema nishaurini

Niko dilema nishaurini

Ni kweli mnasema fashion lakini sheria mahakamani hazitafsiriwi kwa misingi ya fashion ambazo zinatishia maslahi na haki za msingi za watoto. Mambo ya malezi ya mama hayo ngoja nisijadili niwaachieni wadau mnaojua zaidi kuhusu haki hizo.
Hakuna sheria inayomlazimisha mwanamke kunyonyesha mtoto miaka mi 2 or else, kwaiyo tusimuhukumu kwa kumuachisha mtoto wake ziwa mapema
 
Kwaiyo mkuu uyo dada ahukumiwe kunyang'anywa mtoto kwa lipi sasa hapo?
Kwa kumuachisha ziwa (hii ni fashion Sikh hz,wanyonyeshaji twaogopa maziwa yasiwe Malapa)
Au kwa kusema mtoto hana Afya, hivi Huyo dada hana akili ya kumtunza mwanae lakini hata bibi wa mtoto nae? Hii si kawaida cha muhimu Huyu kaka afwate taratibu amuite mwenzie kama ni kukosoana wakosoane huko huko ustawi wa jamii au dawati la jinsia wawekeane maazimio ya kumtunza mtoto, malez ya mama ni muhimu pia
Pia bibi wa mtoto wa upande wowote(kiume/kike) hana precedency au priority kubwa kuliko mzazi halisi
Hakuna sheria inayomlazimisha mwanamke kunyonyesha mtoto miaka mi 2 or else, kwaiyo tusimuhukumu kwa kumuachisha mtoto wake ziwa mapema
Defenitely hakuna hiyo sheria katika vitabu vya sheria zetu za TZ government lakini upo muongozo wa wizara ya afya na ustawi wa jamii kuhusu umri wa kunyonyesha mtoto, pia upo muongozo wa UNICEF. Nafikiri tunaongozwa na miongozo hiyo ndio maana katika sheria zetu hakuna sheria inayolazimisha mama mjazito akapime ukimwi na baba wa mtoto tarajiwa lakini sasa hivi ni lazima na juzi tu kijana mmoja mfanyakazi ktk shughuli zetu ameombwa aende kijijini kwao akapime afya na mkewe mjamzito ndipo mkewe afunguliwe huduma ya kliniki. NOTE: Huyo dada amenyimwa huduma hadi aende mume wake. Pia mfano mwingine chanjo fulani za wamama wajawazito ni lazima hata kama haupendi lakini hii haija andikwa ktk sheria za nchi yetu. Zingatia kwamba kuna Sheria na kanuni mbalimbali za lazima (Rules and Regulations).
 
Pia bibi wa mtoto wa upande wowote(kiume/kike) hana precedency au priority kubwa kuliko mzazi halisi

Defenitely hakuna hiyo sheria katika vitabu vya sheria zetu za TZ government lakini upo muongozo wa wizara ya afya na ustawi wa jamii kuhusu umri wa kunyonyesha mtoto, pia upo muongozo wa UNICEF. Nafikiri tunaongozwa na miongozo hiyo ndio maana katika sheria zetu hakuna sheria inayolazimisha mama mjazito akapime ukimwi na baba wa mtoto tarajiwa lakini sasa hivi ni lazima na juzi tu kijana mmoja mfanyakazi ktk shughuli zetu ameombwa aende kijijini kwao akapime afya na mkewe mjamzito ndipo mkewe afunguliwe huduma ya kliniki. NOTE: Huyo dada amenyimwa huduma hadi aende mume wake. Pia mfano mwingine chanjo fulani za wamama wajawazito ni lazima hata kama haupendi lakini hii haija andikwa ktk sheria za nchi yetu. Zingatia kwamba kuna Sheria na kanuni mbalimbali za lazima (Rules and Regulations).
Bibi wa mtoto sikumtaja achukue jukumu la mzazi Bali nimemtaja kama mtu anayeweza kumkemea na kumsimamia mwanae wa kike katika malez ya mtoto, binafsi nilipojifungua mtoto wa kwanza sikuwa na hili wala lile juu ya suala La malez hivyo mama yangu alinisaidia sana kusimamia makuz ya mwanangu angali kuchanga
Mimi na wewe hatujui sababu ya uyo dada kumuachisha ziwa mtoto wake, yaweza kuwa ni mgonjwa au hawez kuvumilia kuto jihusisha na ngono (may be na watu tofauti tofauti) kitu ambayo ni hatari kwa Afya ya mtoto hence aliamua uachishe amkinge mwanae, hivyo hii sioni kama ni sababu ya msingi sana
 
Bibi wa mtoto sikuntaja achukue jukumu la mzazi Bali nimemtaja kama mtu anayeweza kumkemea na kumsimamia mwanae wa kike katika malez ya mtoto, binafsi nilipojifungua mtoto wa kwanza sikuwa na hili wala lile juu ya suala LA males hivyo mama yangu alinisaidia sana kusimamia makuz ya mwanangu angali kuchanga
Mimi na wewe hatujui sababu ya uyo dada kumuachisha ziwa mtoto wake, yaweza kuwa ni mgonjwa au hawez kuvumilia kuto jihusisha na ngono (may be na watu tofauti tofauti) kitu ambayo ni hatari kwa Afya ya mtoto hence aliamua uachishe amkinge mwanae, hivyo hii sioni kama ni sababu ya msingi sana
Pamoja mkuu, Thumbs up!
 
Bibi wa mtoto sikumtaja achukue jukumu la mzazi Bali nimemtaja kama mtu anayeweza kumkemea na kumsimamia mwanae wa kike katika malez ya mtoto, binafsi nilipojifungua mtoto wa kwanza sikuwa na hili wala lile juu ya suala La malez hivyo mama yangu alinisaidia sana kusimamia makuz ya mwanangu angali kuchanga
Mimi na wewe hatujui sababu ya uyo dada kumuachisha ziwa mtoto wake, yaweza kuwa ni mgonjwa au hawez kuvumilia kuto jihusisha na ngono (may be na watu tofauti tofauti) kitu ambayo ni hatari kwa Afya ya mtoto hence aliamua uachishe amkinge mwanae, hivyo hii sioni kama ni sababu ya msingi sana
Unajua mkuu kati ya kitu ambacho sikutaka kabisa kufanya ni kumnyanganya mtoto.
Sina shaka kuwa anampenda mtoto wake lakini kumuhudumia ndiyo shida ila akiumwa anaweza akalia siku nzima.
Kuhusu bibi mtoto siwezi sema mengi lakini hata huko aliko vitu vingi mpaka niwambie mimi fanyeni hivi fanyeni vile sometimes anabisha kwamba jirani kasema hivi sijui nani kasema vile yani yeye anapenda sema flani kasema hivi flani kasema vile.
Sometimes may be nawaza labda ana psychological problem maana huyu sio mtoto wake wa kwanza nilikuja gundua na kuthibitisha kuwa alizaa mtoto akafariki akiwa na miaka mitatu, na kwa maelezo ya ndugu zake kabisa wanadai hakuwahi mpenda yule mtoto wanashangaa kwanini huyu anampenda wakasema labda kwakuwa amezaa na mtu anayempenda.
Kwa maelezo yao sina hakika wanadai alibakwa na mwalimu wake ndipo akapata yule mtoto wa kwanza, hayo yote nilikuja yafahamu baada ya mtoto kuzaliwa na sikutaka yafuatilia sana coz ilikuwa past.
Ila kuna siku aliniambia jinsi mtoto wake wa kwanza alivyofariki akiwa lugalo hospital hitimisho lake ni kwamba "ma dr waliponiambia niliogopa ila nikajisema afadhali maana baba yake alikuwa ananifuata fuata kisa mtoto na nilivyokuwa namchukia hatonisumbua tena".
 
Unajua mkuu kati ya kitu ambacho sikutaka kabisa kufanya ni kumnyanganya mtoto.
Sina shaka kuwa anampenda mtoto wake lakini kumuhudumia ndiyo shida ila akiumwa anaweza akalia siku nzima.
Kuhusu bibi mtoto siwezi sema mengi lakini hata huko aliko vitu vingi mpaka niwambie mimi fanyeni hivi fanyeni vile sometimes anabisha kwamba jirani kasema hivi sijui nani kasema vile yani yeye anapenda sema flani kasema hivi flani kasema vile.
Sometimes may be nawaza labda ana psychological problem maana huyu sio mtoto wake wa kwanza nilikuja gundua na kuthibitisha kuwa alizaa mtoto akafariki akiwa na miaka mitatu, na kwa maelezo ya ndugu zake kabisa wanadai hakuwahi mpenda yule mtoto wanashangaa kwanini huyu anampenda wakasema labda kwakuwa amezaa na mtu anayempenda.
Kwa maelezo yao sina hakika wanadai alibakwa na mwalimu wake ndipo akapata yule mtoto wa kwanza, hayo yote nilikuja yafahamu baada ya mtoto kuzaliwa na sikutaka yafuatilia sana coz ilikuwa past.
Ila kuna siku aliniambia jinsi mtoto wake wa kwanza alivyofariki akiwa lugalo hospital hitimisho lake ni kwamba "ma dr waliponiambia niliogopa ila nikajisema afadhali maana baba yake alikuwa ananifuata fuata kisa mtoto na nilivyokuwa namchukia hatonisumbua tena".
Mkuu uyo dada ana psychological barrier bila shaka, mchukulie vile alivyo na jitahidi kwenda nae sawa ili mwanao akue, pole sana babaa
 
Back
Top Bottom